Nitarejelea kukueleza kuwa rushwa na mengine ya kufanana nayo vilianza baada ya kristu kuzaliwa na muasisi wake ni Yuda Iskarioti,
Mwalimu Nyerere alizaliwa na kuyakuta,
Alichofanya ni kupunguza ukuaji wa hali hiyo kwa kutia mkazo adhabu stahiki. Yani unakwenda jela miaka miwili, na viboko ishirini na viwili, kumi na mbili unapoingia na kumbili unapotoka ukamuonyeshe mkeo,
Jina langu halisi ni hilohilo Yericko Yohanesy Nyerere,
Ukitaka kuthibitisha ingia kwenye tovuti ya wizara ya mambo ya ndani, wizara ya elimu, mamlaka ya vitambulisho vya taifa, daftari la wapiga kura Tanzania, mamlaka ya uandikishaji vizazi na vifo,uhamiaji, wizara yamambo ya kigeni,
Na zaidi ukijisikia nenda ikulu ya Tanzania muone rais wa Tanzania anaitwa Jakaya Kikwete, mwambie unataka kumfahamu Yericko Nyerere wa Tanzania na jf, haitachukua saa moja kabla sijaletwa mbele yako,
Kuhusu nguvu niliyonayo hapa jf,
Nimekupa fursa kuwa waulize wanajf wenyewe kama Mohamed Said, Ritz, The Big Show, Boko Haram nk,
Hawa watakupa ukweli,