Kosa langu nini ni Vannesa?

Kosa langu nini ni Vannesa?

Vanessa ni hatari haswa wakiwa na rangi ya chokoleti
downloadfile(20).jpg
 
mbona mimi kumpotezea mtu aloniacha au kumuacha ni wiki moja tu,,ndani ya io wiki unaeza rudi na nikakusamehe ila ikizidi apo ni kalagabaho [emoji16][emoji16],,sasa wewe uyo starring wa story yako ni mgonjwa.
Kama penzi lenu linaishia kitandani ni rahisi sana kulipotezea ila kama ukiandika kulihusu ni zaidi ya page 20 tegemea kila page kuifuta ni mwaka mmoja hivyo mpaka kumfuta kabisa miaka 20 itakuhusu.
1. Ndio mwanamke wa kwanza.
2. Akakubadili tabia
3. Nguo ukanunuliwa
4. Beach kwa mara ya kwanza ukafikishwa nae
5. Club ndio wakwanza kukupeleka
6. Confidence kakujengea yeye.
7. Kuna mbuga moja ya wanyama tulienda
8. Kwa wazazi.
9. Kutembea pamoja
10. utani na bashasha
11 . Tunda unapewa na anajua haswaa

12. Haombi usichokuwa nacho upate stress hanuni hovyo , hafanyi chochote kinacho kuuzi.

Hajakukosea wala hujui umemkosea nini

Anaondoka akilia vp hapo . Tusubiri mwendelezo saa tatu

Ukiweza hapa hukumpenda mtoto wawatu ulimtamani tu
 
Shape kama hiyo kabisa urefu kama wanalingana pia tofauti rangi na kisura cha vanne kilikuwa chembamba kidogo
Kuna Vanessa ilikuwa hivi then Inakithembe, wengine story zenu tusimulia tutaonekana wakatili.
 
Kama penzi lenu linaishia kitandani ni rahisi sana kulipotezea ila kama ukiandika kulihusu ni zaidi ya page 20 tegemea kila page kuifuta ni mwaka mmoja hivyo mpaka kumfuta kabisa miaka 20 itakuhusu.
1. Ndio mwanamke wa kwanza.
2. Akakubadili tabia
3. Nguo ukanunuliwa
4. Beach kwa mara ya kwanza ukafikishwa nae
5. Club ndio wakwanza kukupeleka
6. Confidence kakujengea yeye.
7. Kuna mbuga moja ya wanyama tulienda
8. Kwa wazazi.
9. Kutembea pamoja
10. utani na bashasha
11 . Tunda unapewa na anajua haswaa

12. Haombi usichokuwa nacho upate stress hanuni hovyo , hafanyi chochote kinacho kuuzi.

Hajakukosea wala hujui umemkosea nini

Anaondoka akilia vp hapo . Tusubiri mwendelezo saa tatu

Ukiweza hapa hukumpenda mtoto wawatu ulimtamani tu
aloooh una mashairi mazuri
 
KOSA LANGU NINI NI VANNESA?

Ni miaka imepita sasa bado hunitoki akilini Vannesa kwanini lakini? Nilikosea wapi?

Mwendelezo[emoji180] . Sehemu ya 2

Sasa mtihani ulianza nilipoingia chuo mwaka wa kwanza 2016. Mwaka huo ndio nilitoka rasmi kuishi nje ya mkoa niliozaliwa na kusomea mpaka kidato cha sita .kwa Dar es salaam nilitua nyumbani kwa uncle Mbezi msakuzi . Nisiingie ndani sana kwani mbezi msakuzi napo pamebeba historia kubwa inayonihusu haswa kibiashara.

Nilianza chuo nikiwa bado mshamba mshamba . Baada ya kama miezi miwili kuna jengo kuwa naingia pale chuo . Kuna kigeti cha kuvuka ndio uingie kwenye hilo jengo sasa nilipokuwa naingia nikiwa nimezubaa si unajua tena kaushamba flani nikagongana na mrembo mmoja mkali sana . Simu yake ikadondoka nikafanya kumwambia samahani huku nikimwokotea nilipo kuwa nampa ile simu kukutanisha macho tu nilijikuta kama nimeganda hivi confidence ilishuka alipokea simu akiniambia usijali na kuanza kuondoka. Sasa baada ya kuachana pale nilijishangaa kubaki naiwaza ile sura ya yule mrembo kitu ambacho sikuwa nimezoea . Kwenye maisha yangu kabla ya hapo nilikuwa bize sana na dini sikuwahi kutumia muda kabisa kuwaza mapenzi lakini ni kama yule mrembo alianza kunitoa kwenye reli.

