Kontena zinavyobadilishwa na kuwa makazi Kenya

Kontena zinavyobadilishwa na kuwa makazi Kenya

Do you even know what "hohehahe" stands for? Unanijua mimi? Keep your ridiculous assumption to yourself.

Nikujue ewe HOHEHAHE wa kidanganyika ili iweje?....si upo upo tu hapo Tanganyika nchi ya uchumi mdogo/dunia ya tatu A. K.A LCD!?.......Least developed hole!....ama wahitaji mkalimani aje akakutafsirie?
 
Nikujue ewe HOHEHAHE wa kidanganyika ili iweje?....si upo upo tu hapo Tanganyika nchi ya uchumi mdogo/dunia ya tatu A. K.A LCD!?.......Least developed hole!....ama wahitaji mkalimani aje akakutafsirie?
38% Kenyans live below poverty lines.
Hawa ndio màskini hohehahe.
 
38% Kenyans live below poverty lines.
Hawa ndio màskini hohehahe.
38 % live under poverty line which is 2 DOLLARS per day, nyie hohehahe wa ajabu 70% live under poverty line which is 1 DOLLAR per day!
CONCLUSION:..maskini wa Kenya ni middle class Danganyika.
 
Haujawahijiuliza hilo swali huko kwenu.Mbona mnajenga ghorofa ya udongo???
Kama haya ya Udongo
59c07b0e3aa84ad22513cac141b571f7.jpg
 
Nikujue ewe HOHEHAHE wa kidanganyika ili iweje?....si upo upo tu hapo Tanganyika nchi ya uchumi mdogo/dunia ya tatu A. K.A LCD!?.......Least developed hole!....ama wahitaji mkalimani aje akakutafsirie?

aisee! I left Tanzania while I was such a child. I was in Tanzania last in 2005/6.BTW, Uchumi mkubwa ni upi?

At least eight out of every ten Kenyans go to bed either on an empty stomach or without having had enough to eat, according to a survey
Read more at: Survey: Most Kenyans sleep hungry

You should be ashamed of yourself.
Claiming to be better while millions of your citizens are trapped in shameful poverty.

Ugali tu, ni Tatizo Kenya, Ugali dili, dah! kua Mkenya ni majanga. Ugali tu shida! Nyumba nyingi bongo hawapiki Ugali. In Zanzibar madukani ni shida kupata unga wa Ugali.
 
38 % live under poverty line which is 2 DOLLARS per day, nyie hohehahe wa ajabu 70% live under poverty line which is 1 DOLLAR per day!
CONCLUSION:..maskini wa Kenya ni middle class Danganyika.

Huo ni Ujinga mwingine, mamilion ya Watanzania ni wakulima hivyo hawategemei kuununua chakula kwakua wao ni maproduza wa chakula, watu wanao nun ua chakula ni Mijini. Na mijini watu sio wengi.

So if we go na statistics zako tungekua na Njaa kuliko Kenya. Sasa inakuaje hata Ugali ni dili huko kwenu?
 
38 % live under poverty line which is 2 DOLLARS per day, nyie hohehahe wa ajabu 70% live under poverty line which is 1 DOLLAR per day!
CONCLUSION:..maskini wa Kenya ni middle class Danganyika.

Eight out of ten! Hii ni idadi kubwa ya Nyang'au wanalala bila msosi. Aisee! hilo ni Gazeti lenu na wanakiri hali ilivyo mbaya.
 
aisee! I left Tanzania while I was such a child. I was in Tanzania last in 2005/6.BTW, Uchumi mkubwa ni upi?

At least eight out of every ten Kenyans go to bed either on an empty stomach or without having had enough to eat, according to a survey
Read more at: Survey: Most Kenyans sleep hungry

You should be ashamed of yourself.
Claiming to be better while millions of your citizens are trapped in shameful poverty.

Ugali tu, ni Tatizo Kenya, Ugali dili, dah! kua Mkenya ni majanga. Ugali tu shida! Nyumba nyingi bongo hawapiki Ugali. In Zanzibar madukani ni shida kupata unga wa Ugali.


BLA BLA BLA!....Hata ujambejambe!...UKWELI UTABAKI KUWA NCHI YAKO TANZANIA NI LEAST DEVELOPED SHITHOLE!
Infact Fourth world country!
Rejea ukabishane nami mtakapofikia kiwango cha uchumi wa kati!

Kajipange uje upya kijana!

Kalb wahed!
 
Huo ni Ujinga mwingine, mamilion ya Watanzania ni wakulima hivyo hawategemei kuununua chakula kwakua wao ni maproduza wa chakula, watu wanao nun ua chakula ni Mijini. Na mijini watu sio wengi.

So if we go na statistics zako tungekua na Njaa kuliko Kenya. Sasa inakuaje hata Ugali ni dili huko kwenu?

Bla bla bla bla!......1 DOLLAR A DAY!. ndio limit yenu..........Mwenye pesa ni tajiri ka kuwa atayanunua bidhaa hizo zote pamoja na chakula.....mwenye mazao bila sabuni ya kuoga je?......lazima akatafute hela......shenz type!
 
Kontena tunatumia kama store room kueka mabati na mpunga. ...fucking design yo talking about
 
Watu wanaoponda hiki kitu ni zaidi ya wajinga... Mbona Bongo watu wanatumia sana karibu mikoa yote hii kitu inatumika sasa mtu anaponda wakenya wakati kwao pia ipo kwanza hiyo ya Kenya ni very luxuary kabisa wapo juu kuna office nyingi sana zilikuwa za makontainer na sio office tu hata bar za vilevi na maduka kibao ya container.. How come mtu na akilizake anatukana watu kwa ubunifu wao.... hamjui hata wakimbizi wa Syria wanaishi sehemu walizokimbilia wamekuwa wakiomba kuishi kwenye macontainer kuliko mahema na wazungu wamewajengea poa sana... vitanda double Decker swafi ndani... hata Me Natafuta container niweke kwa kiwanja changu Magu asije akamgaia Bakheresa
 
Back
Top Bottom