Kongole Masudi Kipanya kwa Ubunifu, hii ni challenge kwa wasomi

Kongole Masudi Kipanya kwa Ubunifu, hii ni challenge kwa wasomi

Janja weed

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2020
Posts
3,000
Reaction score
5,606
Nampongeza Masudi Kipanya kwa ubunifu wa kile kigari chake, kuna watu wanajiita wasomi lakini hawajawahi kubuni hata mswaki, watu wengi wenye wivu tabia zao zinafanana yaani badala ya watu kumtia moyo na kumpongeza wanambeza, huku maprofesa wakijikita kukamata wasichana sapu ili wahongwe ngono. Masudi kaupiga mwingi sana Kongole bro.
 
Nampongeza Masudi Kipanya kwa ubunifu wa kile kigari chake, kuna watu wanajiita wasomi lakini hawajawahi kubuni hata mswaki, watu wengi wenye wivu tabia zao zinafanana yaani badala ya watu kumtia moyo na kumpongeza wanambeza, huku maprofesa wakijikita kukamata wasichana sapu ili wahongwe ngono. Masudi kaupiga mwingi sana Kongole bro.
Big Chinga Boy
 
Maprofesa wenyewe ndio kama wale wa mto mara, ubunifu upo kitaaa
 
Ni challenge kwake, kila mtu ni kipimo kwa maisha yake mwenyewe. Kizuri ametupa hamasa.
 
Nampongeza Masudi Kipanya kwa ubunifu wa kile kigari chake, kuna watu wanajiita wasomi lakini hawajawahi kubuni hata mswaki, watu wengi wenye wivu tabia zao zinafanana yaani badala ya watu kumtia moyo na kumpongeza wanambeza, huku maprofesa wakijikita kukamata wasichana sapu ili wahongwe ngono. Masudi kaupiga mwingi sana Kongole bro.
Wasomi wa Tanzania fahari yao ni kuongea broken English tu, umeona wapi msomi hapa Tanzania kafanya la maana?
 
Watu mnawaponda wasomi wa Tanzania, ila natamani siku wanafunzi wa mwaka wa mwisho wa Engineering wanavyofanya presentation wawe wanaruhusu watu wakaone ubunifu mtashangaa.
 
Achangamke kuilinda teknolojia yake isiibwe usishangae imeshafika china baada ya miezi 4 tu containers zinashuka zenye magari yanayofanana na KP.

Hawa jamaa kwa copy ni namba nyingine!!
 
Huyo masudi wenu anaweza hata kupiga wiring ??? au n promota
Mtafute tu umuonyeshe una nini unaweza kuwa una kitu ambacho yeye hana na alikuwa anakitafuta. Kila kitu ni kujaribu. Penye nia pana njia.
 
Wasomi wa Tanzania fahari yao ni kuongea broken English tu, umeona wapi msomi hapa Tanzania kafanya la maana?
Wanafanya sema nini mkuu hawapewi nafasi. Wameshafanya research nyingi sana zinaishia kutunzwa kabatini. Siasa ndio zinaharibu kupewa nafasi zaidi huku utaalam ukitupwa pembeni.
 
Watu mnawaponda wasomi wa Tanzania, ila natamani siku wanafunzi wa mwaka wa mwisho wa Engineering wanavyofanya presentation wawe wanaruhusu watu wakaone ubunifu mtashangaa.
ubunifu wa theory ama upi unaozungumzia jamaa?
 
Back
Top Bottom