Kosa kubwa alilofanya ilikuwa ni kurithi Baraza la Mawaziri la Hayati Magufuli

Kosa kubwa alilofanya ilikuwa ni kurithi Baraza la Mawaziri la Hayati Magufuli

Nadhani tuseme tu kwamba watu hufanya kazi kwa mazoea,SAMIA angebadirisha baraza lote napo ungeanzisha thread kumlaumu kwamba amefanya makosa,watanzania waliopo CCM kazi zao ni za mazoea tu na mizaha kwenye maisha ya watu.Tujenge utamaduni wa uamibifu na kuwajibika.
Mfumo mbovu
 
Je February Marope na Yape Maroboti walikuwa kwenye baraza la JPM?
Walikuwepo kabla kwenye awamu ya kwanza baadae kwa madudu yao wakatenguliwa.

SSH angepata wapi uteuzi nje ya wabunge waliochaguliwa wakati wa JPM?

Labda angevunja baraza la mawaziri na kuitisha uchaguzi mpya ili kumtoa Kasimu kisayansi tofauti na hapo angetengeza jinamizi lisiloonekana likimkaba koo kila kona
 
Mimi naona haya mahangaiko ya kutea na kutengua kila siku yanatokana na kosa alilofanya Mh. Rais la kurithi baraza la mawaziri la JPM kama yeye mwenyewe alivyorithi urais.

Kwakuwa alikuwa ni Rais mpya alipaswa kumteua Waziri mkuu mpya na kisha kuwasilisha jina lake bungeni ili lipitishwe kisha ateue mawaziri wengine. Sasa yeye akaendelea na wale wale ndani yake wakiwemo waliokuwa wanapiga urithi wake wa kiti cha urais na wachache wasiokuwa na msimamo sababu ya njaa.

Matokeo yake sasa ni kila siku panga pangua mpaka muda utaisha hakuna utulivu wa cabinet. Pia hakuwa na haja ya kuendelea na ma RC kama yule wa Arusha na Dar kutokana na usumbufu wao wa kutozingatia sheria na midomo isiyo na breki.

Shida bado ipo na itainekana dhahiri next year 2025 akina mchungaji wamekuja kuomba vyeo ambavyo wanaccm halisi wananyimwa
Hilo sio kosa.
Kosa lilianzia pale alipoanza kuweka watu maarufu bila kuangalia weledi. Pia kila aliyekuwa anaimba ccm alilamba teuzi sasa nchi imejaa watendaji makada na wasanii. Badala ya kufanya kazi kazi yao ni kuimba mama...
 
Walikuwepo kabla kwenye awamu ya kwanza baadae kwa madudu yao wakatenguliwa.

SSH angepata wapi uteuzi nje ya wabunge waliochaguliwa wakati wa JPM?

Labda angevunja baraza la mawaziri na kuitisha uchaguzi mpya ili kumtoa Kasimu kisayansi tofauti na hapo angetengeza jinamizi lisiloonekana likimkaba koo kila kona
Hivyo mawaziri wake aliowateua wanapoharibu asilaumiwe kwa kurithi baraza la JPM,alaumiwe kwa uteuzi wake mbaya mf kwa hao matapeli wawili aliowatoa jana hawakuwa sehemu ya baraza alilolirithi aliwaweka mwenyewe kwa mapenzi yake. Ba kwa asilimia kubwa mawaziri walioachwa na JPM alishawahamisha wizara na baadhi kuwaondoa kabisa. Nadhani hakuna waziri ambaye bado yupo kwenye wizara aliyoachwa na JPM.
 
Huna akili!

Kosa alilofanya chura kiziwi ni kitendo cha kuwaondoa watendaji wa jpm na kuteua wahuni eti anafungua nchi!

Anzia bandarini, TRA, TISS, nishati, ujenzi kote alivurunda eti anafungua nchi!
Utatetea legacy hadi povu lkn hakuna kitu. Hatutaki ule utawalawa wa giza tena. Nukta
 
Huna akili!

Kosa alilofanya chura kiziwi ni kitendo cha kuwaondoa watendaji wa jpm na kuteua wahuni eti anafungua nchi!

Anzia bandarini, TRA, TISS, nishati, ujenzi kote alivurunda eti anafungua nchi!
So ulitaka mama aendelee na vikaragosi vya Jiwe? Tunamshauri afyeke vyote vibaki vya mtandaoni ambavyo kwa sasa sijui nani anavilipa
 
Kosa kubwa la Nchi hii ni katiba.Huyu bibi hakustahili kabisa kurithishwa maana hafai hata kidogo.alitakiwa aongoze kata ya jambiani.katiba yetu ibadilishwe il makamu arithishwe si chini ya miezi mitatu tu.maana hakuna uhalali wa kusema eti alichaguliwa na wananchi! Wananchi walichagua magufuli na siyo makamu.
Kuwa makini na maneno yako. Wananchi hawakumchagua Jiwe. Alijipa madaraka mwenyewe
 
Mimi naona haya mahangaiko ya kutea na kutengua kila siku yanatokana na kosa alilofanya Mh. Rais la kurithi baraza la mawaziri la JPM kama yeye mwenyewe alivyorithi urais.

