Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hahaha..............nimetania Mkuu 😅Unazingua.
Ila suala la kuzaa lipewe kipaumbele, bado Nchi yetu imejaa mapori ambayo hayana watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha..............nimetania Mkuu 😅Unazingua.
Bado unazingua.Hahaha..............nimetania Mkuu 😅
Ila suala la kuzaa lipewe kipaumbele, bado Nchi yetu imejaa mapori ambayo hayana watu
Unashauri tuzae mtoto mmoja kama China Mkuu?Bado unazingua.
Yule atakayeweza kuhudumiwa kwa kila hali kama itawezekana kama haiwezekani bora uache.Unashauri tuzae mtoto mmoja kama China Mkuu?
SureYule atakayeweza kuhudumiwa kwa kila hali kama itawezekana kama haiwezekani bora uache.
Ukweli mchungu, tunavyo sema tunaendelea ukweli ni kwamba maisha halisi ya mwanadamu yana haribika. Tuna kuwa watumwa wa kufa mtu, hakuna fraha tenaTaifa likiwa tajiri na gharama za maisha zinakuwa juu na kuwashinda Watu wengi.
Mtu anaona asiwape matatizo wanaye watakaozaliwa
Sa utajuaje km kwenye maisha yako unaweza kutunza idadi flani ya watoto wakati maisha huwa yanabadilika ? Na hata tukichukulia maisha yako ni magumu ukaacha kuzaa nani atakusaidia ukizeeka !?Sure
Zaa watoto utakaoweza kuwatunza
Kila mtu anatakiwa awe anaandaa Mipango yake ya Mwaka mzima ili baada ya miezi 12 unajifanyia assessment kupima wapi umeferi na wapi umeweza.Sa utajuaje km kwenye maisha yako unaweza kutunza idadi flani ya watoto wakati maisha huwa yanabadilika ? Na hata tukichukulia maisha yako ni magumu ukaacha kuzaa nani atakusaidia ukizeeka !?
Mabint nao wako ktk soko la muvi na muziki, wanaogopa kuzaa wasikose kazi kisa maternity leave.sasa wale wakaka warembo kunizid mimi,,wanazalisha kwel 🙄😳
Tanzania tuna la kujifunza Hapa,na tukilemba tutajikuta tukielekea uko ukoCheki moja ya miradi ya serikali yao, kuhamasisha sex, like serious sijawahi ona mtu kashika mimba kwa blowjob! Wamegurugwaa vibaya sana
View attachment 2976787
Sure
Zaa watoto utakaoweza kuwatunza
😆😆Kina jumong wanaweza kujiremba remba tu ,na muvi zao za kuvaa mapazia,badala ya kugongana wazaliane
wanikodi mm tu,, hakika sitowaangushaMabint nao wako ktk soko la muvi na muziki, wanaogopa kuzaa wasikose kazi kisa maternity leave.
Wewe hautaki kuzaa?wanikodi mm tu,, hakika sitowaangusha