wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Hizo njia za kumalizana na wezi kwa busara wamekuachia wewe,wao wametumia njia effective and efficient.Hata kama wanafanya hivyo bado haihalalishi kufanya ujinga huo!!sasa wamefaidika nini nao wanaenda kufia jela kutokana na maamuzi ya kipuuzi hayo!!hata kama wangekuwa wamemkamata kweli ameiba kulikuwa na njia za kumfanya ambazo zisinge wapelekea kwenye matatizo hayo!!
Wezi wanaoiba hizo bodaboda wana roho ngumu zaidi,ukisikia roho ngumu ndiyo hizo za hao bodaboda.
Najua kuna baadhi hawatokuelewa.Wezi wa pikipiki wakikudaka wanakuua na kuchukua pikipiki...hao jamaa wako sawa kabisa sema wangemchoma moto tu
Mkuu mtu anapofanya tukio la wizi maana yake amejiandaa kwa outcome yeyote,hilo ni sawa!Mwaka 2017 katika kijiwe chetu kwa kopa kuna mmoja aliibiwa pikipiki waliomuibia pikipiki walimtoboa macho jamaa na kuondoka na pikipiki.
Mwaka huo huo nyuma ya Victoria Service Station ya Ali Hassan Mwinyi Road kuna bodaboda wa kijiwe cha Victoria aliporwa pikipiki akaibiwa hesabu ya siku na kuumizwa.
Mwaka 2018 kuna dereva bajaji aliuawa na kuporwa bajaji eneo pa Uporoto ya Mwananyamala Bwawani.
Mwaka 2018 hiyo hiyo kuna dereva bodaboda alipigwa na kuibiwa pikipiki eneo hilo hilo la Uporoto.
Mwaka 2018 hiyo hiyo aliuawa jamaa aliyemleta dereva bajaji hilo eneo la Uporoto ili kumuibia bajaji. Aliokua nao walikimbia.
Mwaka 2018 mwanakijiwe aliibiwa pikipiki Sinza kwa kipigo.
Mwaka 2018 deiwaka alitapeliwa pikipiki kwa kudanganywa anagewa dili ya kusafirisha mirungi.
Mwaka 2019 mwanakijiwe aliibiwa pikipiki Keko at knife point huku wauza vitumbua na samaki wa hapo mtaani wakiangalia.
Hayo ni matukio ninayoweza kuyakumbuka kwa haraka ambayo yalihusisha kutishia uhai. Bodaboda wakiungana kumshughulikia mwizi kwa ambaye nishakua in action naelewa kwanini wanafanya hivyo.
Utakuta pikipiki wanaiba wako watatu au wanne. Wanaiuza kuanzia laki nne mpaka nane so kwa wastani wanapata laki mbili kwa tukio. Kama yeye yupo radhi kuua mtu ili apate laki mbili kwanini asiwe radhi kufa kwa laki mbili hiyo hiyo?
Bome-e
Ukifanya kama hao walivyofanya,unakuwa na tofauti gani na wao?Mwaka 2017 katika kijiwe chetu kwa kopa kuna mmoja aliibiwa pikipiki waliomuibia pikipiki walimtoboa macho jamaa na kuondoka na pikipiki.
Mwaka huo huo nyuma ya Victoria Service Station ya Ali Hassan Mwinyi Road kuna bodaboda wa kijiwe cha Victoria aliporwa pikipiki akaibiwa hesabu ya siku na kuumizwa.
Mwaka 2018 kuna dereva bajaji aliuawa na kuporwa bajaji eneo pa Uporoto ya Mwananyamala Bwawani.
Mwaka 2018 hiyo hiyo kuna dereva bodaboda alipigwa na kuibiwa pikipiki eneo hilo hilo la Uporoto.
Mwaka 2018 hiyo hiyo aliuawa jamaa aliyemleta dereva bajaji hilo eneo la Uporoto ili kumuibia bajaji. Aliokua nao walikimbia.
Mwaka 2018 mwanakijiwe aliibiwa pikipiki Sinza kwa kipigo.
Mwaka 2018 deiwaka alitapeliwa pikipiki kwa kudanganywa anagewa dili ya kusafirisha mirungi.
Mwaka 2019 mwanakijiwe aliibiwa pikipiki Keko at knife point huku wauza vitumbua na samaki wa hapo mtaani wakiangalia.
Hayo ni matukio ninayoweza kuyakumbuka kwa haraka ambayo yalihusisha kutishia uhai. Bodaboda wakiungana kumshughulikia mwizi kwa ambaye nishakua in action naelewa kwanini wanafanya hivyo.
Utakuta pikipiki wanaiba wako watatu au wanne. Wanaiuza kuanzia laki nne mpaka nane so kwa wastani wanapata laki mbili kwa tukio. Kama yeye yupo radhi kuua mtu ili apate laki mbili kwanini asiwe radhi kufa kwa laki mbili hiyo hiyo?
Bome-e
Mfanyabiashara ukidhulumiwa halafu ukamuua aliyekudhulumu unakua umetoa bold statement kwa mwingine atakayewazia kukudhulumu.Mkuu mtu anapofanya tukio la wizi maana yake amejiandaa kwa outcome yeyote,hilo ni sawa!
