Kosa langu nini ni Vannesa?

Imeshakua maji bila majani. Wewe umesema mama angesafiri siku 3 kwenda Singida. Badae zikageuka wiki mbili akiwa Tanga. Sema tu inaonekana kwa uzinzi hujambo kabisa
 
Imeshakua maji bila majani. Wewe umesema mama angesafiri siku 3 kwenda Singida. Badae zikageuka wiki mbili akiwa Tanga. Sema tu inaonekana kwa uzinzi hujambo kabisa
Nashukuru kwa kusoma kwa umakini mkubwa sana . Bila shaka imekuvutia ndio maana. Hayo makosa ni kawaida ni kisa cha muda mrefu hivyo kuna sehemu lazima utashindwa kuzikumbuka vizuri au utachanganya matukio , Tanga nikwa wajomba zake, singida kwa baba yake mzazi
 
Nyumbani kwao ulikuwa unapafahamu, kwanini hukwenda kwao kumuulizia kutaka kujua nini kilimsibu ama alikwenda wapi?
 
Hako kadada kalikuwa sungura tope tu,kamalaya ,kapenda ngono.Kalikuona zoba kakajua katakudhibiti ulipoanza kukaramka kakaona jau kakala kona..Sasa hivi lishakuwa li single maza kama mamaye.By the way madem waaotogoza hawaki na mwanaume mmoja maana wao ni pendapenda.Ukimvutia anakuvutia waya ,akiona mwingine akamvutia ,anamvutia waya.Hata mimi nilikutana na mkasa wa Jacky mtoto wa profesa,ilikuwa balaa.
 
Ni kweli imenivutia,jana sijalala nimeisoma mwanzo mwisho. Next tu jitahidi kuondoa hizo kauli za kihuni huni, upo vizuri kwa stori. Jitahidi ushushe nyingine. Hii naikopi nikikaa sawa lazima ntairudia. Yawezekana Vanessa(nina imani si binti yangu),alionjesha kwingine kikanuka akakosa namna ya kukueleza
 
Ila Vanne hakua mkatili kama Mercy wa DeMostAdmired
 
Siamini kutokana na situation aliyokuwa nayo mwishoni alikuwa vibaya sana. Huenda naye anaumia kama mimi
 
Kwahyo hata majiran hawakujua alihamia wapi?? Miaka mingapi imepita??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…