Kosa lile lile?......................why

Kosa lile lile?......................why

MJ1 , hii sredi yako inakubaliana na research yangu bila malipo niloifanya mwaka jana na nikahitimisha kwamba "Wengi wa binadamu wanapenda kabla kutathmini"

Copy zake zitaingia madukani after krismass, musikose.
 
Mbu I am glad unajiaminisha na kutake part kwenye kila litokealo kwenye mahusiano yako. Am sure kuwa mahusiano yako ya sasa ni matured na yenye uelewa mkubwa. Hongera sana mydia. Namwonea wivu Soulmate wako kusema ukweli......ni yeye tu aharibu.

Kwangu ie ninatamani nipate mwalimu kama wewe Mbu, ninaelewa weakness zangu and may be ninaJIONA naelewa sana kiasi cha kunifanya nijisikie comfortable lakini deep down I have my worries........... nahisi ninajaribu kujifanya smart kwa kuvaa tai na suti ilhali nimekabwa!! Najifanya am strong but deep down I am still worried!
 
MJ1 , hii sredi yako inakubaliana na research yangu bila malipo niloifanya mwaka jana na nikahitimisha kwamba "Wengi wa binadamu wanapenda kabla kutathmini"

Copy zake zitaingia madukani after krismass, musikose.

Shem ninaomba nikopi Master copy yake please sidhani kama nawezasubiri hadi after Krismass bana.

Mh hapo kwa kupenda kabla ya kutathmini wajameni mbona wachoyo hivi we na Mbu? hebu nipeni somo mwana wa mwanamke wa watu otherwise ntakuwa simtendei haki anipendaye mjue!
 
MJ1 , hii sredi yako inakubaliana na research yangu bila malipo niloifanya mwaka jana na nikahitimisha kwamba "Wengi wa binadamu wanapenda kabla kutathmini"

Copy zake zitaingia madukani after krismass, musikose.

...mheshimiwa wakili, kwa tafsiri yangu huko ni kutamani....

kupenda ni deep zaidi, ila wengi hulitumia vibaya hili neno...
kupenda sio kitu kidogo bana, kupenda ni kujitolea roho yako ufe kishujaa!

mfano;...nilimtamani mwj1 awe wangu, baada ya kumjua nikampenda, baada ya kumfahamu...nampenda...
it's an ongoing process....wakati, kutamani ni kama zile hit and run!

...back to topik...!
---am i smarter kumpenda mwanajamiione?, yes....kwanini? kwakuwa najua nini ninachompendea
yeye ambacho ni zaidi ya kile nilichokuwa naamini ndiyo mapenzi niliyoyataka maishani..

daahhh, najiaminisha sana hapa jf kutumia copyrights za hili jina @mwanajamiione,...siku nikija daiwa hati miliki za kumtamani na kumpenda mke wa mtu sijui utanisaidiaje lawyer!
 
Sweety,kwanza mahusiao yoyote yanahitaji sana hekima kuliko kitu chochote,pili,ufanyaji wa makosa una tofauti mbili,kuna makusudi na bahati mbaya yaani kutenda kosa bila kukusudia,hilo la kusudi ukigundua hivyo utaangalia kama lina madhara gani kisha utaamua,kama ni bila kukusudia ushauri unatakiwa sana na hekima pia kwani yanatokana na malezi kwa kiwango kikubwa!
 
Shem ninaomba nikopi Master copy yake please sidhani kama nawezasubiri hadi after Krismass bana.

Mh hapo kwa kupenda kabla ya kutathmini wajameni mbona wachoyo hivi we na Mbu? hebu nipeni somo mwana wa mwanamke wa watu otherwise ntakuwa simtendei haki anipendaye mjue!
Dah! shem yaani kipindi hiki nimebanwa kwel kweli aisee na ma SRMs, na hili suala linataka muda wa kutosha kudadavua. Lakini, past yako yenye matatizo unatakiwa uitumie kama ni key ya kumtathmini mtu kabla haujaruhusu moyo wako kufall kwa mhusika mpya na mazingira, otherwise utaishia kuumizwa maisha na maisha. Kumbuka, wewe tayari kuna mambo umejifunza kiuhalisia wengine wanayasikia tu kwa kusoma sredi za JF. Uzoefu au experience yako ni silaha tosha kuitumia kumtokonyoa au kumtathmini mwenza mpya mtarajiwa .

Halaf leo siko kwenye mood ya userious kabisa yaani basi hapa naona kama nimejizulumu.
 

...mheshimiwa wakili, kwa tafsiri yangu huko ni kutamani....
kupenda ni deep zaidi, ila wengi hulitumia vibaya hili neno...
kupenda sio kitu kidogo bana, kupenda ni kujitolea roho yako ufe kishujaa!

mfano;...nilimtamani mwj1 awe wangu, baada ya kumjua nikampenda, baada ya kumfahamu...nampenda...
it's an ongoing process....wakati, kutamani ni kama zile hit and run!

