Kosa langu hapa lipo wapi?

Kosa langu hapa lipo wapi?

No ila unatakiwa ujibane upate na wewe kitanda kizuri mfano mim niliaza kualal chini nikajibana niwezavyo nikaenda kukopangodoro dukani uku kila mwisho wa mwezi napeleka kiasi polepole nikamaliza na geto langu lina lidhisha kiasi chake
Ukiingia kwa mtu hakikisha unayoyaona yanabaki siri yako, watu wanapiga hatua ya maendeleo kimya kimya si ajabu kashajenga au anajenga kwahiyo haoni haja ya kununua vitu wakata soon atakua kwake.
 
Ukiona amekublock ujue hakufurahia ushauri uliompa, labda ana mipango yake ya muhimu zaidi anayofanyia hela zake zaidi ya kununua kitanda na godoro🤔🤔🤔
 
Ukiona amekublock ujue hakufurahia ushauri uliompa, labda ana mipango yake ya muhimu zaidi anayofanyia hela zake zaidi ya kununua kitanda na godoro🤔🤔🤔
Sawa ila iko siku atanikumbuka kuwa niliongea kitu cha maana
 
Huyo hakuwa rafiki yako. Rafiki yako hata kama umemkera labda angekutukana na kukupa sababu kwann yupo hivyo mpaka sasa.
 
Back
Top Bottom