Korogwe, Tanga: Waliomburuza Jamaa Kwenye Bodaboda Mpaka Kumuua Wakamatwa

Na ile alikuwa anagongwa na gari iliishia wapi?
 
Kama hakuua hii adhabu haikuwa sawa kabisa..
Kama hao jamaa wamekamatwa na wafungwe tu.
Umewahi kukutwa na masaibu haya au mtu wako wa karibu kuibiwa bodaboda au bajaji akawa hai akakuelezea kilichomkuta!?
 
Hivi hawa wezi wa toyo si hua wanawapiga nondo au kuwachinja dereva wa bodaboda ili wachukue hizo pikipiki?
Hata kama wanafanya hivyo,huwezi kufanya kitendo cha namna hiyo kwa binadamu mwenzako!
Lazima utakuwa hauko sawa kichwani!
 
Hata kama wanafanya hivyo,huwezi kufanya kitendo cha namna hiyo kwa binadamu mwenzako!
Lazima utakuwa hauko sawa kichwani!

Endelea kuomba Mungu usiingie katika mikono ya wezi/majambazi ili uendelee kuhubiri ubinadamu pindi wanapokamatwa!!

Nakukumbusha tu: watakupiga bila huruma, ikiwa bahati kwako ufe au laah upone ujikute pengine mlemavu!! Na hali hiyo hiyo polisi nao wanataka kula hapo kwako, yaan umeporwa na umeumizwa pengine ulilazwa mawiki kadhaa hospitali bado unafuatilia upelelezi polisi wanataka chochote kitu.

Kuna mengine kama kudhalilishwa mbele ya mkeo na familia, Kupoteza ajira kutokana na ulemavu!! Daaaah! Bro, endelea kuhubiri ubinadamu kwa wezi, Mungu atakulipa
 
Hata kama wanafanya hivyo,huwezi kufanya kitendo cha namna hiyo kwa binadamu mwenzako!
Lazima utakuwa hauko sawa kichwani!
Ila wezi wao wakiwa wanachinja hao bodaboda wanakua wako sawa kichwani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…