Korogwe: Gari ya marehemu imetelekezwa barabarani

Korogwe: Gari ya marehemu imetelekezwa barabarani

Kuna Vitu Watu hawasemi kuhusu Korogwe, ila Kwa ufupi ni sehemu ambayo Vitu vya barabarani vinaibwa sana,
Mfano Ile barabara mpya ya kkt kupitia Habitat betri zote za solar Kwenye taa za barabarani hazipo
 
hii kama ya kubumba hivi, mtu anawezaje kufariki bila kufuatiliwa maana kama ni dereva lazima atakua na leseni, vitanmbulisho mbali mbali na hata huo usajili wa gari ni vitu ambavyo viko wazi kabisa hata kadi ya gari ingewaonyesha kuwa nio ya nani, any way mtu afe azikwe tu kienyeji bila hata kutangazwa ili watu wake wa karibu wajitokeze kumtambua.
 
Inchi hii hawana muda huo,

Labda upige mtu na kitu kizito kisogoni

Au wasikie umekimbia na hela za watu.

Utatafutwa hadi juu ya Angekua

Inchi hii hawana muda huo,

Labda upige mtu na kitu kizito kisogoni

Au wasikie umekimbia na hela za watu.

Utatafutwa hadi juu ya miti.
Angekua ni mtoto wa waziri au ndugu wa waziri, definitely ingekua tofauti kabisa, nchi hii bila name droping u nothing, wale traffic officers walifwata mikia yao baada ya Jina la waziri kuwa dropped, shame !
 
Useless polisi, ina maana polisi wilaya ya korogwe wana kazi gani, wananchi wa korogwe na Tanga kwa ujumla ni hovyo sana.

yaani Tanzania nzima Tanga ni mkoa ambao wananchi wake wamezubaa hawana jamii shirikishi iliyo imarika.

Watu wa tanga acheni uvuvi haya maswala jamii ingepeleka taarifa polisi ila tanga mna kila kitu na bado mpo nyuma huu ni uvivu watu wa tanga, nimeishi tanga ninawajua, jamii tatizo likitokea mpaka liripotiwe polisi aisee maafa yashakumba, wapo slow sana watu wa tanga.

Wenzenu wapare wamejifunza kwa wachagga how to live emu ona milima yao na ardhi yao ilivo kame ila wanawapita kwa kila kitu.

Tanga mna ardhi na kila kitu kizuri kabisa yaani maji yakutosha yasiyo na chumvi, (fresh water) mna udongo wa kilimo cha mazao na matunda, mna mpaka bandari yaani mombassa inawapita aisee inavusha gari zanzibar linakuja tz na nyie mpo.

Acheni umwinyi watu wa tanga, acheni kuridhika kifala hata kama mna watoto wazuri na by the way mwaka ujao naoa TANGA watate nane tushikamane 😅😅
 
Korogwe Mjini, Tanga Karibu na Magereza, Kuna raia alikuwa na gari private akisafiri kuelekea Moshi kutokea DSM. Gari ilipata ajali barabarani kabisa kabisa na bar maarufu iitwayo the spirit, karibu na Magereza Korogwe.

Abiria alipelekwa Hospital ya Wilaya Magunga na akafariki the same day. Baadae akawekwa Mochwari kwa siku 7 then akazikwa Korogwe baada ya kukoseakana ndugu kumtambua.

Sasa gari ipo barabarani ya silver na inatolewa vitu kidogo kidogo roughly.

Shida sana.
Ungepiga picha hiyo gari sasa.. unafeli
 
Angekua ni mtoto wa waziri au ndugu wa waziri, definitely ingekua tofauti kabisa, nchi hii bila name droping u nothing, wale traffic officers walifwata mikia yao baada ya Jina la waziri kuwa dropped, shame !
Hakika kabisa mkuu
 
Korogwe Mjini, Tanga Karibu na Magereza, Kuna raia alikuwa na gari private akisafiri kuelekea Moshi kutokea DSM. Gari ilipata ajali barabarani kabisa kabisa na bar maarufu iitwayo the spirit, karibu na Magereza Korogwe.

Abiria alipelekwa Hospital ya Wilaya Magunga na akafariki the same day. Baadae akawekwa Mochwari kwa siku 7 then akazikwa Korogwe baada ya kukoseakana ndugu kumtambua.

Sasa gari ipo barabarani ya silver na inatolewa vitu kidogo kidogo roughly.

Shida sana.
Wewe mleta mada ni daktari, polisi(mgomo baridi) au raia?
Kama hii taarifa sio fix;

  • Ulijuaje kwamba ameshazikwa?
  • Kama amezikwa kweli, makaburi gani na lini?
  • Idhini ya kumzika ilitolewa na nani na kwanini?
 
Back
Top Bottom