Kosa la Mbowe ni kumshauri Wenje kupambana na Lissu, kwa hasira Lissu akampandia juu. Uamuzi ambao nauona sahihi kwake hata akishindwa

Kosa la Mbowe ni kumshauri Wenje kupambana na Lissu, kwa hasira Lissu akampandia juu. Uamuzi ambao nauona sahihi kwake hata akishindwa

DT125

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
437
Reaction score
637
Ulitafakari kwa makini baadhi ya sentwsi na sababu za Lissu kuamua kuachana na umakamu hoja ya msingi kaificha.

Lakini ukweli uliojificha ni hasira zake dhidi analoamini lina kiburi cha fedha za Abdul na mama yake kutaka kumpora cheo ndani ya chama. Lissu aliamini kabisa akishindana na Wenje wajumbe watapiga kura pacha kwa maana kwa Mbowe na Wenje na kamati Yao ya kampeni itakuwa moja.

Uamuzi wa Lissu ulikuwa wa hasira kwa mwenyekiti wake kwani aliamini kabisa kuwa Wenje ana baraka za Mbowe juu ya uamuzi wake kugombea umakamu.

Kitu ninachokiona kama Lissu atamshinda au Mbowe ataamua kutogombea basi Wenje hatakuwa makamu kwani Hawa watu wawili hawataweza fanya kazi pamoja.

Tutarajie kama Mbowe ataacha kuchukua fomu ni lazima na Wenje anitoe.
 
Chadema Wanataka kumuuzia nafasi ya mgombea Urais Bilionea Naniliu Kutoka CCM Lakini Lisu ndiye kikwazo 😂😂
Lissu yupo perfect sana ndiyo maana hata mungu aliona hana hatia ya kufa kabisa bora mtoa amri ya kifo chake afe lakini lissu abaki maana hana hatia ya kufa kifo cha namna ile.
 
Tayari wapiga kura kutoka mikoa kadhaa wameshakana kuwatuma wenyeviti mikoa 21 kumshawishi Mbowe kugombea. Nimewasikia mkoa wa Pwani, Mwanza, Shinyanga na Iringa. Mbowe atafakari na isikie ushauri wa familia siyo hao chawa wanaotaka kupiga pesa zake za kampeni ndani ya chama.
 
Tayari wapiga kura kutoka mikoa kadhaa wameshakana kuwatuma wenyeviti mikoa 21 kumshawishi Mbowe kugombea. Nimewasikia mkoa wa Pwani, Mwanza, Shinyanga na Iringa. Mbowe atafakari na isikie ushauri wa familia siyo hao chawa wanaotaka kupiga pesa zake za kampeni ndani ya chama.
Hakuna mikoa 21 pale, propaganda za vijana wa Div 4 na zero shule zetu za kata machawa waliomzumguka Mbowe. Kwa upeo wao hawawezi ongea na MTU kama Lissu wala kumpamba kwa uongo wowote.
 
John Mrema yuko kimya au anaandaa hotuba ya mwenyekiti mstaafu kwa waandishi wa habari leo?
 
Umesema sahihi, Mbowe na wenzake hawakutegemea hii move, ndio maana siku moja kabla Lissu kutangaza nia yake, walikuwa pamoja office za chama na vijana wa chama kama Boniyai na Yeriko walipost kuonyesha kwamba makamu na Mwenyekiti wako sawa. Ila baada ya hapo hamaki zimewashika.

Lissu alishtukia mchezo mchafu, akabadili gia, na kwa hakika bila Lissu kichukua hii hatua tusingesikia hizi kelele zote, pia ndio uchaguzi wa kwanza Mbowe kupata challenger mwenye misuri, ingawa wakina Zitto, Chacha Wange waliojaribu.
 
Watoto wa Mama
Watoto wa Mama.jpg
 
Back
Top Bottom