Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Suala la uvivu wa kusoma ni tatizo lako binafsi labda na familia yako huko. Tusio wavivu wa kusoma tumemwelewa mleta mada.
Sasa nani haja elewa? halafu familia yangu inaingiaje hapa? mnakunywa viroba usiku kucha halafu una amkia supu ya ngozi ya mbuzi lazima akili idatuke tu!