Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ukiingia kwa mtu hakikisha unayoyaona yanabaki siri yako, watu wanapiga hatua ya maendeleo kimya kimya si ajabu kashajenga au anajenga kwahiyo haoni haja ya kununua vitu wakata soon atakua kwake.No ila unatakiwa ujibane upate na wewe kitanda kizuri mfano mim niliaza kualal chini nikajibana niwezavyo nikaenda kukopangodoro dukani uku kila mwisho wa mwezi napeleka kiasi polepole nikamaliza na geto langu lina lidhisha kiasi chake
Ww ungeweza kupiga picha kitanda vha rafiki yako na umeenda kama mgeni je kamaHuu uzi bila picha la hicho kitanda na kigodoro cha fo by siks ni chai tu.
Naelewa ila mimi nimemshauri kama mshikaji tu kuna vitu lazima kuambiana ukweliUkiingia kwa mtu hakikisha unayoyaona yanabaki siri yako, watu wanapiga hatua ya maendeleo kimya kimya si ajabu kashajenga au anajenga kwahiyo haoni haja ya kununua vitu wakata soon atakua kwake.
Nyumba ya vyumba 2 alafu unaenda kukopa godoro 😆Nipo tangu 2017 ila najikongoja geto langu lina lidhisha nimepanga sinza nyumba ya vyumba viwili bado napambana kaka juzi nilitaka kuhama ila nimeshindwa kwahiyo napambana
Maisha ya mtu ni siri yake ndio maana huwa tunasema ishi maisha yako ukianza kudili na ya mtu mwingine matokeo yake ndio kama yaliyokukutaKwahiyo wewe unaona sawa kwa mfanyakazi wa serikali anapata mshahara mnono af miaka kumi yupo kazini bado analalia kitanda cha futi nne kweli?
Kipindi hiko nimekuja mjini ndivyo niliaza ivyoNyumba ya vyumba 2 alafu unaenda kukopa godoro 😆
Kama umeweza kuleta huo uzi ulishindwaje kupiga picha? Camera ya simu huwa hainwangushi mtu anayejua kuitumia.Ww ungeweza kupiga picha kitanda vha rafiki yako na umeenda kama mgeni je kama
Yupo humu
Dah ila mimi niliongea kamaMaisha ya mtu ni siri yake ndio maana huwa tunasema ishi maisha yako ukianza kudili na ya mtu mwingine matokeo yake ndio kama yaliyokukuta
Aya dogo ngojea nikuache upumue maswali yasiwe mengiKipindi hiko nimekuja mjini ndivyo niliaza ivyo
Dah ilo wazomsikuwa naloKama umeweza kuleta huo uzi ulishindwaje kupiga picha? Camera ya simu huwa hainwangushi mtu anayejua kuitumia.
Ndio anakaBado anaroom Moja? Ulionaje kitaenda chake?
Unafosi ushikajiDah ila mimi niliongea kama
Mshikaji mzee
IkoUnafosi ushikaji
Rudi sasa ukapige picha 😁Dah ilo wazomsikuwa nalo
Sawa ila iko siku atanikumbuka kuwa niliongea kitu cha maanaUkiona amekublock ujue hakufurahia ushauri uliompa, labda ana mipango yake ya muhimu zaidi anayofanyia hela zake zaidi ya kununua kitanda na godoro🤔🤔🤔
Ww sitaki kesi nikupe location uka shuuhudieRudi sasa ukapige picha 😁
HainihusuWw sitaki kesi nikupe location uka shuuhudie