Kosa walilofanya Flora na Emanuel Mbasha

Umekuwa mchambuzi wa masuala ya ndoa siku hizi boss?
 
mbona mbasha namuona na prado lake huku mbezi beach? it seems anaishi humu maana nilikutana nae gengeni ananunua madikodiko ya kupika.sasa ana ukata gani wakati ana prado

Mbasha kila siku ana act yuko OK ila kiukweli hayuko sawa , hii ni kwa mujibu wa post zake mitandaoni.

Frola bado yupo kichwani mwake na itamchukua muda mrefu kuja kumsahau.

Huwa inatutokea wengi.
 
Huyo Flora kwa anavyoonekana kabisa ni (Narcissist) type ya wale wanawake controlling katika uhusiano. Wanapenda kuvimba na wepesi kushikiwa akili. Yani mfano, akiwa na kipato kukuzidi ni full madharau mjengoni. Mbaya zaidi mkizoeana anakuwa so comfortable kiasi kuona mume kama mwanamke mwenziwe pale kidume anapojaribu kuwa friendly. Wanawake wa aina ya Flora wanatakiwa wakutane na wale ME makauzu kama dagaa wale hawataki mazoea. No kuchekeana yani full time mwanamke anatetemeka kwa kidume akiwa around, hapo ndo heshima ingekuwepo.

Mbasha ni nice guy, wale wanaume wapole sana wanaojua kudekeza mwanamke na kujishusha kwa mwanamke ili kumhakikishia furaha,, ndio maana combination yao haijafaa. Flora ameishia kumdharau mwenzake tu ni dhahiri maana kama inafikia hadi mwanamke anaenda tombesha nje ukajua na bado anakukazia ni zaidi ya dharau hizo. Ingawa naskia kuwa mbasha pia alikuwa mtu wa kuskilizia yani hana mishe za kueleweka town but upendo wa kweli ungetosha kuziba hilo pengo na si usaliti!

Conclusion: Briefly hawa watu hawakuwa na chemistry ila walioana kwa kigezo cha Lust.

Walihisi wamependana ila ndoa yao ya kitoto ilighubikwa na Lust na fantasy zaidi na hakukuwa na upendo wa dhati baina yao. Mbasha alikuwa mtoto hajui majukumu yake kwa ufasaha pili domo zege alieona fursa ya free papuchi ya kupiga kila aklala na kuamka na mama aliona Handsome boy, presentable atakuwa anasifiwa na anaringishia kila akikutana na mashoga zake ila hakuwa anaelewa ndoa ni comittment, you live with the characters after the lust ends. Huu ndio mtihani mama aliushindwa na ndio kiini cha yote yaliyotokea na pengine umri wake mdogo pia ulimtia jeuri.

Anyways thats life tujifunze kukubali kuishi na mapungufu ya wenzi wetu. Hivyo ndivyo pekee ndoa inaweza kudumu ila kwa kutegemea kukimbia pale nyege zenu zitapoisha after ndoa mtabaki mnacheza kwaito na kuachana kila siku. Ndoa ni agano takatifu sio ktu rahisi kile kwa wale mnaotamani halafu hamjui maana yake. After marriage ni kufunga mkanda ni lazima kaburi ndio liwatenganishe no matter the hardships as long as mwenzio hakufanyii shambulio la kukudhuru ni kuvumiliana tu.
 
mbona mbasha namuona na prado lake huku mbezi beach? it seems anaishi humu maana nilikutana nae gengeni ananunua madikodiko ya kupika.sasa ana ukata gani wakati ana prado
Alikuonesha kadi?ukute anatunzwa
 
Mbasha kila siku ana act yuko OK ila kiukweli hayuko sawa , hii ni kwa mujibu wa post zake mitandaoni.

Frola bado yupo kichwani mwake na itamchukua muda mrefu kuja kumsahau.

Huwa inatutokea wengi.
Mbasha loved the woman truly, hakutegemea kuwa mwanamke ambae wameoana na jinsi walivyopendana angebadilika na kumuumiza vibaya bila huruma na kwa visasi. Halafu Mbasha anaonekana hakuwa mhangaikaji yani...ile style ya vijana na michepuko mjini. Angekuwa na mipango y kando asingeumia vile...he trusted the woman 100% na alikuwa ndio tumaini lake. Mi ni muaminifu sana na nishatendwa na wanawake i know how it feels, nikipenda napenda ila when dissapointment comes nakuwa najihisi kama kufa kufa.

Hii hali hata wewe yaweza kukuta ukimuamini sana mwanamke wako kisha akakugeuka. Unless uwe hujawahi kupenda sana.
 
kiukweli nami nahis ndoa ya flora haitadumu ! Mungu pishilia mbali ! na Mungu tusamehe kwa kuhumu lol

Kwa nini tuna kuwa na mawazo hasi hivyo kwenye maisha ya watu wengine!!!! Loh...!!! Sio vizuri jamani...!!!

Tunayotamani yawatokee watu wengine indirectly ndio yanaturudia sisi pia. Wish people good luck... Tutamani kuona wengine wakifanikiwa na kusonga mbele maishani. Mungu pekee ndie mtoa HUKUMU.
 


yaan ukinisoma kwa utulivu kila sentensi yangu usingeandika haya mama ! nipo positive alwys lakini pia nna haki ya kurudi nyuma kufikiria kihenga pia ! rudi unisome tena !
 
Hii hali hata wewe yaweza kukuta ukimuamini sana mwanamke wako kisha akakugeuka. Unless uwe hujawahi kupenda sana.
Kuna Mzee wangu aliniambia yawezekana Frola ndio alikuwa mwanamke wake wa kwanza, na hii ndio inasababisha mtu pale anapoachwa huyo mwanamke kutomsahau mapema.
 
Mbasha kila siku ana act yuko OK ila kiukweli hayuko sawa , hii ni kwa mujibu wa post zake mitandaoni.

Frola bado yupo kichwani mwake na itamchukua muda mrefu kuja kumsahau.

Huwa inatutokea wengi.
Nakumbuka kwa mara ya kwanza kuonana na hiyo iliyokuwa couple ilikuwa mwaka 2010 ambapo nilimuona Bw. Mbasha akimtambulisha Flora kuwa ni mke wake, akazidi kusema ni mke wangu wa ndoa. Hii khali haikunipendeza. Nilipokaa karibu naye nikamuuliza mbona hujiamini au kuna mtu anamkula mke wako au unadhani anamsololea. Akasema hakuna. Nilichogundua ni kama maoni yako kuwa alikuwa anajiona ufahari kuwa na Flora kama mke ingawa binti alionekana kama hammaindi kivile. Siamini kama kweli Flora atatoka kichwani mwa mbasha haraka hivyo na pengine mke alikuwa mkuu wa kaya huwezi jua.
 
Umesema E.mbasha anaishi maisha magumu ki fedha,mimi sielewi umejuaje coz last week pale TBC1 alisema ana more than 100 pairs za viatu
 
Huo ndio Ukweli aliyekuwa mtafuta hela pale ni Mwanamke na ndio maana kila leo anapost kuwa anaweza kufanya maisha pasipo Frola ila ukweli ndio huo jamaa alikuwa anamtegemea zaidi mke kwa kila kitu.
 
Huo ndio Ukweli aliyekuwa mtafuta hela pale ni Mwanamke na ndio maana kila leo anapost kuwa anaweza kufanya maisha pasipo Frola ila ukweli ndio huo jamaa alikuwa anamtegemea zaidi mke kwa kila kitu.
Kumbe! Inaonyesha basi kama mnajuana kiundani mpe pole aanze upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…