Dont worry Jasusi;hawa watu hawajawahi kukubali kashfa directly hadi wabanwe na akina Seleli Bungeni!
Iweje serikali ya Pyongyang ikurupuke kwenye media za kimataifa zitangaze hili deal ambalo Waziri Wassira analikanusha?
Time will tell na hapo kama kawaida yao watakuja na blahblah zao kutuweka sawa sisi wadanganyika!
Hii itatusaidia kupata manufaa kwani nusu nzima ya hayo mazao yanabaki kwenye soko letu, tutajifunza namna ipi wenzetu wataweza kufanya kinachotushinda sisi kwa sasa kwenye Ardhi yetu.
Seuse, Nyerere alitaifisha mashamba kibao kwa wakulima wakubwa baada ya azimio la Arusha yakatushinda kuyaendesha kama tunavyojuwa. Sasa kwa nini tusiwa[e watu wanaoweza ili tujifunze na tufaidike?
Hii ya kusema Tanzania inauzwa kwa Korea, ni uzushi, fitina na majungu yasiyo na maendeleo, hizi roho mbaya ndio zinatufanya tusiendelee, ndio haya yananifanya nikubaliane na kauli ya ''Miafrika Ndivyo Tulivyo''!
Kama haya ndiyo mawazo ya viongozi wetu (i hope ni vinginevyo) basi hii nchi inaenda kuzimu.
Yaani Tanzania kuendelea inahitaji kuwekeza kwenye kilimo!!!, yaani kuwafuata asilimia 80 walioko kwenye kilimo na sio kuwatoa huko kwenye kilimo!!!!!????
Tanzania itaendelea kwa kuinua watu wengi toka kwenye kilimo na kuwaweka kwenye service na manufacturing na sio vinginevyo. China walijaribu kilimo kwa miaka kibao na matokeo yake yanajulikana.
Walivyogundua kuwa kilimo kinawalostisha wakageukia service na manufacturing. Kila siku namsikia Kikwete na yule mtoto wa mkulima ambaye anapanda jet kila aendako (Pinda) wanapiga makelele kuwa nchi yetu itaendela kwa kupitia kilimo ---- yeah, kilimo kwanza; ninabaki bila cha kusema.
S Korea agrees Tanzania land deal
South Korea says it has agreed to develop farmland in Tanzania - the latest in a series of such deals between rich and poor nations.
Korean officials say 1,000 sq km (386 sq miles) will be developed - half for local farmers, half to produce processed goods for South Korea.
Seoul also signed a deal last year to lease a vast area of Madagascar.
Rich countries have increasingly sought farmland in poorer nations to help shore up food supplies.
Countries such as China, Saudi Arabia, South Korea and Kuwait are short of arable land and have been seeking agricultural investments in Africa.
But South Korea's deal in Madagascar - which would have seen it lease an area the size of Belgium from the island nation - has been thrown into uncertainty.
Madagascar's government was overthrown in a coup earlier this year and the new leaders said they would scrap the deal, which was cited as one reason for the unrest.
'Colonialists' gibe
The state-run Korea Rural Community Corporation says a memorandum of understanding will be signed next month.
The corporation says it will produce processed foods like cooking oil, wine and starch on the land.
Lee Ki-Churl, a corporation official, said he expected Tanzanians to benefit from the deal.
"Some African countries export fruit and import fruit juice, or export olives and import olive oil, simply because their past colonialists did not teach them how to process food," he told the AFP news agency.
"We plan to set up an education centre for Tanzanian farmers in the food-processing zone in order to transfer agricultural know-how and irrigation expertise to them."
He said about 100bn won ($83m) would be spent to develop an initial 100 sq km of land over the next few years.
South Korea's Yonhap news agency reported that the corporation hoped to exploit deposits of iron ore, gold and copper in other parts of the Tanzania to help fund its project.
The deal comes weeks after Tanzanian Prime Minister Mizengo Pinda visited Seoul, when the two nations promised closer ties.