...back to topik...!
---am i smarter kumpenda mwanajamiione?, yes....kwanini? kwakuwa najua nini ninachompendea
yeye ambacho ni zaidi ya kile nilichokuwa naamini ndiyo mapenzi niliyoyataka maishani..

daahhh, najiaminisha sana hapa jf kutumia copyrights za hili jina @mwanajamiione,...siku nikija daiwa hati miliki za kumtamani na kumpenda mke wa mtu sijui utanisaidiaje lawyer!

Dah........hapa hata sijui nisemeje! Hivi si inaruhusiwa kujivua gamba? hahahahha niwe MwanajamiiOne wa kikwelii?

Aksante Mbu nashukuru kwa somo hili hapa nimejifunza kitu kikubwa sana ambacho nina uhakika nininitumia vema kitakuwa silaha yangu huko niendako. Ubarikiwe sana kwa bandiko hili.

Lol Hapo kwenye kudaiwa nahisi nitakusaidia kabisa kumbembeleza Klorokwini awe mwanasheria wako (wetu) na ATUTETE hadi tushinde sio mwanasheria wa kutuwakilisha tu

Shemeji Klorokwin hebu njoo tutete!
 

...mheshimiwa wakili, kwa tafsiri yangu huko ni kutamani....
!

Nakubaliana na wewe mkuu moskwito ila tu labda niongezee hizi sentensi tatu ili uone nakusudia kulembea wapi .

1) kihisia ni ngumu kutafautisha baina ya kupenda na kutamani. Binafsi kuna mdada mpaka leo sijui kama nampenda au namtamani (hehe usishtuke sio MJ1)
2) Unaweza ukaanza na kutamani lakini ukaishia kutamani kumpenda huyo ulieanza nae kwa kumtamani.
3) Kipindi ambacho hujijui kama unatamani au unapenda ndio kipindi kizuri cha kutathmini.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Dah! shem yaani kipindi hiki nimebanwa kwel kweli aisee na ma SRMs, na hili suala linataka muda wa kutosha kudadavua. Lakini, past yako yenye matatizo unatakiwa uitumie kama ni key ya kumtathmini mtu kabla haujaruhusu moyo wako kufall kwa mhusika mpya na mazingira, otherwise utaishia kuumizwa maisha na maisha. Kumbuka, wewe tayari kuna mambo umejifunza kiuhalisia wengine wanayasikia tu kwa kusoma sredi za JF. Uzoefu au experience yako ni silaha tosha kuitumia kumtokonyoa au kumtathmini mwenza mpya mtarajiwa .

Halaf leo siko kwenye mood ya userious kabisa yaani basi hapa naona kama nimejizulumu.
Ah Shemeji wanasema Mganga hajigangi bwana.........nimepitia mengi but badala ya kuwa strong najiona kama nazidi kuogopa!

Hahahah kwa upendeleo maalumu kwako nakuruhusu kutuma post mbili tu za uchakachuzi loh ulainishe moody shem
 
Nakubaliana na wewe mkuu moskwito ila tu labda niongezee hizi sentensi tatu ili uone nakusudia kulembea wapi .
1) kihisia ni ngumu kutafautisha baina ya kupenda na kutamani. Binafsi kuna mdada mpaka leo sijui kama nampenda au namtamani (hehe usishtuke sio MJ1)
2) Unaweza ukaanza na kutamani lakini ukaishia kutamani kumpenda huyo ulieanza nae kwa kumtamani.
3) Kipindi ambacho hujijui kama unatamani au unapenda ndio kipindi kizuri cha kutathmini.

AMREF na kina ANGAZA wanakataza Unyanyapaa shemeji ujue!
 
Dah........hapa hata sijui nisemeje! Hivi si inaruhusiwa kujivua gamba? hahahahha niwe MwanajamiiOne wa kikwelii?

Aksante Mbu nashukuru kwa somo hili hapa nimejifunza kitu kikubwa sana ambacho nina uhakika nininitumia vema kitakuwa silaha yangu huko niendako. Ubarikiwe sana kwa bandiko hili.

Lol Hapo kwenye kudaiwa nahisi nitakusaidia kabisa kumbembeleza Klorokwini awe mwanasheria wako (wetu) na ATUTETE hadi tushinde sio mwanasheria wa kutuwakilisha tu

Shemeji Klorokwin hebu njoo tutete!
Shem wala usijali, haya mapost ya Mbu na mapicha yake mimi nayasevu tu kwenye database langu, siku nikikwambia leo ukuje ofisini ujue kuna utajiri, uskawie kuja.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ah Shemeji wanasema Mganga hajigangi bwana.........nimepitia mengi but badala ya kuwa strong najiona kama nazidi kuogopa!

