Hao wachina watwaamini wakenya au watesema ni wakor.
Hivi katika hali kama hii, mimi nilitegemea huyo balozi wa chini nchini kenya ndiye alipaswa akabidhi hilo konteni, na lifunguliwe akiwepo. Kama hiyo hali ni kweli, basi kuna mabo matatu:
1: Kontena lilibadilishwa. Walikosea wakatoa konteni tofauti na lilikuwa limeandaliwa.
2: Wajanja walicheza dili
3: China imeichoka kenya hivyo huo ni ujumbe kwao
Ni zaidi ya hapo!
Hii issue si makosa ya kawaida! Kuna mambo ya kijasusi ndani yake!