Korogwe, Tanga: Waliomburuza Jamaa Kwenye Bodaboda Mpaka Kumuua Wakamatwa

Korogwe, Tanga: Waliomburuza Jamaa Kwenye Bodaboda Mpaka Kumuua Wakamatwa

Hata kama wanafanya hivyo bado haihalalishi kufanya ujinga huo!!sasa wamefaidika nini nao wanaenda kufia jela kutokana na maamuzi ya kipuuzi hayo!!hata kama wangekuwa wamemkamata kweli ameiba kulikuwa na njia za kumfanya ambazo zisinge wapelekea kwenye matatizo hayo!!
Hizo njia za kumalizana na wezi kwa busara wamekuachia wewe,wao wametumia njia effective and efficient.
 
Wezi wa pikipiki wakikudaka wanakuua na kuchukua pikipiki...hao jamaa wako sawa kabisa sema wangemchoma moto tu
Najua kuna baadhi hawatokuelewa.
Ila niliwahi shuhudia mtu kakatwa kichwa na wezi hao wa bodaboda na kuuliwa na boda ikaibwa ....
so watu tusiangalie tu one side.
 
Mwaka 2017 katika kijiwe chetu kwa kopa kuna mmoja aliibiwa pikipiki waliomuibia pikipiki walimtoboa macho jamaa na kuondoka na pikipiki.

Mwaka huo huo nyuma ya Victoria Service Station ya Ali Hassan Mwinyi Road kuna bodaboda wa kijiwe cha Victoria aliporwa pikipiki akaibiwa hesabu ya siku na kuumizwa.

Mwaka 2018 kuna dereva bajaji aliuawa na kuporwa bajaji eneo pa Uporoto ya Mwananyamala Bwawani.

Mwaka 2018 hiyo hiyo kuna dereva bodaboda alipigwa na kuibiwa pikipiki eneo hilo hilo la Uporoto.

Mwaka 2018 hiyo hiyo aliuawa jamaa aliyemleta dereva bajaji hilo eneo la Uporoto ili kumuibia bajaji. Aliokua nao walikimbia.

Mwaka 2018 mwanakijiwe aliibiwa pikipiki Sinza kwa kipigo.

Mwaka 2018 deiwaka alitapeliwa pikipiki kwa kudanganywa anagewa dili ya kusafirisha mirungi.

Mwaka 2019 mwanakijiwe aliibiwa pikipiki Keko at knife point huku wauza vitumbua na samaki wa hapo mtaani wakiangalia.

Hayo ni matukio ninayoweza kuyakumbuka kwa haraka ambayo yalihusisha kutishia uhai. Bodaboda wakiungana kumshughulikia mwizi kwa ambaye nishakua in action naelewa kwanini wanafanya hivyo.

Utakuta pikipiki wanaiba wako watatu au wanne. Wanaiuza kuanzia laki nne mpaka nane so kwa wastani wanapata laki mbili kwa tukio. Kama yeye yupo radhi kuua mtu ili apate laki mbili kwanini asiwe radhi kufa kwa laki mbili hiyo hiyo?

Bome-e
Mkuu mtu anapofanya tukio la wizi maana yake amejiandaa kwa outcome yeyote,hilo ni sawa!
Lakini
Mwaka 2017 katika kijiwe chetu kwa kopa kuna mmoja aliibiwa pikipiki waliomuibia pikipiki walimtoboa macho jamaa na kuondoka na pikipiki.

Mwaka huo huo nyuma ya Victoria Service Station ya Ali Hassan Mwinyi Road kuna bodaboda wa kijiwe cha Victoria aliporwa pikipiki akaibiwa hesabu ya siku na kuumizwa.

Mwaka 2018 kuna dereva bajaji aliuawa na kuporwa bajaji eneo pa Uporoto ya Mwananyamala Bwawani.