Baada ya kama wiki nilikutana nae tena alikuwa anaingia tena jengo nililokuwa nahitaji kuingia pia . Hilo jengo lazima uoneshe kitambulisho ndio uingie . Akawa anakitafuta kwenye pochi nilipofika akaniwahi kunisalimu mambo nikaitika poa nikaonesha kitambulisho na kuingia nae akawa ashakitoa akaonesha na kuingia .

Alipoingia moja kwa moja akaja kukaa karibu yangu na tukaanza kuongea na siku hiyo ndio tulitambulishana majina nikapata kumfahamu anaitwa Vannesa. Vannesa alikuwa mchangamfu na mwongeaji hivyo haikunipa wakati mgumu sana kumzoea japokuwa mimi ni mkimya sana alinichangamsha bila kupenda. Na mimi mpaka leo sipendi mwanamke mkimya japokuwa ni ngumu kupata mchangamfu mzuri na mstaarabu kama Vannesa. Asiyemchangamfu ndani kutakuwa kama ICU maana na mimi ni mkimya. Hata ukitoka nae mtabaki mnaambiana niambie Mwenzio naye anajibu niambie mtabaki hapo hapo mnaangaliana tu. Vannesa alijaza pengo nikamzoea mpaka nikaanza kuwa mwongeaji kuliko nilivyokuwa . Alinifanya niwe social sana. Alinipa confidence ambayo kuwa sina . Siku moja aliniuliza . Uzuri wa mwanamke ni tabia je unajua uzuri wa mwanaume nini ni?. Nikamjibu sijui . Akaniambia uzuri wa mwanaume ni kujiamini , haijalishi unakasoro gani una hela au huna una elimu au huna una cheo au huna kujiamini ndio uzuri wa mwanaume. Vannesa alinifanya nijione mwamba mpaka leo hii najichanganya popote naingia popote namfuata yeyote.

Tuendelee . Ndani ya huo huo mwezi tuliendelea kukutana na nilijagundua yeye ndio ananifuatilia na haikuwa bahati tu sisi kukutana kila mara. Kiukweli nilivutiwa na Vannesa sana . Alikuwa na asili ya kihindi mweupe mrefu . Shape hakunyimwa alipewa umbo la kuvutia mguu uliojaa vizuri kwa hakika Muumba alimpendezesha sana . Naweza kusema ilikuwa zali la mentali kwangu kupendwa na mwanamke mzuri kama Vannesa . Mpaka leo sijawahi kuwa na mwanamke mzuri mwenye makeke kama Vannesa ndio maana hasahauliki

:::::::: kosa langu ni nini Vannesa?

[emoji178] sehemu ya tatu ..... soon ....
Good
 
KOSA LANGU NINI NI VANNESSA?[emoji174][emoji172]

Ukiniambia kosa langu utapungukiwa nini ? Jitokeze basi ...[emoji24]

Sehemu ya 6

wakati huo kuwasijui kama kumweka hivyo ndio kifo cha mende wala nini. na moja kwa moja nikaanza kupeleka moto mkali sana wa spidi ya treni ya SGR . Alitoa sauti kinoma wala sikujali . Akili yangu ilikuwa imechanganywa sana na utamu nilienda kasi sana kama dakika kumi akawa anatetemeka kama anadegedege akiachia mapaja na kisha ghafla kunibana kwa nguvu . Muda wote huo Siku mwacha wala kujali kinaendelea nini tena , nikizidi kuuhisi utamu zaidi nikawa na koleza moto zaidi haikuchukua dakika 8 zaidi round ya pili nikaihitimisha tena kwa kasi kubwa nikipumua kwa nguvu na kutoa ngurumo kama ya simba hakika utamu ulinizidia mpaka nikasinzia kama dakika 15 tukiwa tumekumbatiana hapo saa tatu usiku tayari . Tulipoteza muda sana kwenye kuniandaa kiakili mpaka ile round ya kwanza

