Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kurithi kiti cha uRais haikuwa kosa isipokuwa baraza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShangaaJe February Marope na Yape Maroboti walikuwa kwenye baraza la JPM?
Mfumo mbovuNadhani tuseme tu kwamba watu hufanya kazi kwa mazoea,SAMIA angebadirisha baraza lote napo ungeanzisha thread kumlaumu kwamba amefanya makosa,watanzania waliopo CCM kazi zao ni za mazoea tu na mizaha kwenye maisha ya watu.Tujenge utamaduni wa uamibifu na kuwajibika.
Walikuwepo kabla kwenye awamu ya kwanza baadae kwa madudu yao wakatenguliwa.Je February Marope na Yape Maroboti walikuwa kwenye baraza la JPM?
Hilo sio kosa.Mimi naona haya mahangaiko ya kutea na kutengua kila siku yanatokana na kosa alilofanya Mh. Rais la kurithi baraza la mawaziri la JPM kama yeye mwenyewe alivyorithi urais.
Kwakuwa alikuwa ni Rais mpya alipaswa kumteua Waziri mkuu mpya na kisha kuwasilisha jina lake bungeni ili lipitishwe kisha ateue mawaziri wengine. Sasa yeye akaendelea na wale wale ndani yake wakiwemo waliokuwa wanapiga urithi wake wa kiti cha urais na wachache wasiokuwa na msimamo sababu ya njaa.
Matokeo yake sasa ni kila siku panga pangua mpaka muda utaisha hakuna utulivu wa cabinet. Pia hakuwa na haja ya kuendelea na ma RC kama yule wa Arusha na Dar kutokana na usumbufu wao wa kutozingatia sheria na midomo isiyo na breki.
Shida bado ipo na itainekana dhahiri next year 2025 akina mchungaji wamekuja kuomba vyeo ambavyo wanaccm halisi wananyimwa
Hivyo mawaziri wake aliowateua wanapoharibu asilaumiwe kwa kurithi baraza la JPM,alaumiwe kwa uteuzi wake mbaya mf kwa hao matapeli wawili aliowatoa jana hawakuwa sehemu ya baraza alilolirithi aliwaweka mwenyewe kwa mapenzi yake. Ba kwa asilimia kubwa mawaziri walioachwa na JPM alishawahamisha wizara na baadhi kuwaondoa kabisa. Nadhani hakuna waziri ambaye bado yupo kwenye wizara aliyoachwa na JPM.Walikuwepo kabla kwenye awamu ya kwanza baadae kwa madudu yao wakatenguliwa.
SSH angepata wapi uteuzi nje ya wabunge waliochaguliwa wakati wa JPM?
Labda angevunja baraza la mawaziri na kuitisha uchaguzi mpya ili kumtoa Kasimu kisayansi tofauti na hapo angetengeza jinamizi lisiloonekana likimkaba koo kila kona
Teh! Alikuwaga jinsia yako zamaniWewe ni jinSia gani?
Utatetea legacy hadi povu lkn hakuna kitu. Hatutaki ule utawalawa wa giza tena. NuktaHuna akili!
Kosa alilofanya chura kiziwi ni kitendo cha kuwaondoa watendaji wa jpm na kuteua wahuni eti anafungua nchi!
Anzia bandarini, TRA, TISS, nishati, ujenzi kote alivurunda eti anafungua nchi!
So ulitaka mama aendelee na vikaragosi vya Jiwe? Tunamshauri afyeke vyote vibaki vya mtandaoni ambavyo kwa sasa sijui nani anavilipaHuna akili!
Kosa alilofanya chura kiziwi ni kitendo cha kuwaondoa watendaji wa jpm na kuteua wahuni eti anafungua nchi!
Anzia bandarini, TRA, TISS, nishati, ujenzi kote alivurunda eti anafungua nchi!
Kuwa makini na maneno yako. Wananchi hawakumchagua Jiwe. Alijipa madaraka mwenyeweKosa kubwa la Nchi hii ni katiba.Huyu bibi hakustahili kabisa kurithishwa maana hafai hata kidogo.alitakiwa aongoze kata ya jambiani.katiba yetu ibadilishwe il makamu arithishwe si chini ya miezi mitatu tu.maana hakuna uhalali wa kusema eti alichaguliwa na wananchi! Wananchi walichagua magufuli na siyo makamu.
Chanzo ni pale CCM walipo mpa madaraka JiweMm naona Magufuli alifanya kosa kubwa sana kumteua huyu kama Makamu wake aseeh
Angebadilisha Waziri Mkuu? Labda umesahau hali ya nchi ilivyokuwa wakati wa kifo kile naye kuchukua madaraka. Hali haikuruhusu changes kubwa.Mimi naona haya mahangaiko ya kutea na kutengua kila siku yanatokana na kosa alilofanya Mh. Rais la kurithi baraza la mawaziri la JPM kama yeye mwenyewe alivyorithi urais.
