Kopotelea wapi Waziri wa kujionyesha bwana Bashe?

Kopotelea wapi Waziri wa kujionyesha bwana Bashe?

Tokea apone na scandal ya sukari, haonekani kujivuna-vuna tena mzee wa kujifanya yupo makini.

Bashe, hivi sasa ni nadra mno kumuona hata kwenye taarifa za Vyombo vya habari akifanya maonyesho yasiyo na mbele wala nyuma.
Kweli katoweka kwenye rada.
 
Tokea apone na scandal ya sukari, haonekani kujivuna-vuna tena mzee wa kujifanya yupo makini.

Bashe, hivi sasa ni nadra mno kumuona hata kwenye taarifa za Vyombo vya habari akifanya maonyesho yasiyo na mbele wala nyuma.
Mbona yupo sana, sema wewe ndio humuoni.
 
Back
Top Bottom