Baada ya hapo Aliniamsha tukaoge . Wakati wa kuoga utani ukakolea wa kurushiana maji na mengine . muda huo hofu ishanitoka kabisa . Sasa si akaja nikamkumbatia kwa nyuma kujigusisha na makalio yake kama dakika moja tu chuma kikaamka kwa hasira kama nyau aliyekanyagwa mkia na kutaka kumrarua. Aisee si nikataka kulianzisha tena hakika nilipagawa sana na huu uzinifu na hofu ilipotea kabisa nikatamani kuendeleza shoo ya kibabe lakini aligoma na kuniahidi kesho yake jioni atakuja na akiniambia najua unahamu Alifurahi sana na kunitania ulikuwa unaogopa nini mwanzo sasa umeonjeshwa naona unachanganyikiwa . Alinishika mboo akafanya kama anataka kunipa kiutani ila mimi wakati huo nilikuwa na wenge la ajabu nilimshika akilalamika kuwa ananitania tu kesho tena . Nikajikuta nashindwa kutaniana na kumwacha aende nilimpiga tena pipe alichukia kimtindo maana sikuwa na maandalizi na nilimlazimisha dakika 20 nyingi nikawa nimepiga la tatu. Alinuna kidogo nikamwomba msamaha akanielewa na kunicheka . Akiniambia nimekuonjesha angalia sasa usije ukaenda kwa mwingine tuka kiss tukamalizia kuoga na nikamsindikiza mpaka kwao alitaka niingie kwao ila nikagoma nikarudi zangu geto nikiwa na furaha tele . Kufika tu Getto nikaagiza chakula nikala na kulala
.
Baada ya hapo tu nilibadilika sana huwezi kuamini kabla ya kusex na Vanessa nilikuwa na kleensheet ya kila mwaka kuhudhuria jumapili zote kanisani . Yani ikitokea sijahudhuria ni siku ambazo nilikuwa naumwa sana kiwango ambacho hakivumiliki kirahisi. Nikabadilika nikaanza kuhudhuria mara chache . Hapo hata bia nikaanza kukata kadhaa. Matamasha kadhaa ya mziki nilihudhuria na Vannesa . Vannesa alinipeleka mwendo sana nikawa mvaaji mzuri na kila nguo niliyonunua nilinunua nikiwa na Vannesa na hilo lilikuwa sharti lake kwangu na nyingi alinichagulia yeye na nyingine alininunulia. Nikawa mtu wa kushine kijanja sana sio kuvaa tena kama mtumishi. Hata club kwa mara ya kwanza alinipeleka Vannesa . Sehemu ambayo kwa maadili niliyolelewa kuwa sitarajii kwenda maisha yangu yote. Aisee usijiapie lolote wewe kama binadamu sio jiwe unabadilika.
Haukupita muda kukawa na kisherehe kwao mama mdogo wake alivishwa pete .

Akanialika nikahudhuria na alinitambulisha kwa mama yake na baadhi ya ndugu haswa walikuwa wa upande wa mama tu . Baba yake mzazi hakufika hata VANNESSA ilikuwa kumwonaga baba yake inaweza ikawa mara tano au mbili tu kwa mwaka japo hela anamtumia fresh na kwenye simu kuwa wanaongea.

Hiyo siku kabla sijatoka alikuja geto asubuhi tukafanya yetu . Hii mechi haikuwa ya kitoto aliniambia siku ile ya kwanza mimi nilifurahia zaidi kwahiyo leo ni zamu lake kufurahi.

Hapa balaa . Nitaweza kweli mziki wa Vannesa kwa ujanja alionao

Tuendelee

Saa mbili nashusha . Saa tatu namalizia . Kaa mkao ........

Sehemu ya 7
 
Rafiki yangu jitahidi basi uweke episode nyingi walau kabla ya saa nne ili nikija kuingia theatre niwe na mastyle kibao ili nesi akaone joto ya jiwe huko huko
 
KOSA LANGU NINI NI VANNESSA?