Mwaka 2018 hiyo hiyo kuna dereva bodaboda alipigwa na kuibiwa pikipiki eneo hilo hilo la Uporoto.

Mwaka 2018 hiyo hiyo aliuawa jamaa aliyemleta dereva bajaji hilo eneo la Uporoto ili kumuibia bajaji. Aliokua nao walikimbia.

Mwaka 2018 mwanakijiwe aliibiwa pikipiki Sinza kwa kipigo.

Mwaka 2018 deiwaka alitapeliwa pikipiki kwa kudanganywa anagewa dili ya kusafirisha mirungi.

Mwaka 2019 mwanakijiwe aliibiwa pikipiki Keko at knife point huku wauza vitumbua na samaki wa hapo mtaani wakiangalia.

Hayo ni matukio ninayoweza kuyakumbuka kwa haraka ambayo yalihusisha kutishia uhai. Bodaboda wakiungana kumshughulikia mwizi kwa ambaye nishakua in action naelewa kwanini wanafanya hivyo.

Utakuta pikipiki wanaiba wako watatu au wanne. Wanaiuza kuanzia laki nne mpaka nane so kwa wastani wanapata laki mbili kwa tukio. Kama yeye yupo radhi kuua mtu ili apate laki mbili kwanini asiwe radhi kufa kwa laki mbili hiyo hiyo?

Bome-e
Ukifanya kama hao walivyofanya,unakuwa na tofauti gani na wao?
Tuishi kwa taratibu tulizojiwekea na si kuchukua sheria mkononi!Madhara ya kuchukua sheria mkononi ni makubwa sana kuliko faida zake!
Nikipata nafasi nitakueleza namna mwanafunzi mwenzangu alivyouwawa hostel za mabibo kwa kuitiwa mwizi na mpenzi wake aliyemfumani!
 
Mkuu mtu anapofanya tukio la wizi maana yake amejiandaa kwa outcome yeyote,hilo ni sawa!
Lakini

Ukifanya kama hao walivyofanya,unakuwa na tofauti gani na wao?
Tuishi kwa taratibu tulizojiwekea na si kuchukua sheria mkononi!Madhara ya kuchukua sheria mkononi ni makubwa sana kuliko faida zake!
Nikipata nafasi nitakueleza namna mwanafunzi mwenzangu alivyouwawa hostel za mabibo kwa kuitiwa mwizi na mpenzi wake aliyemfumani!
Mfanyabiashara ukidhulumiwa halafu ukamuua aliyekudhulumu unakua umetoa bold statement kwa mwingine atakayewazia kukudhulumu.

Madereva wa bodaboda wanachofanya hapo ni kutoa statement kwa wezi wengine waliobakia.
 
Hata kama wanafanya hivyo,huwezi kufanya kitendo cha namna hiyo kwa binadamu mwenzako!
Lazima utakuwa hauko sawa kichwani!
Kumpiga nondo na kumuua mwenye bodaboda wewe unaona sawa Ila akikamatwa wewe unamtetea, utakuwa mmoja wa wapiga nondo wewe.
 
Wapewe onyo na kuachiwa huru ukatili wa wezi wa bodaboda unatisha jinsi wanavyowafanyia wanaowapora

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Korogwe ndy zao
Kuna wakati fulani
Kuna jamaa mmja alikuwa
Anaitwa restaurant alikuwa ananunua
Pikipiki za wizi aliwekaga kituo hapo
Jamaa hko walimpigia kibiriti

Ova
 
Kumpiga nondo na kumuua mwenye bodaboda wewe unaona sawa Ila akikamatwa wewe unamtetea, utakuwa mmoja wa wapiga nondo wewe.
Kipi kinakufanya uwe binadamu na kipi kinakufanya uwe mnyama?
Ukifanya hayo,unakuwa na tofauti gani na wao?
Kwa ujinga wao,wanaenda kuozea jela!Tusipende kuchukua sheria mkononi maana madhara yake ni makubwa!
 
