kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Kisandu upo mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nalo neno hilo.Wangesubiri ushauri wa Mange kabla ya kuachana, wamefanya haraka sana.
Mtemi KisanduKisandu katika ubora wake.
mbona mbasha namuona na prado lake huku mbezi beach? it seems anaishi humu maana nilikutana nae gengeni ananunua madikodiko ya kupika.sasa ana ukata gani wakati ana prado
Alikuonesha kadi?ukute anatunzwambona mbasha namuona na prado lake huku mbezi beach? it seems anaishi humu maana nilikutana nae gengeni ananunua madikodiko ya kupika.sasa ana ukata gani wakati ana prado
Mbasha loved the woman truly, hakutegemea kuwa mwanamke ambae wameoana na jinsi walivyopendana angebadilika na kumuumiza vibaya bila huruma na kwa visasi. Halafu Mbasha anaonekana hakuwa mhangaikaji yani...ile style ya vijana na michepuko mjini. Angekuwa na mipango y kando asingeumia vile...he trusted the woman 100% na alikuwa ndio tumaini lake. Mi ni muaminifu sana na nishatendwa na wanawake i know how it feels, nikipenda napenda ila when dissapointment comes nakuwa najihisi kama kufa kufa.Mbasha kila siku ana act yuko OK ila kiukweli hayuko sawa , hii ni kwa mujibu wa post zake mitandaoni.
Frola bado yupo kichwani mwake na itamchukua muda mrefu kuja kumsahau.
Huwa inatutokea wengi.
kiukweli nami nahis ndoa ya flora haitadumu ! Mungu pishilia mbali ! na Mungu tusamehe kwa kuhumu lol
Kwa nini tuna kuwa na mawazo hasi hivyo kwenye maisha ya watu wengine!!!! Loh...!!! Sio vizuri jamani...!!!
Tunayotamani yawatokee watu wengine indirectly ndio yanaturudia sisi pia. Wish people good luck... Tutamani kuna wengine wakifanikiwa na kusonga mbele maishani. Mungu pekee ndie mtoa HUKUMU.
Kuna Mzee wangu aliniambia yawezekana Frola ndio alikuwa mwanamke wake wa kwanza, na hii ndio inasababisha mtu pale anapoachwa huyo mwanamke kutomsahau mapema.Hii hali hata wewe yaweza kukuta ukimuamini sana mwanamke wako kisha akakugeuka. Unless uwe hujawahi kupenda sana.
Nakumbuka kwa mara ya kwanza kuonana na hiyo iliyokuwa couple ilikuwa mwaka 2010 ambapo nilimuona Bw. Mbasha akimtambulisha Flora kuwa ni mke wake, akazidi kusema ni mke wangu wa ndoa. Hii khali haikunipendeza. Nilipokaa karibu naye nikamuuliza mbona hujiamini au kuna mtu anamkula mke wako au unadhani anamsololea. Akasema hakuna. Nilichogundua ni kama maoni yako kuwa alikuwa anajiona ufahari kuwa na Flora kama mke ingawa binti alionekana kama hammaindi kivile. Siamini kama kweli Flora atatoka kichwani mwa mbasha haraka hivyo na pengine mke alikuwa mkuu wa kaya huwezi jua.Mbasha kila siku ana act yuko OK ila kiukweli hayuko sawa , hii ni kwa mujibu wa post zake mitandaoni.
Frola bado yupo kichwani mwake na itamchukua muda mrefu kuja kumsahau.
Huwa inatutokea wengi.
Ungemuomba namba mchat usikumbona mbasha namuona na prado lake huku mbezi beach? it seems anaishi humu maana nilikutana nae gengeni ananunua madikodiko ya kupika.sasa ana ukata gani wakati ana prado
Anachokifanya Mbasha ni kujaribu kuwaaminisha watu kuwa anaweza kufanya maisha pasipo Frola Mbasha.Umesema E.mbasha anaishi maisha magumu ki fedha,mimi sielewi umejuaje coz last week pale TBC1 alisema ana more than 100 pairs za viatu
Huo ndio Ukweli aliyekuwa mtafuta hela pale ni Mwanamke na ndio maana kila leo anapost kuwa anaweza kufanya maisha pasipo Frola ila ukweli ndio huo jamaa alikuwa anamtegemea zaidi mke kwa kila kitu.Nakumbuka kwa mara ya kwanza kuonana na hiyo iliyokuwa couple ilikuwa mwaka 2010 ambapo nilimuona Bw. Mbasha akimtambulisha Flora kuwa ni mke wake, akazidi kusema ni mke wangu wa ndoa. Hii khali haikunipendeza. Nilipokaa karibu naye nikamuuliza mbona hujiamini au kuna mtu anamkula mke wako au unadhani anamsololea. Akasema hakuna. Nilichogundua ni kama maoni yako kuwa alikuwa anajiona ufahari kuwa na Flora kama mke ingawa binti alionekana kama hammaindi kivile. Siamini kama kweli Flora atatoka kichwani mwa mbasha haraka hivyo na pengine mke alikuwa mkuu wa kaya huwezi jua.
Kumbe! Inaonyesha basi kama mnajuana kiundani mpe pole aanze upyaHuo ndio Ukweli aliyekuwa mtafuta hela pale ni Mwanamke na ndio maana kila leo anapost kuwa anaweza kufanya maisha pasipo Frola ila ukweli ndio huo jamaa alikuwa anamtegemea zaidi mke kwa kila kitu.