Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,906
- 2,902
Me siwezi kuinywa Tena nishakomaa!!
Niliinywa kipindi fulani dah! Ilikuwa game ya yanga na Simba nilisugua benchi weee!! Sugua bench dadeki lakin wapi!
Sikuwaona wazungu uwanjani. Niliamka asubuh mkono inauma hatariiii....!!!!
Niliinywa kipindi fulani dah! Ilikuwa game ya yanga na Simba nilisugua benchi weee!! Sugua bench dadeki lakin wapi!
Sikuwaona wazungu uwanjani. Niliamka asubuh mkono inauma hatariiii....!!!!