KOSA LANGU NINI NI VANNESSA [emoji174] [emoji3590] [emoji3590]
SEHEMU YA 9
Wiki mbili za mama yake kuwa Tanga tulizitumia vizuri sana maana alihamia kwangu mazima . Kasoro pekee ya Vannesa ni kwenye mapishi zaidi ya kupika wali tena kibishi vingine vilimzingua . Mimi nilimzidi hapo kwenye mapishi sio utani nipo vizuri , napika wali , pilau , ndizi, ugali, tambi , mtori , kiburu ngararimo , mtango na vinginevyo. Maisha ya zile wiki mbili yalinizamisha sana kwenye mapenzi kuliko kawaida tulizurura ma club mengi bar na kila sehemu tulipoona pamechangamka na kwa kiasi kikubwa zaidi hela yake ndio ilihusika .
Baada ya wiki mbili zile alirudi kwao mama yake alikuwa arudi siku inayofuata. Alivyoondoka tu nilianza kuhisi upweke wa hali ya juu nilikaa kinyonge isivyo kawaida nikawa angalau tuna chart mpaka usiku ila ilikuwa ngumu sana kuzoea ile hali ya kulala mwenyewe na kuwa mwenyewe getto.
Umbali ulizidi zaidi baada ya kumaliza semister ya kwanza likizo ile muda mwingi alikuwa kariakoo na walirudi wote na mimi nilienda kukaa kwa uncle msakuzi tukawa tumepumzika hivi maana tulikuwa moto sana penzi letu lilikuwa stori ya mtaa pale . Pisi niliyomiliki ilikuwa sio ya kitoto anayeimiliki lazima awe na kaumaarufu flani .
Sasa siku mbili kabla ya kwenda kuianza semister ya pili si nikawa nimerudi kwenye getto langu . Akagoma kwenda kazini na mama yake akaja getto aisee hiyo siku tulizini kama hatutakaa tuzini tena tulifanya mapenzi kwa kasi sana alikuwa anaizungushia mauno utadhani siku hiyo alikula cha arusha mimi mwenyewe siku hiyo siku poa nilirusha mabomu kuhakikisha navunja safu ya ulinzi. Nilishambulia kama sitakaa nipate tena nafasi hiyo . Mpaka tunamaliza kila mmoja alikuwa hoi tukawa tunaangaliana tunacheka kwa tulichokifanya . Siku hiyo tulishinda wote akarudi home kesho akaja tena kama kawaida
Kosa langu lipo wapi?
Final inakuja . Utaniambia nilikosea wapi basi. Saa 4 kamili