Chunusi za Kidevuni
New Member
- Jun 1, 2012
- 4
- 0
Jamani wanajamii,mimi nina umri wa miaka 17,nina korodani mbili kama kawaida,lakini upand mmoja kuna kitu kama korodani ya tatu,afu kinafanana na korodani nyingine,sasa naombeni ushauri wenu hki ninini?
Je kinaweza kuwa na madhara katika mfumo wa uzazi?
Je kinaweza kuwa na madhara katika mfumo wa uzazi?