Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
Do you even know what "hohehahe" stands for? Unanijua mimi? Keep your ridiculous assumption to yourself.
Mkuu MK254, hizo nyumba labda huko Nairobi kwenye baridi kwa Dar utatokota kama unga wa mahindi kwenye chungu cha maji moto.
38% Kenyans live below poverty lines.Nikujue ewe HOHEHAHE wa kidanganyika ili iweje?....si upo upo tu hapo Tanganyika nchi ya uchumi mdogo/dunia ya tatu A. K.A LCD!?.......Least developed hole!....ama wahitaji mkalimani aje akakutafsirie?
38 % live under poverty line which is 2 DOLLARS per day, nyie hohehahe wa ajabu 70% live under poverty line which is 1 DOLLAR per day!38% Kenyans live below poverty lines.
Hawa ndio màskini hohehahe.
Kama haya ya UdongoHaujawahijiuliza hilo swali huko kwenu.Mbona mnajenga ghorofa ya udongo???
Nikujue ewe HOHEHAHE wa kidanganyika ili iweje?....si upo upo tu hapo Tanganyika nchi ya uchumi mdogo/dunia ya tatu A. K.A LCD!?.......Least developed hole!....ama wahitaji mkalimani aje akakutafsirie?
38 % live under poverty line which is 2 DOLLARS per day, nyie hohehahe wa ajabu 70% live under poverty line which is 1 DOLLAR per day!
CONCLUSION:..maskini wa Kenya ni middle class Danganyika.
38 % live under poverty line which is 2 DOLLARS per day, nyie hohehahe wa ajabu 70% live under poverty line which is 1 DOLLAR per day!
CONCLUSION:..maskini wa Kenya ni middle class Danganyika.
aisee! I left Tanzania while I was such a child. I was in Tanzania last in 2005/6.BTW, Uchumi mkubwa ni upi?
At least eight out of every ten Kenyans go to bed either on an empty stomach or without having had enough to eat, according to a survey
Read more at: Survey: Most Kenyans sleep hungry
You should be ashamed of yourself.
Claiming to be better while millions of your citizens are trapped in shameful poverty.
Ugali tu, ni Tatizo Kenya, Ugali dili, dah! kua Mkenya ni majanga. Ugali tu shida! Nyumba nyingi bongo hawapiki Ugali. In Zanzibar madukani ni shida kupata unga wa Ugali.
Huo ni Ujinga mwingine, mamilion ya Watanzania ni wakulima hivyo hawategemei kuununua chakula kwakua wao ni maproduza wa chakula, watu wanao nun ua chakula ni Mijini. Na mijini watu sio wengi.
So if we go na statistics zako tungekua na Njaa kuliko Kenya. Sasa inakuaje hata Ugali ni dili huko kwenu?
Pia Kenya Hakuna Ardhi haya majumba yotr yafwatayo yanakaa yamejengewa ardhini lakini ukiangalia vizuri yana float :Kama haya ya Udongo
Hahhah[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] umenifurahisha sana mkuu hahahKakope sasa ushindwe kulipa kama hujapishana na nyumba yako njiani.