Sehemu ya 7[emoji174][emoji174][emoji174][emoji174][emoji172]

Tusonge nayo .......

Sikujua mengi lakini yeye alinifundisha kama chumvini nilizama baada ya kunionesha video wakati huo kuwa unaingia tu bila VPN sio kama sasa. Nilijitahidi nimfurahishe nikafanya mbwembwe zote mpaka mrembo akavunja dafu la kwanza na ndivyo alivyotaka alitaka avunje dafu kabla sijampiga mashine. Muda huo nina uchu kinoma nimpige pipe nipate raha ya kumwaga lakini ndio hivyo nilikuwa nafundishwa namna ya kumfurahisha yeye . Baada ya dafu la kwanza akanifundisha kuchezea kiharage na matumizi ya mkono na vidole kwa ujumla ili kumfurahisha mwanamke huku nikimweka staili ambayo nitakuwa nanyonya chuchu pia nilifanya hivyo akawa analalamika utamu na akaniruhusu kutumia mashine baada ya malalamiko mengi. Sasa baada ya kuruhusiwa tu aisee si kwa uchu wangu nikazamisha kwa pupa mpini break mbupu. Alijitoa fasta na kunipiga kofi dogo . Alimind sana na kunilalamikia unaingizaje hivyo ghafla mpaka mwisho daah ilibidi ni mbembeleze baada ya kuonesha kaufundi kakubembeleza akadeka deka baadae akacheka akasema sasa umekuwa mwanaume kweli kweli unajua kubembeleza sana .

Tukarudi nikaanza kiss kwa sana nikarudia mchezo wa kutumia mkono na kunyonya chuchu kama last born nikasubiri mpaka alipokuwa hoi kabisa . Nikaanza kutumia kichwa kuchezea papuchii ndio akazidi kupagawa baada ya kichwa kulowa ndio nikaanza kuingiza taratibu nikihofia kumkasurisha tena hata kupampu nilifanya taratibu mpaka mwenyewe akalalamika kwa tabu kuwa sio taratibu hivyo nikamwelewa ndio nikaanza sasa kupeleka shoo nilipeleka kama dakika tano tu akavunja dafu la pili na kwa mbwembwe alizoonesha na mimi nikaishia hapo hapo nikamwaga wazungu kwa raha ya ajabu. Bao la tatu ndio lilidumu karibu nususaa nimo tu na hapo naye akavunja dafu tena .

Baada ya hapo tulioga tukatoka akaninunulia nguo kali sana tukarudi . Alivyokuja kumbe kwenye mkoba wake alikuja na nguo na viatu akavaa na mimi nikavaa . Akaniweka fresh kunipaka mafuta na kuchana nywele zangu. Naye akajiweka fresh nikamfunga zipu ya gauni lake alipendeza sana nikamsifia naye akanisifia . Akisema leo naenda kuringa na wewe handsome wangu ole wako unisaliti . Nikabisha akaniambia hujijui tu nimekufundisha mapenzi ila bado nahofia utanisaliti. Nikabisha nikamwambia serious wewe ndio umenifundisha mapenzi au mimi ndio nimekufundisha acha hizo. Akacheka sana akasema umeanza kujiamini na kuwa mwongo kama wengine mapema hivi. Hapo tukacheka tu na kutoka zetu kuelekea kwao.

Kosa langu nini?

Sehemu ya 8....
 
KOSA LANGU NINI NI VANNESSA [emoji178] [emoji176]

SEHEMU YA 8.

TUSONGE ........

Sherehe ilikuwa nzuri kila alikokwenda alienda na mimi ikafika muda wa mziki kwa sana akataka tucheze nikagoma kabisa . Japokuwa kwa nilivyoona familia yao mambo ya kujiachia kawaida yao . Sawa tayari nilikuwa nishajua jua kucheza miziki ya kidunia lakini pale sikutaka iwe hivyo alinuna nikambembeleza akanielewa tukatoka maeneo ya mbele tukaenda kukaa nyuma kabisa peke yetu . Siku zote nilizokaa na Vannesa hatujawahi kuishiwa utani na story za kupiga . Muda wote tulikuwa na mbwembwe kinoma noma na mtoto alinipenda sana . Siku hiyo alichukua baadhi ya vitu vyake na tukaenda gheto akalala kwangu alidai mama atakuwa busy na ndugu zake hivyo hatajua kama hakulala nyumbani . Siku ambazo kuwa tunaenda club siku hizo mama yake anakuwa kasafiri . Hakuwa na uhuru uliopitiliza sana

