Kosa la Rapcha kwenye his latest song ilikuwa ni kumtaja Dizasta Vina aka The Black Maradona

Kosa la Rapcha kwenye his latest song ilikuwa ni kumtaja Dizasta Vina aka The Black Maradona

Nyie dizasta kajibu kuna mstari mmoja anasema mama yako angetaka abortion ningetoa pesa[emoji23][emoji23]
 
Hao ni watu wawili tofauti kabisa katika Tasnia moja hivyo kila mmoja ana uwanja wake wenye aina ya mashabiki wake, na ndio nyinyi mnaobishana mpaka kufa na jibu halitapatikana.

Dizasta Vina ni MC

Hawa huwa hawajali wala kuchagua beat nzuri wala kufanya michano sana, hawa ni watu wenye kutumia maneno zaidi, misemo na kufuata misingi ya Hip Hop na ndio huonekana real siku zote, na tungo zao ni zenye upeo mkubwa kwani huumiza kichwa sana kwenye uandishi.

Hapa utawakuta Dizasta, Nash Mc, Fid Q, Young Killer, One incredible n.k.

Rapcha ni Rapper

Hawa huchana sana na ku flow sana, wanachagua sana beat nzuri na wana ujuzi mkubwa wa kutiririka na kucheza na vina na pia miongoni mwao ni wazuri wa Freestyle, pia hudandia muziki wowote wakaufanya vema.

Hapa utawakuta Rapcha, Young Lunya, Country Boy, Ngwea, Young Dee nk.

Hivyo panapotokea beef miongoni mwa Mc na Rapper watu hugawanyika kama kwa 2pac na Big.
 
iyo tribulation ni hatari, dizasta is true hip hop asee

kila mstari ni punch line na ngoma ni ya 11 minutes, means mwamba haishiwii na abahatishii.

rapcha asipoangalia anaweza tolewa kwa stream yake.

wazee uyo dizasta muacheni tu kabisa
 
𝗕𝗮𝗮𝗱𝗮 𝘆𝗮 𝗡𝗨𝗖𝗟𝗘𝗔𝗥 𝘆𝗮 𝗥𝗮𝗽𝗰𝗵𝗮 𝗗𝗶𝘇𝗮𝘀𝘁𝗮 𝗩𝗶𝗻𝗮 𝗸𝗮𝘁𝗼𝗮 𝗧𝗿𝗶𝗯𝘂𝗹𝗮𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗻𝗮𝘆𝗼 𝗶𝗸𝗼 𝘆𝗮 𝗺𝗼𝘁𝗼..

𝗡𝗴𝗼𝗷𝗮 𝘁𝘂𝗼𝗻𝗲 𝗥𝗮𝗽𝗰𝗵𝗮 𝗮𝘁𝗮𝗷𝗶𝗯𝘂 𝗻𝗶𝗻𝗶
 
Hao ni watu wawili tofauti kabisa katika Tasnia moja hivyo kila mmoja ana uwanja wake wenye aina ya mashabiki wake, na ndio nyinyi mnaobishana mpaka kufa na jibu halitapatikana.

Dizasta Vina ni MC

Hawa huwa hawajali wala kuchagua beat nzuri wala kufanya michano sana, hawa ni watu wenye kutumia maneno zaidi, misemo na kufuata misingi ya Hip Hop na ndio huonekana real siku zote, na tungo zao ni zenye upeo mkubwa kwani huumiza kichwa sana kwenye uandishi.

Hapa utawakuta Dizasta, Nash Mc, Fid Q, Young Killer, One incredible n.k.

Rapcha ni Rapper

Hawa huchana sana na ku flow sana, wanachagua sana beat nzuri na wana ujuzi mkubwa wa kutiririka na kucheza na vina na pia miongoni mwao ni wazuri wa Freestyle, pia hudandia muziki wowote wakaufanya vema.

Hapa utawakuta Rapcha, Young Lunya, Country Boy, Ngwea, Young Dee nk.

Hivyo panapotokea beef miongoni mwa Mc na Rapper watu hugawanyika kama kwa 2pac na Big.

2pac vs Big
Nani rapper na nani mc?
 
Back
Top Bottom