myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
SawasawaKwakweli nimeshangaa sana. Kama alikuwa anasubiri adhana iishe maana yake anatuonesha tuishi huku tukijua kila mmoja ana imani yake na mawazo yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawasawaKwakweli nimeshangaa sana. Kama alikuwa anasubiri adhana iishe maana yake anatuonesha tuishi huku tukijua kila mmoja ana imani yake na mawazo yake.
Bado swala yaendelea wamepunguza kidogo sauti.Hao wa msikiti si wasingetumia hzo speaker kwa leo tu
Wamechemka hapo msikitini aisee kwa kweli shughuli ilikuwa muhimu, sio adhana kwa nguvuBado swala yaendelea wamepunguza kidogo sauti.
Sisi ni watanzania tuna hekima na busara sana
Hii ndo heshima ya Tanzania tulojengewa duniani na baba wa taifa Mwalimu Nyerere.
Muogope Mwenyezi Mungu siyo binadamu.Aiseee huo msikiti una majasir sn duh kwa hali ilivyo dodoma upige adhana saiz mmmh
Allaha akbarAiseee huo msikit una majasir sn duh kwa hali ilivyo dodoma upige adhana saiz mmmh
Kamemo kalipenyezwa na vijana mwadhini akaelewa.Wamechemka hapo msikitini aisee kwa kweli shughuli ilikuwa muhimu, sio adhana kwa nguvu
Kwa waislam hawaruhusiwi kuongea mpaka adhana iishe.Alichofanya UK ni kuheshimu Imani za waislamWakati Mh Rais Uhuru Kenyetta anatoa hotuba yake kulikuwa na mwingiliano wa Adhana kutoka moja ya msikiti ulio karibu na uwanja ule. Cha kushangaza mara baada ya kusikia hivyo alilazimika kusubiri mpaka adhana ile iishe. Hii inaashiria nini wanabodi.? Au alitulia tu kwa huzuni yake.?
Alileta distraction huyo mhadhiniKamemo kalipenyezwa na vijana mwadhini akaelewa.
Mwadhini ni kama mpiga kengele wa kanisani aweza kufikiwa aliko.
Wengine hawajui hzo imani pia na huyo mwadhini angetumia akili za kuvukia barabara na sio kupayuka misibaniKwa waislam hawaruhusiwi kuongea mpaka adhana iishe.Alichofanya UK ni kuheshimu Imani za waislam
Sasa weye waanza kuchafua hali ya hewa.Alileta distraction huyo mhadhini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada mbona mkali?