Najua kuna baadhi hawatokuelewa.
Ila niliwahi shuhudia mtu kakatwa kichwa na wezi hao wa bodaboda na kuuliwa na boda ikaibwa ....
so watu tusiangalie tu one side.
Ni kweli wanatenda hayo,sasa ukilipa huo unyama na wewe si unakuwa kama wao tu?
Ona sasa wanaenda kuozea jela!Hasara kwa nani?Familia zao zinabaki zinateseka kwa kuendeshwa na mihemko!
 
Tofauti yako na wao inakua wapi hapo?
Nimeshaibiwa sana na wameniingiza hasara sana tu. Lakini kumuua au kumburuza mtu kiasi hicho hadi mauti imkute sio jambo la kufurahia.
Wewe ni mwizi mwenzao bila shaka
 
Hata kama wanafanya hivyo bado haihalalishi kufanya ujinga huo!!sasa wamefaidika nini nao wanaenda kufia jela kutokana na maamuzi ya kipuuzi hayo!!hata kama wangekuwa wamemkamata kweli ameiba kulikuwa na njia za kumfanya ambazo zisinge wapelekea kwenye matatizo hayo!!
Acha ujinga pumbavu wezi wakubwa nyie. Dawa yenu kuwaua tu
 
Vibya sana. Hata kama wameibiwa pikipiki, kumburuza mwizi namna ile sio sana hata!
Acha ujinga wewe. Wenyewe wanavowachinja bodaboda na kupora pikipiki unaona sawa tu.
Wewe ni mwizi mwenzao?
 
Acha ujinga pumbavu wezi wakubwa nyie. Dawa yenu kuwaua tu
Mwizi mama yako!!sasa kawatoe huko jela, vijana wadogo miaka 20s' sasa ndio basi tena, na kama hakuwa na mtoto ndio imetoka hiyo?!!kwanza wiki hizi mbili umeshawaona walivyo huko mahabusu??kweli ile kauli ya RPC, kuwa watasimulia, nimeiamini, madogo wametepeta, ile mbaya, sijui kama hata watafika kwenye hukumu yao!!!
 
Endelea kuomba Mungu usiingie katika mikono ya wezi/majambazi ili uendelee kuhubiri ubinadamu pindi wanapokamatwa!!

Nakukumbusha tu: watakupiga bila huruma, ikiwa bahati kwako ufe au laah upone ujikute pengine mlemavu!! Na hali hiyo hiyo polisi nao wanataka kula hapo kwako, yaan umeporwa na umeumizwa pengine ulilazwa mawiki kadhaa hospitali bado unafuatilia upelelezi polisi wanataka chochote kitu.

Kuna mengine kama kudhalilishwa mbele ya mkeo na familia, Kupoteza ajira kutokana na ulemavu!! Daaaah! Bro, endelea kuhubiri ubinadamu kwa wezi, Mungu atakulipa
Kuna rafiki yangu Mwanza walimvamia nyumbani kwake. Wakamkata mapanga vibaya sana, mwanae mmoja akauawa kwa mapanga, kisha wakaingia ndani na kuchukua fedha zote zilizokuwemo. Jamaa mpaka leo ni mlemavu. Alivoona hii video aliongea kama ulivoongea. Mtu kama hayajakutokea utakuwa na huruma lakini kama kimekukuta vizuri, sidhani kama utaongea habari ya ubinadamu maana wao wakija huo ubinadamu hawana.
 
Wewe ni mwizi mwenzao bila shaka

Afadhali umeweka neno bila shaka.
Huwezi kujua kama na mimi ni mwenzao ila narudia tena, kumfanyia binadamu kitendo cha aina hiyo ni zaidi ya unyama.

Mie ni muhanga mzoefu wa wezi lakini kamwe siwezi buruza binadamu hadi akate roho. Si umeona wameishia kufungwa?
 
Back
Top Bottom