Kwakuwa alikuwa ni Rais mpya alipaswa kumteua Waziri mkuu mpya na kisha kuwasilisha jina lake bungeni ili lipitishwe kisha ateue mawaziri wengine. Sasa yeye akaendelea na wale wale ndani yake wakiwemo waliokuwa wanapiga urithi wake wa kiti cha urais na wachache wasiokuwa na msimamo sababu ya njaa.
Matokeo yake sasa ni kila siku panga pangua mpaka muda utaisha hakuna utulivu wa cabinet. Pia hakuwa na haja ya kuendelea na ma RC kama yule wa Arusha na Dar kutokana na usumbufu wao wa kutozingatia sheria na midomo isiyo na breki.
Shida bado ipo na itainekana dhahiri next year 2025 akina mchungaji wamekuja kuomba vyeo ambavyo wanaccm halisi wananyimwa
Na kama CCM wasingempa madaraka JPM leo hii kusingekuwa na mwananchi anaiamin na kuitumainia na CCM ,Inshort kwenye kumuweka JPM walion mbali sana na ukiwa kilaza hauwezi kuona hilo.Chanzo ni pale CCM walipo mpa madaraka Jiwe
Kwa hiyo shida yako ni Waziri Mkuu?Mimi naona haya mahangaiko ya kutea na kutengua kila siku yanatokana na kosa alilofanya Mh. Rais la kurithi baraza la mawaziri la JPM kama yeye mwenyewe alivyorithi urais.
Kwakuwa alikuwa ni Rais mpya alipaswa kumteua Waziri mkuu mpya na kisha kuwasilisha jina lake bungeni ili lipitishwe kisha ateue mawaziri wengine. Sasa yeye akaendelea na wale wale ndani yake wakiwemo waliokuwa wanapiga urithi wake wa kiti cha urais na wachache wasiokuwa na msimamo sababu ya njaa.
Matokeo yake sasa ni kila siku panga pangua mpaka muda utaisha hakuna utulivu wa cabinet. Pia hakuwa na haja ya kuendelea na ma RC kama yule wa Arusha na Dar kutokana na usumbufu wao wa kutozingatia sheria na midomo isiyo na breki.
Shida bado ipo na itainekana dhahiri next year 2025 akina mchungaji wamekuja kuomba vyeo ambavyo wanaccm halisi wananyimwa
Chura kiziwi ni nani?Huna akili!
Kosa alilofanya chura kiziwi ni kitendo cha kuwaondoa watendaji wa jpm na kuteua wahuni eti anafungua nchi!
Anzia bandarini, TRA, TISS, nishati, ujenzi kote alivurunda eti anafungua nchi!
Ni nani na nani walipinga samia kuwa raisi?Mimi naona haya mahangaiko ya kutea na kutengua kila siku yanatokana na kosa alilofanya Mh. Rais la kurithi baraza la mawaziri la JPM kama yeye mwenyewe alivyorithi urais.
Kwakuwa alikuwa ni Rais mpya alipaswa kumteua Waziri mkuu mpya na kisha kuwasilisha jina lake bungeni ili lipitishwe kisha ateue mawaziri wengine. Sasa yeye akaendelea na wale wale ndani yake wakiwemo waliokuwa wanapiga urithi wake wa kiti cha urais na wachache wasiokuwa na msimamo sababu ya njaa.
Matokeo yake sasa ni kila siku panga pangua mpaka muda utaisha hakuna utulivu wa cabinet. Pia hakuwa na haja ya kuendelea na ma RC kama yule wa Arusha na Dar kutokana na usumbufu wao wa kutozingatia sheria na midomo isiyo na breki.
Shida bado ipo na itainekana dhahiri next year 2025 akina mchungaji wamekuja kuomba vyeo ambavyo wanaccm halisi wananyimwa
Unamaanisha samia na magufuli sio kitu kimoja?Mbona aliwapangua wote na hata wachache waliobakizwa walizibwa mdomo isipokuwa wale aliowapenda yeye kama aweso na bashe.
Kusafisha ikulu kwani kulikuwa na shida ipi?Kwanza sio kosa kulingana na mazingira yaliyokuwepo.
Pili keshasafisha Ikulu , mengine ni madogo,ndio kwanza Bado mwaka mmja tuu kuelekea uchaguzi Mkuu
Kumbe samia sio mama yako?Ni katika kipindi cha huyo mamako ndio tumeshuudia kila kitu kina panda bei!
Haya twambie baada ya kuachana na kina Mganga kimefanyika nini