Alafu tukikaa sisi tunakua masikini hahahahaaaaaWacha wapotee, sie twende tukarithi mataifa yao, waliyoyasaka maendeleo kwa udi na uvumba. 😂🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu tukikaa sisi tunakua masikini hahahahaaaaaWacha wapotee, sie twende tukarithi mataifa yao, waliyoyasaka maendeleo kwa udi na uvumba. 😂🤣🤣🤣🤣
Ni kweli Mkuu, tukiendelea na haya maigizo ya family planning baada ya miaka 50 ijayo huenda yakatukuta ya wenzetu hukoHizo falsafa za kuiga mpk sahv ndo zinaligharimu taifa la Ukraine, Enzi za Soviet walkua na raia wengi sn.
Baada kuegemea magharibi,wakaacha kuzaliana, sahv nchiiko vitani, haina manpower ya kutosha kupigania ardhi yao.
Sahivi wanakokota Hadi wanawake, wazee na watoto waingie frontline kuipigania nchi Yao.
Serikali makini inayojitambua,
Suala la kutunza watoto mpk wanafikia umri wa kujitegemea, Ni jukumu lake la msingi.
Ttz serikali zetu hizi zmejaa rushwa,ubinafsi na roho mbaya.Ni kweli Mkuu, tukiendelea na haya maigizo ya family planning baada ya miaka 50 ijayo huenda yakatukuta ya wenzetu huko
Ni shida sana MkuuTtz serikali zetu hizi zmejaa rushwa,ubinafsi na roho mbaya.
Zikishafeli kimipango, zigo lote anabebeshwa raia wajitafte wenyewe.
Kwa laana tulizo nazo, nchi zitarudi kimaendeleo miaka 50 nyuma.Alafu tukikaa sisi tunakua masikini hahahahaaaaa
NatakaWewe hautaki kuzaa?
Mkienda kurithi huko mtapageuza kama huku.Wacha wapotee, sie twende tukarithi mataifa yao, waliyoyasaka maendeleo kwa udi na uvumba. 😂🤣🤣🤣🤣
Hakika wewe ni Mtoto wa nziWasitafute sababu za kijinga .... Wakataze ushoga na usagaji.......
SahihiWapo million 51..
Sisi tupo million 60+...
S.korea 100,2 10 sq.km
Tanzania 945,087 sq.km
Hao bado wapo wengi sana kutushinda
South Korea ina ukubwa kama Morogoro na Dodoma pamoja ina watu milioni 51, Tanzania ina watu milioni 61.S.korea inaongoza kwa mashoga wengi, pia ndiko Kuna hospital bingwa za plastic surgery kubadilisha mashepu ya Watu.
S. Korea ndo mabingwa wa operation za kubadili Watu jinsia, mashoga ya kule hawana ndevu na warembo kuliko hata wanawake.
S.korea ndiko mashoga Wana leseni kabisa na ulipa kodi, ukimfira ukampunja malipo anakushtaki mahakamani na unaweza fungwa.
S.korea ndiko Kuna viwanda vingi vya sex toys na soko kubwa la dildo duniani, Hata ukihitaji uke wa Rihanna, ukienda dukani unaununua na kujichukulia Sheria mkononi nyumbani kwake bila bughudha ya mtu yeyote.
S.korea suala la punyeto limehalalishwa kabisa na linahamasishwa sana kupitia tv,redio na magazeti mbalimbali ili kuuza sex toys na kutangaza biashara za Ngono.
S.korea na mwenzie Thailand ndio nchi inayoongoza kwa watoto kuuzwa ulaya wakafanye biashara ya Ngono tokea baran asia.
Kiufupi,
S.korea wanavuna walichokipanda
Ni upumbavu kuzaa watoto ili wakapigane vita.Hizo falsafa za kuiga mpk sahv ndo zinaligharimu taifa la Ukraine, Enzi za Soviet walkua na raia wengi sn.
Baada kuegemea magharibi,wakaacha kuzaliana, sahv nchiiko vitani, haina manpower ya kutosha kupigania ardhi yao.
