azithromycim
JF-Expert Member
- Apr 18, 2019
- 288
- 714
Huwa sikisii.Soma vizuri
Najutia sana kuwa na yule singo maza, amenirudisha nyuma sanaKuoa single mother asijaribu
AlhamduliLlah.Una akili sana
Naam upo sahihi sana.Ogapa sana bidhaa ambayo baada ya kuinunua anabaki nayo muuzaji
Futa hii comments tafadhaliKijana wa kike au kiume usijaribu kilevi chaaina yotote
Kushabikia CCM kujitoa ufahamu na kuwa chawa wa Viongozi, na kutetea kundi linaloiba rasilimali za inchiWakuu tushauriane hapa.
Kama Mwanaume , Taja Kosa moja ambalo Umefanya Katika Maisha ili Mvulana Asirudie.
Kama mwanamke , Taja Kosa moja ambalo Umefanya Katika Maisha ili Msichana Asirudie.
Alikufanyia nini tenaNajutia sana kuwa na yule singo maza, amenirudisha nyuma sana
We acha tu ndugu yanguAlikufanyia nini tena
Nashukuru sijamuoa ila nilikuwa nshamtambulishaUlioa kwa kutokujua au ulijua baada ya kuoa?
Inaonekana alikupiga kwenye mfupaWe acha tu ndugu yangu
Uko sahihiInaonekana alikupiga kwenye mfupa
Pole sanaUko sahihi