Pre GE2025 Korogwe: Sasa ni Rasmi CCM yafutwa Mkoa wa Tanga

Pre GE2025 Korogwe: Sasa ni Rasmi CCM yafutwa Mkoa wa Tanga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
A
Ile laana ya kuwaona watu wa Tanga kama mtaji wa kibwege wa ccm hatimaye imemalizika rasmi baada ya Mungu kuingilia kati, kuanzia sasa hakuna Mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kusema Tanga ni Ngome ya CCM, Labda awe mwehu.

Tathmini iliyofanywa na Mtandao huru wa Erythrocyte.com unaonyesha kwamba Wananchi wa Tanga sasa wameikataa kabisa ccm baada ya kufuatilia mikutano ya Chadema, inayoitwa Oparesheni 255 kote ilikopita

Hebu angalia Mkutano huu wa CHADEMA pale Korogwe halafu Toa maoni yako

Umeanza kuwehuka😂😂😂😂
 
Huko "nje ya CCM" na kwenyewe sasa kunatia shaka sana.

Katika hali ya kawaida, hii CCM ya 'Chura Kiziwi" ingekuwa ni kama kumsukuma mlevi tu; lakini hali haionyeshi kuwa ya kawaida hata huko nje.
Kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi !!
Ila kwa kweli ilishasemwa zamani kwamba huwezi kutumikia mabwana wawili 🙄🙌

Fedha Fedheha 😳😳🤦🏽‍♂️
 
CCM ninayo ifahamu Mimi haijawahi kushindwa tangu dunia iumbwe. 😃😃😃
 
Ile laana ya kuwaona watu wa Tanga kama mtaji wa kibwege wa ccm hatimaye imemalizika rasmi baada ya Mungu kuingilia kati, kuanzia sasa hakuna Mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kusema Tanga ni Ngome ya CCM, Labda awe mwehu.

Tathmini iliyofanywa na Mtandao huru wa Erythrocyte.com unaonyesha kwamba Wananchi wa Tanga sasa wameikataa kabisa ccm baada ya kufuatilia mikutano ya Chadema, inayoitwa Oparesheni 255 kote ilikopita

Hebu angalia Mkutano huu wa CHADEMA pale Korogwe halafu Toa maoni yako

Hawa ndio watu wote wa Korogwe?
 
Ile laana ya kuwaona watu wa Tanga kama mtaji wa kibwege wa ccm hatimaye imemalizika rasmi baada ya Mungu kuingilia kati, kuanzia sasa hakuna Mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kusema Tanga ni Ngome ya CCM, Labda awe mwehu.

Tathmini iliyofanywa na Mtandao huru wa Erythrocyte.com unaonyesha kwamba Wananchi wa Tanga sasa wameikataa kabisa ccm baada ya kufuatilia mikutano ya Chadema, inayoitwa Oparesheni 255 kote ilikopita

Hebu angalia Mkutano huu wa CHADEMA pale Korogwe halafu Toa maoni yako

Viva Chadema
 
Bado.
Bado kabisa!

Kuna mambo kadhaa:
Mosi - Jezi za Bodaboda 'Korogwe' Hazijawafikia huko, bado zinaambaa ambaa Ilala.

Pili - Nasikia lengo la chama sasa ni kupata wabunge wengi; hamna nia tena ya kuiondoa CCM ya mama madarakani. Nataka kuwahakikishia hata hilo lengo la wabunge; pamoja na kuwa la kihayawani, hamtaambilia kitu. Mtatupiwa tu vimifupa hapa na pale.

Hizi 'nyomi' tunazoletewa humu bila hata ya dokezo lolote la yaliyozungumzwa kwenye mikutano hiyo, ni ishara tosha ya chama kukengeuka.
Kuna matatizo huko ndani ya chama.
Haya maonyesho ya umati wa watu hayatusaidii chochote sisi.

Mwisho: Ni kama nimekuona kule kwenye picha ya mwanzo kabisa, upande wa kushoto, mstari wa mbele ukiwa umevaa singleti nyeusi! Haaaaaa!
Niko Chadema na wewe unajua hiyo sentensi yako ya Pili haipo na haijawahi kuwepo
 
Niko Chadema na wewe unajua hiyo sentensi yako ya Pili haipo na haijawahi kuwepo
Ni vema/sahihi "Kujisahihisha" kungali mapema kidogo. Sintofahamu ndani ya chama wakati 'critical' kama huu hakuleti matumaini.
Unajuwa! Ukiwa "ndani" wakati mwingine unakosa kuona baadhi ya ishara muhimu zinazo onekana ukiwa nje.
Unajuwa wazi kuwa siyo wote walio nje ni wasambaza sumu.
 
Ile laana ya kuwaona watu wa Tanga kama mtaji wa kibwege wa ccm hatimaye imemalizika rasmi baada ya Mungu kuingilia kati, kuanzia sasa hakuna Mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kuthubutu kusema Tanga ni Ngome ya CCM, Labda awe mwehu.

Tathmini iliyofanywa na Mtandao huru wa Erythrocyte.com unaonyesha kwamba Wananchi wa Tanga sasa wameikataa kabisa ccm baada ya kufuatilia mikutano ya Chadema, inayoitwa Oparesheni 255 kote ilikopita

Hebu angalia Mkutano huu wa CHADEMA pale Korogwe halafu Toa maoni yako

Tofautisha kati ya wilaya ya Korogwe na Wilaya ya Tanga,ambayo ni jiji,Wilaya ya Tanga,nitofauti na wilaya ya Korogwe,wilaya zote mbili ziko mkoa wa Tanga.Wengi gawajui kama kuna wilaya ya Tanga,na mkoa wa Tanga.Wilaya ya Tanga,ambayo ni jiji,ndio ngome ya CCM.
 
Back
Top Bottom