Blackninja
JF-Expert Member
- Aug 26, 2018
- 378
- 313
- Thread starter
- #61
Nash
Nashkur mkuuu ngoja niende kesho nikaonane naoMkuu nenda Hosp ya mkoa wa iringa Onana Na watu wa ENT watakusaidia japo naona umekuwa muoga sana lakini Nina hakika huo Ni uvimbe wa kawaida tu tena upo nje Na Wala sio ndani ya Koo kama ambavyo unadhani hata iyo shindwa meza Ni sababu tu ya huo uvimbe ambao na hakika utaisha tu fasta bada ya kupewa dawa