Kosa kubwa alilofanya ilikuwa ni kurithi Baraza la Mawaziri la Hayati Magufuli

Kosa kubwa alilofanya ilikuwa ni kurithi Baraza la Mawaziri la Hayati Magufuli

Mimi naona haya mahangaiko ya kutea na kutengua kila siku yanatokana na kosa alilofanya Mh. Rais la kurithi baraza la mawaziri la JPM kama yeye mwenyewe alivyorithi urais.

Kwakuwa alikuwa ni Rais mpya alipaswa kumteua Waziri mkuu mpya na kisha kuwasilisha jina lake bungeni ili lipitishwe kisha ateue mawaziri wengine. Sasa yeye akaendelea na wale wale ndani yake wakiwemo waliokuwa wanapiga urithi wake wa kiti cha urais na wachache wasiokuwa na msimamo sababu ya njaa.

Matokeo yake sasa ni kila siku panga pangua mpaka muda utaisha hakuna utulivu wa cabinet. Pia hakuwa na haja ya kuendelea na ma RC kama yule wa Arusha na Dar kutokana na usumbufu wao wa kutozingatia sheria na midomo isiyo na breki.

Shida bado ipo na itainekana dhahiri next year 2025 akina mchungaji wamekuja kuomba vyeo ambavyo wanaccm halisi wananyimwa
Tuondolee chuki zako dhidi ya Magufuli wewe pimbi!!

Januari na Nape walikuwepo kwenye Baraza la Magufuli!?

Kalemani, Mashimba, Angelina Mabula,, Lukuvi, Kabudi na wengine wote si mliwatoa?? Sasa mbona wewe CHAWA unahamisha magoli??

Nyie ndo mmemponza Samia na uchawa wenu. Leo hii ameanza kupita mulemule kwenye maamuzi ya Magufuli na heshima yake imeanza kurudi.

Ondoa uchawa wako hapa
 
Na kama CCM wasingempa madaraka JPM leo hii kusingekuwa na mwananchi anaiamin na kuitumainia na CCM ,Inshort kwenye kumuweka JPM walion mbali sana na ukiwa kilaza hauwezi kuona hilo.
Umeongea ukweli kabisa kwasababu chadema imekufa kwasababu ya ujio wa magufuli
 
Na kama CCM wasingempa madaraka JPM leo hii kusingekuwa na mwananchi anaiamin na kuitumainia na CCM ,Inshort kwenye kumuweka JPM walion mbali sana na ukiwa kilaza hauwezi kuona hilo.
Tatizo Tanzania wajinga na masikini bado ni wengi sana. Jiwe aliwafanya mtaji wa kisiasa mpaka mkawa mnajisifia kuwa wanyonge. Mtu timamu hawezi jisifia kuitwa mnyonge. Masikini wanadhani umasikini wao unatokana na tajiri flani, ndiyo maana mlikuwa mnafurahi sana pale jiwe alipokuwa anawatesa matajiri. Ndiyo maana hakuna mtu mwenye akili hata mmoja aliyewahi kubali zile sera zake zaidi ya watu kama wewe. Kama yupo nitajie hata mmoja
 
Mimi naona haya mahangaiko ya kutea na kutengua kila siku yanatokana na kosa alilofanya Mh. Rais la kurithi baraza la mawaziri la JPM kama yeye mwenyewe alivyorithi urais.

Kwakuwa alikuwa ni Rais mpya alipaswa kumteua Waziri mkuu mpya na kisha kuwasilisha jina lake bungeni ili lipitishwe kisha ateue mawaziri wengine. Sasa yeye akaendelea na wale wale ndani yake wakiwemo waliokuwa wanapiga urithi wake wa kiti cha urais na wachache wasiokuwa na msimamo sababu ya njaa.

Matokeo yake sasa ni kila siku panga pangua mpaka muda utaisha hakuna utulivu wa cabinet. Pia hakuwa na haja ya kuendelea na ma RC kama yule wa Arusha na Dar kutokana na usumbufu wao wa kutozingatia sheria na midomo isiyo na breki.

Shida bado ipo na itainekana dhahiri next year 2025 akina mchungaji wamekuja kuomba vyeo ambavyo wanaccm halisi wananyimwa
Ushauri ndio unatoa leo 🚮 🚮
 
Mimi naona haya mahangaiko ya kutea na kutengua kila siku yanatokana na kosa alilofanya Mh. Rais la kurithi baraza la mawaziri la JPM kama yeye mwenyewe alivyorithi urais.

Kwakuwa alikuwa ni Rais mpya alipaswa kumteua Waziri mkuu mpya na kisha kuwasilisha jina lake bungeni ili lipitishwe kisha ateue mawaziri wengine. Sasa yeye akaendelea na wale wale ndani yake wakiwemo waliokuwa wanapiga urithi wake wa kiti cha urais na wachache wasiokuwa na msimamo sababu ya njaa.

Matokeo yake sasa ni kila siku panga pangua mpaka muda utaisha hakuna utulivu wa cabinet. Pia hakuwa na haja ya kuendelea na ma RC kama yule wa Arusha na Dar kutokana na usumbufu wao wa kutozingatia sheria na midomo isiyo na breki.

Shida bado ipo na itainekana dhahiri next year 2025 akina mchungaji wamekuja kuomba vyeo ambavyo wanaccm halisi wananyimwa
Wewe wala huelewi ni mjinga tu. Afute baraza la mawaziri kwani yeye kachaguliwa na wananchi au kaingia kwa mapinduzi au karidhi aliyechaguliwa kafariki. Yeye hakua wala na mandate kimaadili kuwaondoa mara moja mawaziri na alipaswa kuendeleza program iliyomuingiza mtangulizi aliyepewa ridha na wananchi. Ndio maana kitendo cha kuwarudisja wakora aliyokua amewatema magufuli kiliwakasirisha wananchi waliyompa ridhaa yao magufuli kwa zaidi ya asilimia 84.
 
Tuondolee chuki zako dhidi ya Magufuli wewe pimbi!!

Januari na Nape walikuwepo kwenye Baraza la Magufuli!?

Kalemani, Mashimba, Angelina Mabula,, Lukuvi, Kabudi na wengine wote si mliwatoa?? Sasa mbona wewe CHAWA unahamisha magoli??

Nyie ndo mmemponza Samia na uchawa wenu. Leo hii ameanza kupita mulemule kwenye maamuzi ya Magufuli na heshima yake imeanza kurudi.

Ondoa uchawa wako hapa
Huna lugha ya kiungwana mkuu. Haya ni maoni yangu kwa uelewa wangu sioni haja ya kunikashifu. Mimi sikumtaja mtu kwenye mada yangu sijui umefikaje huko. Lugha chafu na kashfa kwenye mijadala ni dalili ya kutokuwa na hoja na ukosefu mkubwa wa ungwana
 
Back
Top Bottom