Hahahah kwa upendeleo maalumu kwako nakuruhusu kutuma post mbili tu za uchakachuzi loh ulainishe moody shem

Dah! nilitaka kuchakachua lakini nguvu zote zimeniishia shem. Huwez kuamini bana leo kwa mara ya kwanza nimepata likes za kipipi. Hakyanani nitaoga kabla kulala leo.
 
Dah! shem yaani kipindi hiki nimebanwa kwel kweli aisee na ma SRMs, na hili suala linataka muda wa kutosha kudadavua. Lakini, past yako yenye matatizo unatakiwa uitumie kama ni key ya kumtathmini mtu kabla haujaruhusu moyo wako kufall kwa mhusika mpya na mazingira, otherwise utaishia kuumizwa maisha na maisha. Kumbuka, wewe tayari kuna mambo umejifunza kiuhalisia wengine wanayasikia tu kwa kusoma sredi za JF. Uzoefu au experience yako ni silaha tosha kuitumia kumtokonyoa au kumtathmini mwenza mpya mtarajiwa .

Halaf leo siko kwenye mood ya userious kabisa yaani basi hapa naona kama nimejizulumu.

contradictory, lol.......demand is higher than supply nini?...nakusoma tu unavyobandika hizi post kinyonge...
fungua thread hapa tukusaidie kukuondolea 'unyonge' bana...

mwj1 na unyuzi wake huu wa "The more mistakes one makes in life, the smarter one gets in life" ..ni sawa na pupwe lenye mzizimo kwa kondoo mwenye manyoya haba!
 
Lol kipipi we uliniumiza sana siku ulipoumwa loh............... mimi niko sensitive sana bana yaani hadi saa ingine najiumiza mie. Afadhali kama unaweza lia kimya kimya big sisy eh..... mie mapenzi kwangu mh acheni tu


YOU are like ME!!! Lets forget about that fever dear..........naona watu washaanza kushusha points. nimejiandaa kuzidaka!!!
 

contradictory, lol.......demand is higher than supply nini?...nakusoma tu unavyobandika hizi post kinyonge...
fungua thread hapa tukusaidie kukuondolea 'unyonge' bana...
mwj1 na unyuzi wake huu wa "The more mistakes one makes in life, the smarter one gets in life" ..ni sawa na
pupwe lenye mzizimo kwa kondoo mwenye manyoya haba!

Hahhahahahah Mbu unamrushi dongo mwanasheria wewe!!! shauri yako atashindwa kutufojia talaka!!

Hapo kwenye Blue hapo mh!! ngoja kwanza ntakuja
 

contradictory, lol.......demand is higher than supply nini?...nakusoma tu unavyobandika hizi post kinyonge...
fungua thread hapa tukusaidie kukuondolea 'unyonge' bana...

mwj1 na unyuzi wake huu wa "The more mistakes one makes in life, the smarter one gets in life" ..ni sawa na pupwe lenye mzizimo kwa kondoo mwenye manyoya haba!

heheh Mkuu moskwito kwa kusoma between the sentences bana! Likes za kipipi bana zimenifanya mpaka nimesahau paswedi yangu ya fesbuku.

Dah! acha turudi kwenye mada, MJ1 kanipa post 2 tu za kuchakachua
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ah Shemeji wanasema Mganga hajigangi bwana.........nimepitia mengi but badala ya kuwa strong najiona kama nazidi kuogopa!
hiyo ni misemo ya kuibiana tu shem bana kwa vile uganga hauna kithibitisho!
Hivi chemistry lab wanafunzi wanachanganya madawa chini ya uangalizi wa nani? Bila shaka mwalim tena mwenye uzoefu.
Nakumbuka kuna siku mwalim wetu alijifanya dalton akachanganya changanya kumbe hana uzoefu kuna kibaruti kikadata ndani ya test tube kikamlamba cha uso, hehe pua iliungua akaishia kupigwa kibuti na mchumbaake. Uzoefu muhimu shem.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hahhahahahah Mbu unamrushi dongo mwanasheria wewe!!! shauri yako atashindwa kutufojia talaka!!

Hapo kwenye Blue hapo mh!! ngoja kwanza ntakuja

...unachakachua sasa thread yako, unaona sasa...anyway, cheer him up bana...

najiuliza leo klorokwini yupo kwenye SRM's ndani ya kiota cha maraha, mahaba na mapenzi lakini iweje yu mnyonge hivyo?
dahhhh, unaweza kuta mwenyewe alikamia ila kakuta ndio kwanza mwezi mchanga, mamsapu yumo kwenye funga! loh!!!

back to topik...!

 
Back
Top Bottom