Chapati Tatu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2024
- 338
- 740
Amesema alikoficha???Anadai alikopa Milioni 600 Benk akiwa Mbunge zote akazificha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema alikoficha???Anadai alikopa Milioni 600 Benk akiwa Mbunge zote akazificha
Anasema walimpa kesi ya uchochezi akashangaa kwenfa kukahuliwa nyumbani😅😅😅Amesema alikoficha???
Uchochezi wa nn??? Huenda walienda kuhakiki km kweli ana kichocheo nyumbani. Pia pesa alificha wap?Anasema walimpa kesi ya uchochezi akashangaa kwenfa kukahuliwa nyumbani😅😅😅
Itachukua Miaka 100 kupata hotuba kama hiiYa Karne hahahaaa
HahahaUchochezi wa nn??? Huenda walienda kuhakiki km kweli ana kichocheo nyumbani. Pia pesa alificha wap?
Anadai alikopa Milioni 600 Benk akiwa Mbunge zote akazificha
Bado.Tathmini iliyofanywa na Mtandao huru wa Erythrocyte.com unaonyesha kwamba Wananchi wa Tanga sasa wameikataa kabisa ccm baada ya kufuatilia mikutano ya Chadema, inayoitwa Oparesheni 255 kote ilikopita
Huko "nje ya CCM" na kwenyewe sasa kunatia shaka sana.Mwalimu alisemaga Wananchi wanataka mabadiliko 🙄
Wakiyakosa ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM ! 😳🙌👍
Kwa maana gani. Wewe ni popo?Sijawahi kuwa upande wowote
To be specificUsiwaamini watu wa Pwani
Sidhani kuwa anayo akili ya kutosha kuielewa hii. Akisikia hayo maswali aliyouliza huyo Binti Fito, na majibu aliyopewa na hao wabunge, atajuwa yupo sahihi sana. Hana uwezo wa kudadisi zaidi ya hapo.
Wamejiandikisha kama wapiga kura?Ile laana ya kuwaona watu wa Tanga kama mtaji wa kibwege wa ccm hatimaye imemalizika rasmi baada ya Mungu kuingilia kati, kuanzia sasa hakuna Mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kusema Tanga ni Ngome ya CCM, Labda awe mwehu.
Tathmini iliyofanywa na Mtandao huru wa Erythrocyte.com unaonyesha kwamba Wananchi wa Tanga sasa wameikataa kabisa ccm baada ya kufuatilia mikutano ya Chadema, inayoitwa Oparesheni 255 kote ilikopita
Hebu angalia Mkutano huu wa CHADEMA pale Korogwe halafu Toa maoni yako
Mm n popobawaKwa maana gani. Wewe ni popo?
Hata upande wa Tanzania hupo!