Kwakuwa alikuwa ni Rais mpya alipaswa kumteua Waziri mkuu mpya na kisha kuwasilisha jina lake bungeni ili lipitishwe kisha ateue mawaziri wengine. Sasa yeye akaendelea na wale wale ndani yake wakiwemo waliokuwa wanapiga urithi wake wa kiti cha urais na wachache wasiokuwa na msimamo sababu ya njaa.

Matokeo yake sasa ni kila siku panga pangua mpaka muda utaisha hakuna utulivu wa cabinet. Pia hakuwa na haja ya kuendelea na ma RC kama yule wa Arusha na Dar kutokana na usumbufu wao wa kutozingatia sheria na midomo isiyo na breki.

Shida bado ipo na itainekana dhahiri next year 2025 akina mchungaji wamekuja kuomba vyeo ambavyo wanaccm halisi wananyimwa
Angebadilisha Waziri Mkuu? Labda umesahau hali ya nchi ilivyokuwa wakati wa kifo kile naye kuchukua madaraka. Hali haikuruhusu changes kubwa.

Kauli ya Mabeyo, 'Jeshi tunakuunga mkono', na kauli ya 'Niliyesimama hapa ndiye Rais wa Tanzania' ilitosha kuonesha kuwa mazingira hayakuwa kama kawaida.

Tatizo ninaloliona ni kusumbuliwa tu na mfumo dume kwa waliomzunguka. Hata kwa Makinda ilikuwa hivi wakati akianza kuwa spika. Utii ulikuwa chini sana, tofauti na sasa.

So Makinda alichonga njia, ndiyo maana Tulia ametulia. Na mama naye kwa sasa anachonga njia.

Ova
 
Chanzo ni pale CCM walipo mpa madaraka Jiwe
Na kama CCM wasingempa madaraka JPM leo hii kusingekuwa na mwananchi anaiamin na kuitumainia na CCM ,Inshort kwenye kumuweka JPM walion mbali sana na ukiwa kilaza hauwezi kuona hilo.
 
Mimi naona haya mahangaiko ya kutea na kutengua kila siku yanatokana na kosa alilofanya Mh. Rais la kurithi baraza la mawaziri la JPM kama yeye mwenyewe alivyorithi urais.

Kwakuwa alikuwa ni Rais mpya alipaswa kumteua Waziri mkuu mpya na kisha kuwasilisha jina lake bungeni ili lipitishwe kisha ateue mawaziri wengine. Sasa yeye akaendelea na wale wale ndani yake wakiwemo waliokuwa wanapiga urithi wake wa kiti cha urais na wachache wasiokuwa na msimamo sababu ya njaa.

Matokeo yake sasa ni kila siku panga pangua mpaka muda utaisha hakuna utulivu wa cabinet. Pia hakuwa na haja ya kuendelea na ma RC kama yule wa Arusha na Dar kutokana na usumbufu wao wa kutozingatia sheria na midomo isiyo na breki.

Shida bado ipo na itainekana dhahiri next year 2025 akina mchungaji wamekuja kuomba vyeo ambavyo wanaccm halisi wananyimwa
Kwa hiyo shida yako ni Waziri Mkuu?
Au kuna shida nyingine umeshindwa kuielezea hapa.
Hao waliotenguliwa juzi alirithi kutoka kwa Mgufuli?
 
Huna akili!

Kosa alilofanya chura kiziwi ni kitendo cha kuwaondoa watendaji wa jpm na kuteua wahuni eti anafungua nchi!

Anzia bandarini, TRA, TISS, nishati, ujenzi kote alivurunda eti anafungua nchi!
Chura kiziwi ni nani?
 
Mimi naona haya mahangaiko ya kutea na kutengua kila siku yanatokana na kosa alilofanya Mh. Rais la kurithi baraza la mawaziri la JPM kama yeye mwenyewe alivyorithi urais.

Kwakuwa alikuwa ni Rais mpya alipaswa kumteua Waziri mkuu mpya na kisha kuwasilisha jina lake bungeni ili lipitishwe kisha ateue mawaziri wengine. Sasa yeye akaendelea na wale wale ndani yake wakiwemo waliokuwa wanapiga urithi wake wa kiti cha urais na wachache wasiokuwa na msimamo sababu ya njaa.

Matokeo yake sasa ni kila siku panga pangua mpaka muda utaisha hakuna utulivu wa cabinet. Pia hakuwa na haja ya kuendelea na ma RC kama yule wa Arusha na Dar kutokana na usumbufu wao wa kutozingatia sheria na midomo isiyo na breki.

Shida bado ipo na itainekana dhahiri next year 2025 akina mchungaji wamekuja kuomba vyeo ambavyo wanaccm halisi wananyimwa
Ni nani na nani walipinga samia kuwa raisi?
 
Back
Top Bottom