Kontawa (lyric genius )Atadumu kwenye game au nae atapotea kama wengine..!?

Kontawa (lyric genius )Atadumu kwenye game au nae atapotea kama wengine..!?

blogger

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2012
Posts
12,112
Reaction score
15,060
Ndani yake huyu jamaa namuona Godzilla(RIP). Ni ngumu sana mapengo kuzibwa ila nimemfuatilia huyu kijana ni genius wa kuandika.. hatumii nguvu nyingi sana,,hakuna kiki za kijingajinga hakuna teaser(vionjo) vya kupima upepo kama wafanyavo wengine.

Anatoa kazi anaachia kazi.. kizuri chajiuza, msemo huu wamfaa sana huu ujio mpya.

Sasa je! Yupo kudumu au naye atafuata upepo ulele uvumao then wazima FUUU... I personally wish him a long stay.


What do you think . !? Kibao chake kipya hiki...easy but 💥💥
 
Kontawa[emoji28]

Jamaaa analeta facts in a very funny way

Napenda kusikiliza mashairi yake, yanafurahisha sana

Anaimba hip hop nyepesi kwahiyo support ya main stream itakuwa sio ishu

Aendelee kukaza utampatia hela nyingi huu mziki
 
Ndani yake huyu jamaa namuona Godzilla(RIP). Ni ngumu sana mapengo kuzibwa ila nimemfuatilia huyu kijana ni genius wa kuandika.. hatumii nguvu nyingi sana,,hakuna kiki za kijingajinga hakuna teaser(vionjo) vya kupima upepo kama wafanyavo wengine.

Anatoa kazi anaachia kazi.. kizuri chajiuza, msemo huu wamfaa sana huu ujio mpya.

Sasa je! Yupo kudumu au naye atafuata upepo ulele uvumao then wazima FUUU... I personally wish him a long stay.

View attachment 2522753
What do you think . !? Kibao chake kipya hiki...easy but [emoji95][emoji95]

Kontawa na Zilla ni vitu viwili tofauti kabisaaa
Hawana ufanano wowote

Napenda tunzi zake aghalabu
 
Back
Top Bottom