Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Weka neno pascoThere is karma and is real!.
Paskali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka neno pascoThere is karma and is real!.
Paskali
Niweke neno gani zaidi ya hilo kuwa there is karma and is real!. Kilichotokea ni March 12 karma ilikula kichwa!, tukatangaziwa 5 days letter!Weka neno pasco
Niweke neno gani zaidi ya hilo kuwa there is karma and is real!. Kilichotokea ni March 12 karma ilikula kichwa!, tukatangaziwa 5 days letter!
Kwa vile viongozi wetu hawaijui karma and is real, kitu nilichoamua kuwasaidia ni kuwafundisha kuhusu karma ili isije kuwala vichwa!.
Mabandiko kama haya,
P
Yule karma ilikula kichwa!, huyu aliyepo tumsaidie karma isije kula!.Aisee
Kweli karma haidanganyiYule karma ilikula kichwa!, huyu aliyepo tumsaidie karma isije kula!.
P
Haidanganyi ndio maana tumejitolea kusaidia Wasaidizi wa Magufuli walimuogopa hadi kushindwa kumsaidia, Je Wasaidizi wa Samia wanamsaidia kwa kumweleza ukweli au nao wanamuogopa? Tumsaidie au..?Kweli karma haidanganyi
Na wewe nani alaumiwe kwa kukosa kwako akiliMkuu ilaumu tume ya uchaguzi. Over
Akina Lucas Mwashambwa wapo humu na likes zao huku wanataka kumsababishia mtu matatizo kama akina Kabudi (waliokosea kwa midomo yao na hawakuwajibika) wakaaicha midomo ikatereza kwa kumwita mwanadamu "mheshimiwa Mungu".Yule karma ilikula kichwa!, huyu aliyepo tumsaidie karma isije kula!.
P
Kabudi ni aliteleza tuu ulimi, kisha alirekebisha, hivyo alitubu, kazi ilibaki kwa yeye mtajwa ndiye naye alipaswa kukana kuwa yeye sio Mungu!. Kitendo cha kuamka na kuzungumza bila mention kuwa yeye sio Mungu, ndicho kikamponza!.Akina Lucas Mwashambwa wapo humu na likes zao huku wanataka kumsababishia mtu matatizo kama akina Kabudi (waliokosea kwa midomo yao na hawakuwajibika) wakaaicha midomo ikatereza kwa kumwita mwanadamu "mheshimiwa Mungu".
Si alisema eti bashiti ndiye alifanya ateuliwe umakamu wakati alijipayukia tu.Hata tawala za kimila zilizowahi kutikisa dunia zikikuwa namna yakutawala na kutosahau kuwa waliomfikisha pale walipo ndio watu wamuhimu sana.
Historia inajieleza ya kuwa pale watawala hawa wa kimila waligeuka na kuwasahau wale waliwafikisha pale walipo tawala zao zilianguka na kama sio kuanguka basi amani ktk nchi ilipotea.
Mh Rais wetu ktk siku za kaibuni amebadilisha muelekeo na kuonyesha yeye hasikilizi la mtu wala kushauriwa. Akaenda mbali nakusema alichukua form mwenyewe hakushauriwa na mtu.
Sina uhakika kama anakumbuka alishawahi kusema JK ndie alimshauri akachukue form na ndio mwanzo wasafari yake. Hili linatuonyesha nini ktk huu utawala? Jibu ni rahisi utawala umefika mahali hautambuwi mchango wa wale walifanikisha kufika pale walipo. Mh Rais nadhani kama hili halijuwi basi kupitia uzi huu atambuwe wapo maelfu ya vijana pitia mitandao hii hii tulikupamba nakukusifia.
Moderator anaweza retreave thread za nyuma nakuziweka hapa ili kuthibitisha ukweli. Kiukweli kabisa wengi wetu tulie sema huyu ndie tumerudi nyuma maana rais mwenyewe ameanza kutudharau nakuona bashite ndio roho yake mtu ambaye hata hana tone la uchungu wa CCM Bashite nisawa na msafiri aliyepanda ndani ya gari kama msaada ikafika mahali akapewa kidogo kuendesha gari ila mwisho wa safari akajimilikisha gari nakusema bila yeye tusingefika.
Mh Nnape na makamanda wengine ndio sababu ya Magufuli kuwepo. Na hili asije hata siku moja akasema ni yeye amefika hapo kwa nguvu zake. Mh Mkapa amekaa kimya ila sidhani kama siku Magu alisema amejiweka yeye aliangalia TV nadhani alienda kulala maana hakuamini kile anakisikia.
Mh Rais usipousoma huu upepo nakubadilika haraka tena kwa kwenda kwa hawa wazee nakuwaomba msamaha usije kuuliza nini lilitokea. Ila ukumbuke kauli zako.
Hili taifa nalipenda sana mfumo wake wakiusalama ambao nina imani kama mh Rais angeusoma vizuri angeomba hotuba asome.
Je utadumu ? Na kama utadumu, je utawezakufikia malengo yako bila chama??? Tusubiri
Pikipiki yako inatembea km ngapi kwa lita?Na wewe nani alaumiwe kwa kukosa kwako akili
Sina pikipiki nina baiskeli inakwenda kwa kasi ya mwanga.Pikipiki yako inatembea km ngapi kwa lita?
Ulipewa juzi na chama SSHSina pikipiki nina baiskeli inakwenda kwa kasi ya mwanga.
Mimi nina BaiskeliUlipewa juzi na chama SSH
Ndiyo post hapa issue voucherMimi nina Baiskeli