Kosa walilofanya Flora na Emanuel Mbasha

Hayakuhusu
 
Kisandu kutoka siasa mpaka mnajimu(mtabiri).[emoji102]
 
Hapa jina Mbasha umelitumia kuwakilisha nafsi ya Flora?
 
Kwahiyo mbasha alikua mario au alikua super mario baloteli yani anatunzwa tu na mwanamke,ndio full mario baloteli
 
Mbaya zaidi Biblia wanaijua vizuri hata kama wanajisahaulisha.
 
Msihukukumu watu. Ndoa zinaficha mengi!
 
mbona mbasha namuona na prado lake huku mbezi beach? it seems anaishi humu maana nilikutana nae gengeni ananunua madikodiko ya kupika.sasa ana ukata gani wakati ana prado
Lile Prado sijui ni la nani hasa maana wanalitumia wengi.
 
mbona mbasha namuona na prado lake huku mbezi beach? it seems anaishi humu maana nilikutana nae gengeni ananunua madikodiko ya kupika.sasa ana ukata gani wakati ana prado
Mimi nimewahi kumuona Tabata Kimanga akiwa na Harrier hapo pia alikuwa ametoka kununua matunda na madikodiko hapo maeneo ya stendi
 
Namuomba Mungu hizo ndoa mpya zivunjike mapemaa asubuhi ili warudiane kila mmoja amsamehe mwenzake waishi kama walivyotudanganya kule mwanzo kuwa hadi kifo kiwatenganishe wala sio talaka. Wajue kuwa wote huko walipo WANAZINI. Na mzinzi sehemu yake ni kwenye lile ziwa la moto ambalo hakuumbiwa mwanadamu yeyote bali ni Shetwani na malaika zake waovu. Mbasha na Flora, msikubali kujiunga na Shetwani kwenda kule kwenye lile ziwa la moto. Si tiyari mmeshajifurahisha na huo uzinzi?? Mmeona utamu gani huko kumpita Yesu mliyemtukuza?? Mrudieni Bwana
 
Huyu mwanamke ni shetani kabisa.tena makazi yake yatakua jahanamu kali.ambambikia kesi mumewe bila sababu.dah mungu atamnyoosha tu
 
Tangu lini saa mbovu ikasoma majira....[emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…