ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 7,895
- 13,643
Huo ni mtazamo wangu, sheria inaruhusu yeyote 18+ kuoa atakapotaka.Tunatakiwa Kuoa tukiwa na Umri Gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni mtazamo wangu, sheria inaruhusu yeyote 18+ kuoa atakapotaka.Tunatakiwa Kuoa tukiwa na Umri Gani?
Forcing , kulazimisha mtu akupende in hopes kwamba mapenzi yako yatambadilisha moyoWakuu tushauriane hapa.
Kama Mwanaume , Taja Kosa moja ambalo Umefanya Katika Maisha ili Mvulana Asirudie.
Kama mwanamke , Taja Kosa moja ambalo Umefanya Katika Maisha ili Msichana Asirudie.
Kumbe wewe mpare ni boya hiviNajutia sana kuwa na yule singo maza, amenirudisha nyuma sana
Ata mbususu?Kijana wa kike au kiume usijaribu kilevi chaaina yotote
👍Kumbe wewe mpare ni boya hivi
Huna ajira halafu unaoa single maza?
Hili mkuu nmeliona wazi hayo mambo ya mapenz hayana haraka hujaga vzuri automatically.Forcing , kulazimisha mtu akupende in hopes kwamba mapenzi yako yatambadilisha moyo
It will never happen, usije kufanya hilo kosa la kupoteza muda