Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ile laana ya kuwaona watu wa Tanga kama mtaji wa kibwege wa ccm hatimaye imemalizika rasmi baada ya Mungu kuingilia kati, kuanzia sasa hakuna Mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kusema Tanga ni Ngome ya CCM, Labda awe mwehu.
Tathmini iliyofanywa na Mtandao huru wa Erythrocyte.com unaonyesha kwamba Wananchi wa Tanga sasa wameikataa kabisa ccm baada ya kufuatilia mikutano ya Chadema, inayoitwa Oparesheni 255 kote ilikopita
Hebu angalia Mkutano huu wa CHADEMA pale Korogwe halafu Toa maoni yako
Tathmini iliyofanywa na Mtandao huru wa Erythrocyte.com unaonyesha kwamba Wananchi wa Tanga sasa wameikataa kabisa ccm baada ya kufuatilia mikutano ya Chadema, inayoitwa Oparesheni 255 kote ilikopita
Hebu angalia Mkutano huu wa CHADEMA pale Korogwe halafu Toa maoni yako