Kosa hili la Kiroho limewafanya wakristo wengi kuishi maisha magumu

Kosa hili la Kiroho limewafanya wakristo wengi kuishi maisha magumu

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari,

Ukisikiliza nyimbo nyingi za Injili, ukisikiliza maombi ya wakristo wengi au ukisikiliza ibada za shukrani hukosi kusikia neno "Sikustahili."

Mtu kapata division one anatoa sadaka huku akilia anasema hakustahili, akiolewa, akioa, akinunua hata pikipiki au gari used mtu husema hakustahili.

Huu ni utoto wa Kiroho. Mkristo anastahili mambo hayo yote na zaidi maana ni mrithi wa milki za Mungu. Hebu tuache unyonge, tuache maombi na mentality ya kinyonge.

Siku wakristo wakiondoa unyonge mioyoni mwao watamiliki viwanda, vituo vya mafuta, kampuni n.k. lakini kwasababu ya unyonge wakristo wengi huishia kuajiriwa tu na kuwa watumishi wa mwingine.

Screenshot_20230227-072733_2.jpg
Screenshot_20230227-072639_1.jpg
 
Habari!
Ukisikiliza nyimbo nyingi za Injili, ukisikiliza maombi ya wakristo wengi au ukisikiliza ibada za shukrani hukosi kusikia neno "SIKUSTAHILI" .
Mtu kapata division one anatoa sadaka huku akilia anasema hakustahili, akiolewa, akioa, akinunua hata pikipiki au gari used mtu husema hakustahili.
Huu ni utoto wa Kiroho.
Mkristo anastahili mambo hayo yote na zaidi maana ni mrithi wa milki za Mungu.
Hebu tuache unyonge, tuache maombi na mentality ya kinyonge.
Siku wakristo wakiondoa unyonge mioyoni mwao watamiliki viwanda, vituo vya mafuta, kampuni n.k.
Lakini kwasababu ya unyonge wakristo wengi huishia kuajiriwa tu na kuwa watumishi wa mwingine.
View attachment 2531320View attachment 2531321
Not that simple,bro,wakina Dangote,Mo,Diamond,Eron musk,Bill gate,hawakufika hapo just kwa kujiamini na kukalili vifungu vya biblia,
Ukienda Dubai,maendeleo yake,hayakuja kwa kuwaza tu,na kujiaminisha kwamba wanastahili jema,watu wametumia mbongo alizowapa Mungu,wakapiga kazi,
Hata ukikesha unasoma bible kanisani,na ukaamini unastahili vitu vizuri,kama huna shughuri ya kiuchumi unafsnya,utaishia kuja kulala chini ya miti kwa mwamposa,wakati Mwamposa,anatumia sadaka yako kujenga hotel mbeya na kutengeneza ajira.
Vitu havitokei tu kwa kuamini,
Shughuri yako boda boda,mwingine anafanya kazi BOT,wote mnaamini mnastshili mazuri,wewe na boda yako unategemea siku moja umiliki vituo vya mafuta,kukijenga kimoja unahitaji milioni 50!sasa wewe na huyu jamaa wa BOT unafikiri nani ana nafasi nzuri ya kufikia ukwasi huo,
Ni sayansi tu,sio uchawi,
 
Kwahiyo tumehama Sasa siyo Watanzania maskini, Bali Wakristo maskini.

Hizi ni akili za kijinga kama za Mzee wetu Mohammed Said.

Hapa duniani mataifa yanayotambulika ni ya kikiristo ndio yana maendeleo, waislamu na wakimbizi wote dunia nzima wanakimbilia mataifa ya kikristo, huwezi kusikia waislamu wamekimbilia Saudi Arabia kuomba ukimbizi, Bali ukimbilia Ulaya, Australia na Marekani.
 
Kwahiyo tumehama Sasa siyo Watanzania maskini, Bali Wakristo maskini.

Hizi ni akili za kijinga kama za Mzee wetu Mohammed Said.

Hapa duniani mataifa yanayotambulika ni ya kikiristo ndio yana maendeleo, waislamu na wakimbizi wote dunia nzima wanakimbilia mataifa ya kikristo, huwezi kusikia waislamu wmekimbilia Saudi Arabia kuomba ukimbizi, Bali ukimbilia Ulaya, Australia na Marekani.
Mtoa mada ni mkristo kama wewe ila we moja kwa moja umekuja kushambulia uislamu.
 
