Yes, adhana inapoadhiniwa unatakiwa kuacha unachofanya kujiandaa kwenda masjid ameheshimu nimependa.Waislam kuna la kujifunza pale pindi ADHANA inapoadhiniwa.
Mwadhini alikuwa atimiza wajibu wake, swala ya saa saba.Aiseee huo msikit una majasir sn duh kwa hali ilivyo dodoma upige adhana saiz mmmh
Mbona iko wazi alisubiri adhana iisheWakati Mh Rais Uhuru Kenyetta anatoa hotuba yake kulikuwa na mwingiliano wa Adhana kutoka moja ya msikiti ulio karibu na uwanja ule. Cha kushangaza mara baada ya kusikia hivyo alilazimika kusubiri mpaka adhana ile iishe. Hii inaashiria nini wanabodi? Au alitulia tu kwa huzuni yake?
Yaani hili nalo ni swali.Wakati Mh Rais Uhuru Kenyetta anatoa hotuba yake kulikuwa na mwingiliano wa Adhana kutoka moja ya msikiti ulio karibu na uwanja ule. Cha kushangaza mara baada ya kusikia hivyo alilazimika kusubiri mpaka adhana ile iishe. Hii inaashiria nini wanabodi.? Au alitulia tu kwa huzuni yake.?
Kheee!Aiseee huo msikit una majasir sn duh kwa hali ilivyo dodoma upige adhana saiz mmmh