Kongole Rais Samia, Kongole Awamu ya Sita Ngurdoto Imesimama Tena, Ajira Zimerejea kwa Watanzania

Nafurahia sana jambo hilo hongera kwake Rais Hassan [emoji817][emoji817][emoji817]
Hiyo lodge si ni ya familia ya Marehemu Mrema(siyo TLP) chini Impala Group of Hotels na ilikufa baada ya mikutano ya kiserikali kusitishwa na JPM,lakini vilevile ilikuwa na madeni mpaka wafanyakazi wake 193 wakaenda Mahakamani na Mahakama ikaamulu baadhi ya Mali ziuzwe Ili kulipa wafanyakazi.
Hilo lilikuwa chaka la pesa zetu za Kodi kupigwa na Wahuni.Sasa Samia anahusika vipi kufufua hoteli ya mtu binafsi ilihali General Tyre ya Arusha imemshinda?
Note:I stand to be corrected!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Huo Mkutano wa kwanza uliotaja haukufanyika Ngurdoto, huu ulioanza jana na kuisha leo ndio umefanyika hapo na ukarabati wa ile barabara kuingia pale ndani wamefanya TARURA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…