Kosa gani ulimfanyia mama yako hadi likasababisha akuchape au kukuadhibu?

Aisee makosa nlifanya meng na kichapo nlipewa sana...Nilienda kuoga mtoni nkachelewa kurud hom nlkula kibano,nyngine nlikutwa nkikula papuchi kwenye mahindi shambani nlichezea mkong'oto wa kutosha,nyingne nlimpiga mshikaj wangu kwenye dushee teke na alkua ametoka jando siku c nyng aisee nlichezea kichapo balaa
 
Nilimtishiaga mdogo wangu mtoto wa mamkubwa kumchoma mkuki nilipomkuta kaharibu gari yangu enzi za utoto.

Kuna kipnd baba alinambia pesa ya matumizi atakuwa ananipa mm ninunue matumizi maana akimpa mama haitafika kunako na Mimi nikafanya kama baba alivyoagiza mama alipogundua aliumia sana hata Mimi iliniuma sana najuta
 
Mama ameshanichapa sana kwa makosa mengi mengi mengi, na nilikua mtundu mno.
Ila namshukuru alinijenga kukabiliana na changamoto za kimaisha
 
Dah nilinyukwa na waya wa birika nikiwa na bukta tu ,home geti nikawa naona wanaozurura mtaani wanafaidi basi nikaruka ukuta nikaenda piga misele mama akiwa kalala na baba yuko job ,narudi nakumta bimkubwa ananisubiria acha kabisa dah ilikua mara ya kwanza na mwisho kupigwa ila nakikumbuka kile kipigo dah
 
Hahah kwakweli mama alikunyosha,ulimsumbua sana asee.
 
Kosa la kuoa angali mapema limefanye achukie hadi leo
 
Niliwahi kuiba pesa za mama na kwenda kununua maandazi, siku alipogundua nilichezea kichapo kilichopelekea kuchukia wizi. Mama yangu alinipa funzo kubwa maishani mwangu hadi leo.
Nakupenda sana mama yangu.
 
Niliwahi kuiba pesa za mama na kwenda kununua maandazi, siku alipogundua nilichezea kichapo kilichopelekea kuchukia wizi. Mama yangu alinipa funzo kubwa maishani mwangu hadi leo.
Nakupenda sana mama yangu.
Asee mimi nilipotezaga hela ming kam buku,ivi na nilitoka kupeleka maziwa..sasa narudi hme naulizwa hela iko wap nangalia mfukoni sioni,mama alinidunda sana ase ile nakimbia akanidaka tena mwanzo mwish nichezea mwanzi nlililia san ase.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…