wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
This is simply inhuman!Lazima uwe na genes za wanyama kufanya tukio la hivyo!
Hivi hawa wezi wa toyo si hua wanawapiga nondo au kuwachinja dereva wa bodaboda ili wachukue hizo pikipiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is simply inhuman!Lazima uwe na genes za wanyama kufanya tukio la hivyo!
sio vichaa wizi unaumiza moyo[emoji24]Wanasema ni Mwizi wa bodaboda ,kwahiyo alivyokamatwa hao vichaa wakaamua kumburuza kwenye moramu.
sio vichaa wizi unaumiza moyo[emoji24]
Umewahi kukutwa na masaibu haya au mtu wako wa karibu kuibiwa bodaboda au bajaji akawa hai akakuelezea kilichomkuta!?Kama hakuua hii adhabu haikuwa sawa kabisa..
Kama hao jamaa wamekamatwa na wafungwe tu.
Hata kama wanafanya hivyo,huwezi kufanya kitendo cha namna hiyo kwa binadamu mwenzako!Hivi hawa wezi wa toyo si hua wanawapiga nondo au kuwachinja dereva wa bodaboda ili wachukue hizo pikipiki?
Washapewa murder haoHao jamaa si walishakamatwa na wanashitakiwa kwa mauaji?
Hata kama wanafanya hivyo,huwezi kufanya kitendo cha namna hiyo kwa binadamu mwenzako!
Lazima utakuwa hauko sawa kichwani!
Ila wezi wao wakiwa wanachinja hao bodaboda wanakua wako sawa kichwani?Hata kama wanafanya hivyo,huwezi kufanya kitendo cha namna hiyo kwa binadamu mwenzako!
Lazima utakuwa hauko sawa kichwani!
Imekula kwao.Washapewa murder hao
Ova
Nimeogopa sanaWabongo wakatili sana.