Koplo mstaafu abubujikwa na furaha kukutana na Rais Samia. Ampa fimbo maalum Rais kwa ajili ya kuchapia wapinzani!

Koplo mstaafu abubujikwa na furaha kukutana na Rais Samia. Ampa fimbo maalum Rais kwa ajili ya kuchapia wapinzani!

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakati anahutubia wananchi huko Rwinga, wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Rais Samia alimpa nafasi ya kuzungumza Koplo mstaafu ambaye alionekana kuwa ni mzee mtu mzima.

Mzee huyo kutokana na mapenzi yake kwa Rais Samia, alimpa Samia fimbo ambayo kwa mujibu wake itamsaidia kuchapa wapinzani, kuepuka hasidi na chuki kutoka kwa watesi wake na kuifananisha fimbo hiyo na ile ya Mwalimu Nyerere.

Kwa hii video ilivyokaa itoshe kusema kuwa hii nchi ina safari ndefu sana na itachukua miaka mingine 1000 kuitoa CCM madarakani

 
Wakati anahutubia wananchi huko Rwinga, wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Rais Samia alimpa nafasi ya kuzungumza Koplo mstaafu ambaye alionekana kuwa ni mzee mtu mzima.

Mzee huyo kutokana na mapenzi yake kwa Rais Samia, alimpa Samia fimbo ambayo kwa mujibu wake itamsaidia kuchapa wapinzani, kuepuka hasidi na chuki kutoka kwa watesi wake na kuifananisha fimbo hiyo na ile ya Mwalimu Nyerere.

Kwa hii video ilivyokaa itoshe kusema kuwa hii nchi ina safari ndefu sana na itachukua miaka mingine 1000 kuitoa CCM madarakani

Hakuna koplo hapo huyo amechanganyikiwa tu.Hao makoplo washamba.
 
Wakati anahutubia wananchi huko Rwinga, wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Rais Samia alimpa nafasi ya kuzungumza Koplo mstaafu ambaye alionekana kuwa ni mzee mtu mzima.

Mzee huyo kutokana na mapenzi yake kwa Rais Samia, alimpa Samia fimbo ambayo kwa mujibu wake itamsaidia kuchapa wapinzani, kuepuka hasidi na chuki kutoka kwa watesi wake na kuifananisha fimbo hiyo na ile ya Mwalimu Nyerere.

Kwa hii video ilivyokaa itoshe kusema kuwa hii nchi ina safari ndefu sana na itachukua miaka mingine 1000 kuitoa CCM madarakani

Hii nayo ni habari ndiyo maana tv zinazojitambua haziripoti upuuzi kama huu
 
Wakati anahutubia wananchi huko Rwinga, wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Rais Samia alimpa nafasi ya kuzungumza Koplo mstaafu ambaye alionekana kuwa ni mzee mtu mzima.

Mzee huyo kutokana na mapenzi yake kwa Rais Samia, alimpa Samia fimbo ambayo kwa mujibu wake itamsaidia kuchapa wapinzani, kuepuka hasidi na chuki kutoka kwa watesi wake na kuifananisha fimbo hiyo na ile ya Mwalimu Nyerere.

Kwa hii video ilivyokaa itoshe kusema kuwa hii nchi ina safari ndefu sana na itachukua miaka mingine 1000 kuitoa CCM madarakani

.... "Kwamba tembea na fimbo hii popote, ipunge hewani tu, hakuna atayekugusa"..... ! Mzee huyo anamaana gani?
 
Wakati anahutubia wananchi huko Rwinga, wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Rais Samia alimpa nafasi ya kuzungumza Koplo mstaafu ambaye alionekana kuwa ni mzee mtu mzima.

Mzee huyo kutokana na mapenzi yake kwa Rais Samia, alimpa Samia fimbo ambayo kwa mujibu wake itamsaidia kuchapa wapinzani, kuepuka hasidi na chuki kutoka kwa watesi wake na kuifananisha fimbo hiyo na ile ya Mwalimu Nyerere.

Kwa hii video ilivyokaa itoshe kusema kuwa hii nchi ina safari ndefu sana na itachukua miaka mingine 1000 kuitoa CCM madarakani

uh
 
Hata wapumbavu wanazeeka. Unashangaa nini..

Vijana wapumbavu waliokalia simba na yanga watakuwa wazee waajabu siku za usoni.

CCm wengi ni washirikina mawazo yao yapo kimugando sana. Huwezi kuwa na akili timamu ukazui upinzani mtu anayekukosoa ni mzuri sana.

Ccm wanapenda machawa.. unategemea nini hapo.
 
Kashindwa uongozi sasa wameanza maigizo mara vifimbo.

Mwenzie alikuwa anakunywa kahawa, mara kupewa zawadi ya jogoo .
 
Wakati anahutubia wananchi huko Rwinga, wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Rais Samia alimpa nafasi ya kuzungumza Koplo mstaafu ambaye alionekana kuwa ni mzee mtu mzima.

Mzee huyo kutokana na mapenzi yake kwa Rais Samia, alimpa Samia fimbo ambayo kwa mujibu wake itamsaidia kuchapa wapinzani, kuepuka hasidi na chuki kutoka kwa watesi wake na kuifananisha fimbo hiyo na ile ya Mwalimu Nyerere.

Kwa hii video ilivyokaa itoshe kusema kuwa hii nchi ina safari ndefu sana na itachukua miaka mingine 1000 kuitoa CCM madarakani

Kama alifanya kazi Polisi akastaafu na Cheo cha Koplo(V2) basi huyo ni kilaza kama vilaza wengine,miaka yote afanye kazi astaafu na U-Koplo duuh,la Saba B huyo
 
Wakati anahutubia wananchi huko Rwinga, wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Rais Samia alimpa nafasi ya kuzungumza Koplo mstaafu ambaye alionekana kuwa ni mzee mtu mzima.

Mzee huyo kutokana na mapenzi yake kwa Rais Samia, alimpa Samia fimbo ambayo kwa mujibu wake itamsaidia kuchapa wapinzani, kuepuka hasidi na chuki kutoka kwa watesi wake na kuifananisha fimbo hiyo na ile ya Mwalimu Nyerere.

Kwa hii video ilivyokaa itoshe kusema kuwa hii nchi ina safari ndefu sana na itachukua miaka mingine 1000 kuitoa CCM madarakani

 
Kashindwa uongozi sasa wameanza maigizo mara vifimbo.

Mwenzie alikuwa anakunywa kahawa, mara kupewa zawadi ya jogoo .
Lilikuwa ni jini kwa mujibu wa jamaa yangu Mmachinga niliyefahamiana nae hapa jijini 😂😂😂
 
Lilikuwa ni jini kwa mujibu wa jamaa yangu Mmachinga niliyefahamiana nae hapa jijini 😂😂😂
Jini la kazi gani?
images - 2024-09-27T173313.946.jpeg
 
Wakati anahutubia wananchi huko Rwinga, wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Rais Samia alimpa nafasi ya kuzungumza Koplo mstaafu ambaye alionekana kuwa ni mzee mtu mzima.

Mzee huyo kutokana na mapenzi yake kwa Rais Samia, alimpa Samia fimbo ambayo kwa mujibu wake itamsaidia kuchapa wapinzani, kuepuka hasidi na chuki kutoka kwa watesi wake na kuifananisha fimbo hiyo na ile ya Mwalimu Nyerere.

Kwa hii video ilivyokaa itoshe kusema kuwa hii nchi ina safari ndefu sana na itachukua miaka mingine 1000 kuitoa CCM madarakani

Yaani aibu naona mimi 😂😂
 
Back
Top Bottom