Korogwe: Watu 6 wafariki Dunia, 19 wajeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka

Katika nchi za Africa mashariki Tanzania inaongoza Kwa ajili hii inatokana na barabara zetu za hovyo na miundombinu ya kijinga
Mara nyingi baadhi ya madereva Wana kimbiza sana magar hasa hiz Costa Zina kimbiaga sana Hata huki Kanda ya kaskazin Arusha moshi Costa Zina ongoza Kwa speed sana ,na uendeshaji wa hao madereva ni WA hovyo sana
 
Katika nchi za Africa mashariki Tanzania inaongoza Kwa ajili hii inatokana na barabara zetu za hovyo na miundombinu ya kijinga
Poleni sana ndugu wa wafiwa na walioumia, Tuwaombee.
Pamoja na mwendo kasi, lakini pia barabara zina kasoro kwenye kona. Kama kuna kona kali lazima barabara itengenezwe kwa kuinamia ndani ya mzunguko, lakini utakuta pawe na kona pasiwe na kona barabara iko vile vile.
Road construction should consider centripetal force
 
Na spidi 180 kazi yake ni nini? Ziondolewe.
Kuna muda wa kuitumia na muda wa kutoitumia, full light unaweza usione mashimo mbele yako.
umesema full light inakufanya usione barabara

sasa ni wakati gani inatumika ambapo huhitaji kuangalia barabara, ni pale unapoangalia mawingu kwenye sun roof?
 
Chanzo cha ajali: Mwendokasi kwenye kona.

Je inahusiana vipi na sababu uliotoa hapo juu
Ni kweli kuna uzembe mwingi Kwa baadhi ya madereva hasa kwenye mwendokasi lkn pia miundombinu yetu wabongo sio rafiki....Kwa mfano barabara ya kwenda mtwara jaribu kupita utaona jinsi ulivyokuwa nyembamba alafu ina viraka kutoka hapa DAR mpaka unafika MTWARA
 
Korogwe once again
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…