Usiku nilipewa kimoja tu cha kulalia tukalala mpaka asubuhi japokuwa nilitaka show aligoma kunipa kabisa japokuwa sikuomba sana . Ilikuwa ni siku ya jumatatu wote tukaelekea chuo akitokea getto kwangu na kurudi tulirudi wote getto kwangu . Alikuwa tu akiwasiliana na house girl wao kuhusu kinachoendelea kwao na kama katafutwa bai house girl , akamjibu mama yake alimuulizia asubuhi akamjibu ameenda chuo. Basi mama akaendelea na ubize wake mida ya saa mbili usiku mama yake akampigia na kumwaga kuwa atasafiri kwenda singida kwa siku tatu hivyo anataka akalale kwa mama yake mzazi apate kumwaga na iwe rahisi kutoka asubuhi maana ni karibu na stand ya ubungo. Kipindi hicho bado haijahamia mbezi. Basi akawa amepata ticket ya kulala tena . Tulikumbatiana na kukiss bila kutaraji tukaanza show .

Nikaanza kumvua nguo mrembo nikamkis sana tayari nilikuwa nime master mbwembwe nyingi kuingiza ulimi sikioni taratibu kumtekenya shingo kwa ulimi nikiiachia mikono ikitalii kwenye mapaja yake huku mdomo na ulimi nikivipa majukumu ya kunyonya matunda mawili yaliyokaa vizuri kifuani kwake . Nilicheza hapo kwa sana tu kama dakika 10 hivi nikaanza kushuka mkono mmoja ukipapasa juu ya chupi ya mrembo nilishuka nikimtekenya na ulimi mpaka kwenye kitovu nikawa naingiza ulimi kwenye kitovu mrembo akawa anaweweseka kinoma noma ila sikuwa na huruma kabisa nilipania kumwonesha nimehitimu kweli kweli na nimejiongeza kwa kuangalia porno kadhaa na kusoma simulizi kama hizi . Basi baada ya kutoka kwenye kitovu nikashuka nikapiga magoti maana nilikuwa nimemlaza kitandani nikamvua chupi na kuanza kufanya kazi kwenye mgodi wa chumvi uvinza pale . Haikuchukua muda dafu hilo likavunjwa . Siku mwacha nikamkumbatia nikaendelea kumchezea mpaka aliporudi tena kwenye hisia nikaanza kumpiga mpini hii siku nilimpiga mpini balaa . Hakutarajia bao la kwanza robo saa bao la pili ndio ilikuwa balaa dakika 40 ziliisha tena baada ya kuanza kunileta ufundi Wa kuikatikia angeendelea kutulia muda ungezidi na alikuwa ashavunja dafu mara tatu. Ile tumepumzika akaniambia naona sasa umenizoea ndio maana unadumu sana nikamuuliza nimekuzoea kivipi akasema ukaribu wetu mda mwingi nikambishia tu.

Basi raund ya tatu aliingia kuninyoosha . Nilala akaja juu akawa ndio dereva anaikatikia kwa ufundi balaa huku akiniangalia usoni tukitabasamu tu aisee ile staili sikuweza kufua dafu dakika 15 nyingi nilimaliza akanicheka . Nikamwambia wewe ngoja tu nyege zipungue zaidi unachezea muda wote niliokaaga basi siku zilivyozidi. kusonga nilizidi kuwa balaa na yeye nikishammaliza tu akawa ananikomoa kwa ufundi yule mrembo alikuwa anajua sana . Kila staili nilipewa sio tu ile mbuzi kagoma au chuma mchicha tu akitikisa makalio yake sometimes akitaka usimame tu kama mlingoti yeye ajihudumie ilikuwa ni balaa

Bado sehemu ya tisa na final ya 10

Kosa langu nini ni?

Hebu tuone mwisho itakuwaje ...
 
Back
Top Bottom