Not that simple,bro,wakina Dangote,Mo,Diamond,Eron musk,Bill gate,hawakufika hapo just kwa kujiamini na kukalili vifungu vya biblia,
Ukienda Dubai,maendeleo yake,hayakuja kwa kuwaza tu,na kujiaminisha kwamba wanastahili jema,watu wametumia mbongo alizowapa Mungu,wakapiga kazi,
Hata ukikesha unasoma bible kanisani,na ukaamini unastahili vitu vizuri,kama huna shughuri ya kiuchumi unafsnya,utaishia kuja kulala chini ya miti kwa mwamposa,wakati Mwamposa,anatumia sadaka yako kujenga hotel mbeya na kutengeneza ajira.
Vitu havitokei tu kwa kuamini,
Shughuri yako boda boda,mwingine anafanya kazi BOT,wote mnaamini mnastshili mazuri,wewe na boda yako unategemea siku moja umiliki vituo vya mafuta,kukijenga kimoja unahitaji milioni 50!sasa wewe na huyu jamaa wa BOT unafikiri nani ana nafasi nzuri ya kufikia ukwasi huo,
Ni sayansi tu,sio uchawi,
Uko sahihi ila uko nje ya content
 
Hata kitendo cha ww kutype hapa hukustahili....😂
 
Mtoa mada ni mkristo kama wewe ila we moja kwa moja umekuja kushambulia uislamu.
Kwa sababu huna akili kama mleta mada ndio sababu unaona nimeshambulia uislamu, wewe ni mjinga kama wajinga wengine.

Ulitakiwa utowe fact Saudi Arabia Taifa la kiislamu na ndio kitovu cha uislamu kuna wakimbizi wanakimbilia huko? Si wakimbizi wote wanakimbilia ulaya
Huyu hana hoja ni mjinga mjinga Fulani tu asiyekuwa na exposure yoyote.

Lete orodha ya matajili 10 duniani tuone kama utaona mwislamu humo.

Dini ni mashirika ya kitapeli tu yaliyobaki kuwatapeli wajinga wengi wasiojielewa kama wewe na huyo mleta mada.
 
Kwa sababu huna akili kama mleta mada ndio sababu unaona nimeshambulia uislamu, wewe ni mjinga kama wajinga wengine.

Ulitakiwa utowe fact Saudi Arabia Taifa la kiislamu na ndio kitovu cha uislamu kuna wakimbizi wanakimbilia huko? Si wakimbizi wote wanakimbilia ulaya
Huyu hana hoja ni mjinga mjinga Fulani tu asiyekuwa na exposure yoyote.

Lete orodha ya matajili 10 duniani tuone kama utaona mwislamu humo.

Dini ni mashirika ya kitapeli tu yaliyobaki kuwatapeli wajinga wengi wasiojielewa kama wewe na huyo mleta mada.
Kwa hiyo nimekuuliza unanitukana kwa hasira !

Kwa nn unafuga chuki moyoni huko Saudi Arabia ushawahi kufika kenge wewe? Maana hata nguruwe haruhusiwi kufika.

Wewe na mtoa mada wote wakristo kama ni kichaa hata wewe ni kichaa mwenzie.


Hakuna neno utowe ❎ ni utoe ✅


Hakuna tajiri top Ten ni mfuasi wa ukristo wale kindakindani hata kama wamezaliwa kweny ukristo kama unabisha leta hapa...wamezaliwa kweny ukristo ila Wana misingi yao na misimamo yao kabisa kwamba wanajua ukristo ni upuuzi wala hakuna mweny IQ kubwa duniani anahusudu ukristo
 
Kwahiyo tumehama Sasa siyo Watanzania maskini, Bali Wakristo maskini.

Hizi ni akili za kijinga kama za Mzee wetu Mohammed Said.

Hapa duniani mataifa yanayotambulika ni ya kikiristo ndio yana maendeleo, waislamu na wakimbizi wote dunia nzima wanakimbilia mataifa ya kikristo, huwezi kusikia waislamu wamekimbilia Saudi Arabia kuomba ukimbizi, Bali ukimbilia Ulaya, Australia na Marekani.
Kwanini unabadili mada badala ya kutetea hoja iliyopo mezani?

Ila kwa hadithi yako hii acha nikujibu kidogo
Nimeishi nchi za kiarabu miaka 10 na wao hawapokei wakimbizi kwa sababu wana sheria zao za kuajiri watu

Wanachangia Umoja wa mataifa kwenye suala la kuhifadhi wakimbizi katika nchi nyingi kwani sio wazungu tu ndio wanalisha wakimbizi hata ulyankulu

Saudia mishahara ni midogo sana kwa wabeba maboksi ukiangalia wanayotoa wazungu, hilo nalo ni la pili

La Tatu ukiwa mkimbizi ulaya fursa ya kupata uraia na kazi ni lazima labda uwe mhalifu

Ni hayo tu sasa rudi kwenye mada tulikuwa wapi vile?
 
Back
Top Bottom