Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,906
- 2,902
Mi chai ya jioni mkuu...nahisi nimeuziwa konyagi pori hiiWewe ni chai ya asubuhi.Konyagi ya nini tena?Mvuke wa spirit(spritual healing)umekuingia kwenye mifumo yako yote mwilini i.e ya damu,mmeng'enyo,hewa nk.Mifumo imepata mshtuko na kujawa na hofu hadi matezi yamehiyari kutoa jasho.Wake up call hiyo.Nenda polepole.Pombe siyo chai.Na hakuna bingwa wa kubugia pombe.
Ebwana samaki ndungu wanapatakana huko?Nipo Tanganyika Masagati huku mwisho wa nchi.....konyagi yenye seal wanauza 5K isiyo na seal (Konyagi pori) ni jero tu...karibu tulime mpunga mkuu
Una malaria wwNimekunywa Konyagi this morning natokwa na jasho balaa. Nahisi nishapoteza maji kama lita 10 mpaka sasa hivi. Au itakua konyagi pori hii, mbona za zamani hazikuwa hivi?
Ukipata Kitoga na mvua hizi na mchopeko inakuwa ewaaaaahEbwana samaki ndungu wanapatakana huko?
Kuna supu ya mapupu na makwasukwasu....unaijua hiyo?
😀
🤣🤣🤣🤣 Yesu anapaa au sioBalaa sana...Jumatano ya pasaka leo
Yuko mawinguni🤣🤣🤣🤣 Yesu anapaa au sio
Nani alikwambia figo na maini vinakufa?Unaua FIGO na maini na kuwapa utajiri.
Nani alikwambia figo na maini vinakufa?
Utajiri wa kutisha akina mulokozi ..wanajenga mijumba ya kifahari kwa kuharibu maini ya watu na figo.Unaua FIGO na maini na kuwapa utajiri.