Lakini
Ukifanya kama hao walivyofanya,unakuwa na tofauti gani na wao?
Tuishi kwa taratibu tulizojiwekea na si kuchukua sheria mkononi!Madhara ya kuchukua sheria mkononi ni makubwa sana kuliko faida zake!
Nikipata nafasi nitakueleza namna mwanafunzi mwenzangu alivyouwawa hostel za mabibo kwa kuitiwa mwizi na mpenzi wake aliyemfumani!
Kumpiga nondo na kumuua mwenye bodaboda wewe unaona sawa Ila akikamatwa wewe unamtetea, utakuwa mmoja wa wapiga nondo wewe.Hata kama wanafanya hivyo,huwezi kufanya kitendo cha namna hiyo kwa binadamu mwenzako!
Lazima utakuwa hauko sawa kichwani!
Huyo Ni mwizi anatetea wauwaji wenzake.Ila wezi wao wakiwa wanachinja hao bodaboda wanakua wako sawa kichwani?
Aendelee tu Ila siku akidakwa watazaa nae.Huyo Ni mwizi anatetea wauwaji wenzake.
Korogwe ndy zaoWapewe onyo na kuachiwa huru ukatili wa wezi wa bodaboda unatisha jinsi wanavyowafanyia wanaowapora
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Kipi kinakufanya uwe binadamu na kipi kinakufanya uwe mnyama?Kumpiga nondo na kumuua mwenye bodaboda wewe unaona sawa Ila akikamatwa wewe unamtetea, utakuwa mmoja wa wapiga nondo wewe.
Angalia sasa wanaenda kuozea jela!Hasara kwa nani?Huyo Ni mwizi anatetea wauwaji wenzake.
Ni kweli wanatenda hayo,sasa ukilipa huo unyama na wewe si unakuwa kama wao tu?Najua kuna baadhi hawatokuelewa.
Ila niliwahi shuhudia mtu kakatwa kichwa na wezi hao wa bodaboda na kuuliwa na boda ikaibwa ....
so watu tusiangalie tu one side.
Wewe ni mwizi mwenzao bila shakaTofauti yako na wao inakua wapi hapo?
Nimeshaibiwa sana na wameniingiza hasara sana tu. Lakini kumuua au kumburuza mtu kiasi hicho hadi mauti imkute sio jambo la kufurahia.
Acha ujinga pumbavu wezi wakubwa nyie. Dawa yenu kuwaua tuHata kama wanafanya hivyo bado haihalalishi kufanya ujinga huo!!sasa wamefaidika nini nao wanaenda kufia jela kutokana na maamuzi ya kipuuzi hayo!!hata kama wangekuwa wamemkamata kweli ameiba kulikuwa na njia za kumfanya ambazo zisinge wapelekea kwenye matatizo hayo!!
Wezi wakubwa nyie. Dawa yenu kuwaua tu.Sheria haiko hivyo!Hao wanaenda kula si chini ya miaka 30!
Acha ujinga wewe. Wenyewe wanavowachinja bodaboda na kupora pikipiki unaona sawa tu.Vibya sana. Hata kama wameibiwa pikipiki, kumburuza mwizi namna ile sio sana hata!
Mwizi mama yako!!sasa kawatoe huko jela, vijana wadogo miaka 20s' sasa ndio basi tena, na kama hakuwa na mtoto ndio imetoka hiyo?!!kwanza wiki hizi mbili umeshawaona walivyo huko mahabusu??kweli ile kauli ya RPC, kuwa watasimulia, nimeiamini, madogo wametepeta, ile mbaya, sijui kama hata watafika kwenye hukumu yao!!!Acha ujinga pumbavu wezi wakubwa nyie. Dawa yenu kuwaua tu
Kuna rafiki yangu Mwanza walimvamia nyumbani kwake. Wakamkata mapanga vibaya sana, mwanae mmoja akauawa kwa mapanga, kisha wakaingia ndani na kuchukua fedha zote zilizokuwemo. Jamaa mpaka leo ni mlemavu. Alivoona hii video aliongea kama ulivoongea. Mtu kama hayajakutokea utakuwa na huruma lakini kama kimekukuta vizuri, sidhani kama utaongea habari ya ubinadamu maana wao wakija huo ubinadamu hawana.Endelea kuomba Mungu usiingie katika mikono ya wezi/majambazi ili uendelee kuhubiri ubinadamu pindi wanapokamatwa!!
Nakukumbusha tu: watakupiga bila huruma, ikiwa bahati kwako ufe au laah upone ujikute pengine mlemavu!! Na hali hiyo hiyo polisi nao wanataka kula hapo kwako, yaan umeporwa na umeumizwa pengine ulilazwa mawiki kadhaa hospitali bado unafuatilia upelelezi polisi wanataka chochote kitu.
Kuna mengine kama kudhalilishwa mbele ya mkeo na familia, Kupoteza ajira kutokana na ulemavu!! Daaaah! Bro, endelea kuhubiri ubinadamu kwa wezi, Mungu atakulipa
Wewe ni mwizi mwenzao bila shaka
Halafu unaenda kuozea jela,hasara kapata nani?Mwizi kafa,wewe unaenda kusota jela!Wezi wakubwa nyie. Dawa yenu kuwaua tu.