eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Balance of power ni jambo la msingi duniani.....
Kuna mmoja anajiona ni kiranja wa dunia. Anajiona yeye kuwa ni kidume na ana haki miliki ya dunia na kuipiga nchi yoyote ile. Sasa wanamuonesha namna gani na wengine walivyo na nguvu za kuweza kupiga.
Magharibi wajitafakari sana.