Source: BBC News
Jamani tumefikia hapa? Huu mkataba ulisainiwa lini? Wapi na nani alihusika? Tanzania itanufaika vipi? Hayo ni baadhi ya maswali niliyojiuliza baada ya kuiona taarifa hii ambayo tayari imegonga international headlines.
S Korea agrees Tanzania land deal
South Korea says it has agreed to develop farmland in Tanzania - the latest in a series of such deals between rich and poor nations.
Korean officials say 1,000 sq km (386 sq miles) will be developed - half for local farmers, half to produce processed goods for South Korea.
Seoul also signed a deal last year to lease a vast area of Madagascar.
Rich countries have increasingly sought farmland in poorer nations to help shore up food supplies.
Countries such as China, Saudi Arabia, South Korea and Kuwait are short of arable land and have been seeking agricultural investments in Africa.
But South Korea's deal in Madagascar - which would have seen it lease an area the size of Belgium from the island nation - has been thrown into uncertainty.
Madagascar's government was overthrown in a coup earlier this year and the new leaders said they would scrap the deal, which was cited as one reason for the unrest.
'Colonialists' gibe
The state-run Korea Rural Community Corporation says a memorandum of understanding will be signed next month.
The corporation says it will produce processed foods like cooking oil, wine and starch on the land.
Lee Ki-Churl, a corporation official, said he expected Tanzanians to benefit from the deal.
"Some African countries export fruit and import fruit juice, or export olives and import olive oil, simply because their past colonialists did not teach them how to process food," he told the AFP news agency.
"We plan to set up an education centre for Tanzanian farmers in the food-processing zone in order to transfer agricultural know-how and irrigation expertise to them."
He said about 100bn won ($83m) would be spent to develop an initial 100 sq km of land over the next few years.
South Korea's Yonhap news agency reported that the corporation hoped to exploit deposits of iron ore, gold and copper in other parts of the Tanzania to help fund its project.
The deal comes weeks after Tanzanian Prime Minister Mizengo Pinda visited Seoul, when the two nations promised closer ties.
Source: BBC News
Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni,
Mtukano ulikuwepo kati ya watanzania na wakorea, mazungumzo pia yalikuwepo hii haina ubishi. Ubishi uliopo ni je ni nini kiliongelewa na kukubaliwa?
Korea wanasema wanakuja kuchukua ardhi hapa Tanzania na sehemu na eneo linatajwa kabisa.
Tanzania tunaruka kimanga kwamba sio kweli, then the obvious conclusions is:
1. Mkutano ulifanyika kwa lugha ya Korea na ujumbe wetu kama kawaida haukuwa na mkalimani.
2. Mkataba uliandikwa kwa script za Korea kiasi kwamba mwanasheria wetu alishindwa kabisa kuona masharti ya huo mkataba.
3. Wajumbe wetu walikuwa wanafatigue na safari mpaka wakashindwa kuusoma vizuri na kuuelewa mkataba huo. Wakaamua kusaini tu ili warudi haraka nyumbani kupumzika.
Kwa hizo scenario tatu na majibu ya waziri inaonekana dhahiri kuwa tumepigwa changa la macho, wanasheria wa serikali wanasemaje kuhusu kuepuka balaa hili???????
Tuwape ardhi? Tutajifunzaje namna ya kuendeleza ardhi wakati ardhi haipo na imeshachukuliwa na Wakorea. Kumbuka hatujui namna ya kulinda interest za nchi yetu kwenye mikataba, labda iwe baadaye baada ya kwanza kujifunza namna ya kuandika hiyo mikataba maana Mkorea hawezi kutufundisha namna ya kulinda interest zetu pale ambapo yeye ana interest. Nyerere kutaifinya mashamba ni blunder kubwa mojawapo tu ya zilizowahi tokea hapa TZ. Korea au nchi nyingine kwa namna yeyote ile haiwezi kuindeleza TZ kwani huko hawana interest nako.