Sahivi wanakokota Hadi wanawake, wazee na watoto waingie frontline kuipigania nchi Yao.
Serikali makini inayojitambua,
Suala la kutunza watoto mpk wanafikia umri wa kujitegemea, Ni jukumu lake la msingi.
Ni ujuha kuzaa watoto ili wakusaidie ukizeeka,Sa utajuaje km kwenye maisha yako unaweza kutunza idadi flani ya watoto wakati maisha huwa yanabadilika ? Na hata tukichukulia maisha yako ni magumu ukaacha kuzaa nani atakusaidia ukizeeka !?
Sio kweli kwamba nchi yetu imejaa mapori yasiyo na watu, kusingekuwa na migogoro ya kugombania na kutapeliana ardhi karibu nchi nzima.Hahaha..............nimetania Mkuu 😅
Ila suala la kuzaa lipewe kipaumbele, bado Nchi yetu imejaa mapori ambayo hayana watu
Hawa wamechoka, kuzaa na ndoa vina uhusiano gani? Waje huku wafundishwe na Ma-single maza, unaweza kuzaa na yeyote na maisha yakaenda.Wapenzi pia walitaja mzigo mkubwa wa kifedha kama kizuizi cha ndoa, ambayo inachukuliwa kama sharti la kuwa na Watoto
Wabongo tena, ni kitendo cha wiki tu, jiji a seoul lishaanza kuwa chafu kama dar.Mkienda kurithi huko mtapageuza kama huku.
KabisaaaaaKwa laana tulizo nazo, nchi zitarudi kimaendeleo miaka 50 nyuma.
Ujuha mbaya ni kudhani kuwa masikini hawezi kumsaidia mtu, lkn ujuha mbaya zaidi ni kudhani msaada ni pesa tu, unatakiwa ujue kuwa hata kuuguzwa wakati wa maradhi pia ni msaada.Ni ujuha kuzaa watoto ili wakusaidie ukizeeka,
Je hao watoto wakiwa masikini kuliko wewena wakahutqji msaadq wako hata ukiwa mzee??
Na hata tukirudi kwenye msaada wa kipesa, mtoto anahaki ya kumsaidia baba yake alichokikosa ikiwa ye anacho.Ni ujuha kuzaa watoto ili wakusaidie ukizeeka,
Je hao watoto wakiwa masikini kuliko wewena wakahutqji msaadq wako hata ukiwa mzee??
Ni ujuha kuzaa watoto ili wakusaidie kukuuguza, kununua nyanya dukani, kuanua nguo n.k. Hutakiwi kuzaa watoto kama pension yako ya msaada wowote.Ujuha mbaya ni kudhani kuwa masikini hawezi kumsaidia mtu, lkn ujuha mbaya zaidi ni kudhani msaada ni pesa tu, unatakiwa ujue kuwa hata kuuguzwa wakati wa maradhi pia ni msaada.
Ukiwa huna watoto, ni masikini na unamaradhi jua umeyaingia mateso yasiyo vumilika, yani angalau uwe na pesa unaweza ukajimudu.
Hivi unapata picha gani katika familia ambayo inaishi na wazazi wawili tu hakuna mtoto hata wa kumwambia nenda dukani, safisha uwanja nk. Na hapo una 50/60 yrs, unaishije ? Au ndo utaita watoto wa jirani wakusaidie kuanua nguo zako ? Nahapo nimekupeleka tu kwenye miaka hiyo, lkn hata uwe na age ya miaka 30 ukiwa na familia tu lazima utahitaji mtu wa kukusaidia , na hakuna zaidi ya mtoto.
Mtoto hana haki au wajibu wa kumsaidia baba yake alichokikosa, anaweza kufanya hivyo kama hisani tu ila sio lazima. Tuache kukariri maisha ya kijima.Na hata tukirudi kwenye msaada wa kipesa, mtoto anahaki ya kumsaidia baba yake alichokikosa ikiwa ye anacho.