Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vannesa ni hatari sana hawaOoh basi unaungana na mkuu sana Tembosa
' Aliwahi Kujaribu Kujiua Kwa ajili yangu! Na Sikumuoa Mimi..
Shukranwimbo wa twanga pepeta....unaitwa mtu pesa
Bado na mapenzi yananitesa dunia hii aiseeUshamaliza ugomvi wako na meneja TRA?[emoji2]
Hapana ni jina rasmi kabisa . Nilishawahi kuiandikaga Twitter nikiwa na account yenye above 15k followers ilipata retweet above 100 ilipata response nzuri. Hii nimeandika upya account hiyo niliuzaga . Najutia sana nimeshindwa kukuza account nyingine kwa ubize mwingi. Hii ni simulizi ya kweli kabisaMweee, sema umeamua kutumia hilo jina tu we mtu
Poa naletaWeka mwendelezo
Naleta soonWeka mwendelezo
Inakuja mkuuMkuu japo hujamaliza story yako yaani ahdi chuo ulikuwa huna hisia na warembo? kama sio vanesa sahv ungekuwa team Lokole and others
Nitumie link nikaione na mimiWacha tuone hii kama sio chai ifananayo na ya insaida
Weka mkuu usingizi u karibu, nikisha lala na unsubscribePoa naleta
Sahau kabisa nshaacha kupenda naumizwa na Pesa tu.One day utakupatwa tu
Mimi nyumbani mkuuWasalimie hapo shimbi kiongozi
Yaani ukitaka kutuzamisha kigezo cha kwanza usigusie ishu ya hela . Usiwe na njaa mwaka wa 1, yaani tunazama mpaka na viatu aiseeKumbe na kina mangi mnajuaga kuzama penzini...okay wacha tuone
Hutaweza kuacha. Ngoja upate asiyetaka pesa yako yaani utachizika anayecheza na maisha unavyoyataka wewe. Mapenzi ni matamu sana ukimpata mnae pendanaSahau kabisa nshaacha kupenda naumizwa na Pesa tu.