Utajiju! Kama hata bei ya karibu na bure huifahamu.
Ha ha ha ha Nani aliyewajibishwa na Kikwete? Mbona akina Lowassa, Msabaha, Karamagi, Mkapa, Rostam, Chenge, Idissa Rashid, Edward Hosea na wengine bado wanapeta Bungeni, CC au kwenye nyadhifa zao? Kawawajibisha kwa kufanya lipi? Kama Mwenyekiti wa CCM kwanini kashindwa kuwafukuza chamani kwa kukiuka maadili ya chama kwa kuwaibia Watanzania au kujihusisha na rushwa!? Rushwa ni adui wa haki sitapokea wala kutoa rushwa. Je, wengine ni RUKHSA kupokea rushwa na kuendelea na uanachama wao CCM na nyadhifa zao bila kuguswa? Acha hizo!
Nadhani jibu unalo!
...tukumbuke bado wana-attend vikao vya Bunge na kupokea posho. Na bado wanapokea mafao yao.
...na kwa vile unakubali kuwa kuna baadhi ya viongozi wa ngazi za juu "wamewajibishwa" - Je ni makosa yepi hayo waliyofanya? Je, adhabu za makosa hayo ni kuacha au kuachishwa kazi pekee?!
...wakati wa Nyerere sidhani kama tungelishuhudia pesa zinaibiwa benki kuu, inathibitishwa kuwa zimeibiwa, kisha zinarudishwa na watu bila ya kumtambua aliyerudisha!!
...wakati wa Nyerere jiji la Dar-es-salaam lilikuwa halinuki kama linavyonuka hivi sasa. Mitaro ya maji yote ilikuwa inapitisha. Leo hii makao makuu ya kibiashara ya taifa ni shaghalabagala usiombe. Kazi ya viongozi ni nini na ni lini wanawajibika?!
JMK sio Dikteta wala mtu wa kukurupuka kama alivyokuwa Nyerere, kila mwenye kosa atashughulikiwa systematically na hakuna atae escape, its a matter of time.
Atawashughulikia mwaka gani? 2015 wakati anamaliza awamu yake ya pili!? Yeye mwenyewe kaingia Ikulu kwa kubebwa na mafisadi unadhani atakuwa na ubavu wa kuukata mkono uliombeba!? Si ndiyo nchi itawaka moto maana mkanda mzima sinema ya yalitokea katika kampeni za kutafuta mgombea wa CCM 2005 mafisadi wanao sasa wakiamua kuuweka hadharani mkanda huo basi itakuwa patashika nguo kuchanika.
Hatafungwa fisadi yoyote wa Richmond wala wa EPA na baada ya yatakayojiri October 2010 kesi zote hizi zitafutwa ama watafungwa wale wasiokuwa na majina lakini mapapa wa ufisadi wataendelea kupeta tu!
JMK sio Dikteta wala mtu wa kukurupuka kama alivyokuwa Nyerere, kila mwenye kosa atashughulikiwa systematically na hakuna atae escape, its a matter of time.
Tumeshaona mawaziri na vigogo wako Mahakamani kwa sasa na kila ataekuwa na hatia atakwenda mahakamani. Hakuna ataenusurika.
Huna aibu, kusema JMK kaingia Ikulu kwa kubebwa na mafisadi? au habari ya kuwa JMK alikuwa aingie Ikulu toka 1995 huijui? na akafanyiwa Roho mbaya na Nyerere na akamuweka Mkapa ili amalizie agenda za siri!
Kama hilo hulijui utakuwa ni mtu wa kushangaza sana.
Bora hata Nyerere alikuwa dikteta lakini hakuiuza nchi kwa wageni au kuiacha nchi ikielekea pabaya huku akiwa kimya na siku zote maamuzi yake yaliweka mbele maslahi ya Watanzania na Tanzania. Hata Viongozi wa dini wameamua kusema sasa maana wanaona mwelekeo wa nchi ni wa kutisha.