KING ASSENGA
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 928
- 1,478
- Thread starter
- #61
Nishashusha . Kesho ndio ntashusha mpaka finalWeka mkuu usingizi u karibu, nikisha lala na unsubscribe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishashusha . Kesho ndio ntashusha mpaka finalWeka mkuu usingizi u karibu, nikisha lala na unsubscribe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni yeye kabisaa.Bila shaka wewe ni juma Jux.
We ni sikio la kufa, hushauriki kafe tu.Hutaweza kuacha. Ngoja upate asiyetaka pesa yako yaani utachizika anayecheza na maisha unavyoyataka wewe. Mapenzi ni matamu sana ukimpata mnae pendana
Sawa mekuHapana ni jina rasmi kabisa . Nilishawahi kuiandikaga Twitter nikiwa na account yenye above 15k followers ilipata retweet above 100 ilipata response nzuri. Hii nimeandika upya account hiyo niliuzaga . Najutia sana nimeshindwa kukuza account nyingine kwa ubize mwingi. Hii ni simulizi ya kweli kabisa
Mwendelezo unakujaNukta
We karembo umenikimbia kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni yeye kabisaa.
🤣🤣🤣Si umalize stori yote Mkuu chap, tukaendelee na ujenzi wa Taifa.
Leo najitahidi nimalizie kabisaSi umalize stori yote Mkuu chap, tukaendelee na ujenzi wa Taifa.
[emoji23][emoji23] sio lengo langu itumike vibayaNgoja nijifunze vitu leo nipo shift usiku ,huyu nesi ataelewa kuwa Mimi sio level zake
Hii part imekaa kama zile tamthilia za Mexico zinazo onyweshwa ITV.sasa nilipokuwa naingia nikiwa nimezubaa si unajua tena kaushamba flani nikagongana na mrembo mmoja mkali sana . Simu yake ikadondoka nikafanya kumwambia samahani huku nikimwokotea nilipo kuwa nampa ile simu kukutanisha macho tu nilijikuta kama nimeganda hivi confidence ilishuka alipokea simu akiniambia usijali na kuanza kuondoka. Sasa baada ya kuachana pale nilijishangaa kubaki naiwaza ile sura ya yule mrembo kitu ambacho sikuwa nimezoea
Kama sio mkeo usisahau kutumia kinga [emoji2]Ushaniamshia mashetani lazima nimlaze mtu kifo cha mende leo
Sijawahi hata kuiona hiyo part ukiifikiria ni kama chai lakini ndio uhalisia niliokutana naoHii part imekaa kama zile tamthilia za Mexico zinazo onyweshwa ITV.
Sema endelea....