john agrey
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 1,280
- 2,080
Hahahahaha hayo mambo tuwaachie wenyewe by the way mi naonaga nyimbo zake nzuri tu sio kwamba zinamlenga g mashabiki tunajua kurelate tu but nothing bad with her lyricsJamani ifike mahali, jide atafute source nyingine ya kupatia lyrics zake bwana, kang'ang'ana na G tuuuu toka wapo kwenye ndoa mpaka wameachana haachi kumuimba, ila this time kwenye naamka tena nilitegemea aamke na furaha na vitu tofauti na vipya kabisa lakini cha ajabu kaamka tena na G tena kwa dharau za kupitiliza, khaaaa! Hata me naona G kakosea lakini amekuwa provoked to the point that he couldn't hold it any ways.
Sidhani kama Jide kajibu chochote, na sijui pia ni vipi Jide kamsema G. Kilichoamsha hisia za watu nafkiri ni lugha aliyotumia Gadna ndo imekuwa ya ukakasiI support Gadner,
Jaydee mara kibao kamsema ovyo gadna kawa kimya. Leo jibu moja tu kelele nyiiingi, jaydee alivyokuwa anaropoka ovyo alidhani mwenzie ana moyo wa jiwe? Mliotetea gadna ana mtoto wa kike, kwani wkt jaydee anamdhalilisha gadna huyo mtoto alikuwa hajazaliwa? Come on guys lets be fair! Huyo jaydee kawa mswahili hata nyimbo zake ni vijembe tu si km zamani alipoanza. She is no better.
Jide hajawahi kumuimba Gadner ila mashabiki tu ndo wanaorelate mambo ndivyo sivyo!
Alivyotoa forever watu oooh analilia mtalimbo wa G, kwenye give me love oooh penzi la G sijui limemfanya nini nini ooooh alijitia kiburi sasa hivi analalamika sijui kachujuka kwa stress na mambo kibao!!
Sasa kaibuka na kitu cha Ndi Ndi Ndi tena imekua nongwa....kaimbwa fulani! Pyeeeeeeee!!! Mashabiki ndio walomprovoke Gadner wala si Jide.
Toka enzi za machozi, wanaume kama mabinti, siri yangu, moto, makini, wangu, yahaya, jotohasira mpaka Ndi Ndi Ndi ndo kaonwa Gadner??!!! Aaaa bhana eee tusinyimane uhondo watu wakaiona nyimbo haifai kisa flani anaonewa huruma.
Kama hujui ni vipi Jide kamsema Gadna pia usijue ni vipi Gadna kamsema Jide maana hajamtaja jina pia.Sidhani kama Jide kajibu chochote, na sijui pia ni vipi Jide kamsema G. Kilichoamsha hisia za watu nafkiri ni lugha aliyotumia Gadna ndo imekuwa ya ukakasi
Ivi mnaomwita Gadner Mariooo mnajitambuaaa....ivi una mkee mwimbaji..Mume unahangaikia wadhamini....mipango..Mpaka kupachikwa Umeneja..Sasa si wote walivujaa jashoo..au ninyi mliwai kwenda kwao Kimara walikokuwa w anaishi mkamkuta Gadner Amekaa Sebuleni ana angalia Marudioo Ya Isidingooi...Ebu kaeni mtafakari Huyoo Bi kizee Bi mkoraa asiwapelekeshee...kiruuuuuu!!!
Kwani hafanyi kazi? Si kweliHivi inakuaje dume zima unategemea vya mwanamke? hayo ndio malipo yake
Hajaropoka, amesema ukweli. JD ajitokeze akanushe kama kwel hajakojozwa ....Ambae hajaongea ukweli ndo anamakosa; kama kweli Gadna alikuwa anamcheat Jide, na kubeba michepuko yake kwenye gari ya mama inamaanisha jide alipoulizwa sababu alijibu sawa, vinginevyo angedanganya.
Gadna nae just from no where anaropoka kwamba kamkojoza Jide miaka hiyo, sina hakika sasa kama ni kweli ama vipi sina hakika pia na urahisi wa hicho kitendo