Pre GE2025 Korogwe: Sasa ni Rasmi CCM yafutwa Mkoa wa Tanga

Pre GE2025 Korogwe: Sasa ni Rasmi CCM yafutwa Mkoa wa Tanga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ile laana ya kuwaona watu wa Tanga kama mtaji wa kibwege wa ccm hatimaye imemalizika rasmi baada ya Mungu kuingilia kati, kuanzia sasa hakuna Mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kusema Tanga ni Ngome ya CCM, Labda awe mwehu.

Tathmini iliyofanywa na Mtandao huru wa Erythrocyte.com unaonyesha kwamba Wananchi wa Tanga sasa wameikataa kabisa ccm baada ya kufuatilia mikutano ya Chadema, inayoitwa Oparesheni 255 kote ilikopita

Hebu angalia Mkutano huu wa CHADEMA pale Korogwe halafu Toa maoni yako

Screenshot_2024-07-03-20-52-56-1.png
Screenshot_2024-07-03-20-53-14-1.png
Screenshot_2024-07-03-20-52-47-1.png
Screenshot_2024-07-03-20-52-38-1.png
Screenshot_2024-07-03-20-52-28-1.png
Screenshot_2024-07-03-20-52-18-1.png
Screenshot_2024-07-03-20-52-08-1.png
Screenshot_2024-07-03-20-51-58-1.png
Screenshot_2024-07-03-20-51-48-1.png
 
Back
Top Bottom